Kula zabibubkina faida nyingi kwa afya yako.
1.Faida za kula zabibu:
1.zabibu lina virutubisho vingi kama vitamini C , B6 na K na fat na madini ya shaba na manganese.
2.Ina antioxidanti zinazohusika kuondoa sumu za kemikali na vyakula mwilini
3.Hupunguza athari ama hatari ya magonjwa kama saratani, kisukari na maradhi ya moyo na mishipa ya damu
4.Huondoa stress na misongo ya mawazo
5.Hushusha shinikizo la damu
6.Hupunguza cholesterol mbay
7.Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
8.Husaidia kuimarisha afya ya macho
9.Huimarisha afya ya ubongo na utunzaji wa kumbukumbu
10.Husaidia kuboresha afya ya mifupa
11.Husidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria, virusi na fangasi
12.Hupunguza kuzeheka mapema
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi utumiaji wa pombe na sigara pamoja na madawa katika jamii.
Soma Zaidi...Kama unapatwa na maumivu ya tumbo na ilhali mkojo ni mchafu, ama una harufu sana, basi post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji, tukumbuke kuwa mtu aliyefanyiwa upasuaji anakuwa kwenye riski sana ya kupata magonjwa na mambo mengine mbalimbali kwa hiyo kuna dalili zikijitokeza kwa mgonjwa aliyepasuliwa Zinapaswa kuf
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...