Posti hii inahusu zaidi faida za mbegu za maparachichi, kwa kawaida tunajua wazi faida za maparachichi pamoja na faida za maparachichi kuna faida kubwa katika mbegu zake kama tutakavyoona
1. Inazuia seli za mwili kutozeeka mapema.
Kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho mbalimbali kwenye mbegu ya parachichi uzuia seli kutozeeka kwa wakati wake
2. Pia inazuia kupata magonjwa ya moyo.
Kwa watumiaji wengi wa mbegu hizi wameweza kugundua kwamba kwa matumizi sahihi ya mbegu hizi uzuia kupatwa kwa magonjwa ya moyo.
3. Uongeza kinga ya mwili na kupambana na magonjwa mbalimbali.
Kwa matumizi mbalimbali ya mbegu za maparachichi usaidia kuongeza kwa kinga ya mwili.
4. Ni msaada mkubwa kwa kwa watu wenye shida ya unene kwa sababu wengi waliokuwa na uzito mkubwa wameweza kupunguza kwa uzito kwa kiasi fulani.
5. Kutibu Magonjwa mbalimbali ya tumbo.
Mbegu za maparachichi usaidia kutibu matatizo mbalimbali ya tumbo kama vile kuharisha na kuzuia kuzalishwa kwa tindikali inayozidi kiasi tumboni.
6. Uongeza hamu ya tendo la ndoa.
Kwa walio wengi hasa watumiaji wa mbegu za maparachichi wameshuhudia kuongezeka kwa hamu ya tendo la ndoa.
7. Usaidia kwa wenye matatizo ya maumivu ya mifupa na jonti.
Kwa kawaida kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo ya mifupa na jonti wengi wametumia wakaponea
8. Ni msaada kwa afya ya ngozi.
Kwa watumiaji wanashuhudia kwamba hali zao za ngozi ziko vizuri.
9. Usaidia kutibu pumu.
Mbegu za maparachichi ni nzuri kwa wale wenye matatizo ya pumu na mfumo wa hewa kwa ujumla.
10. Pia usaidia kwa wenye matatizo ya kifafa,
Kwa wale wenye matatizo ya kifafa wakitumia mbegu hizi za maparachichi wataweza kupona na kuendelea vizuri kabisa.
11. Kwa hiyo kipindi kijacho nitafundisha namna ya kutengeneza dawa hiii ya mbegu za maparachichi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Nahitimisha kwa kusema ili ufanikiwe katika kuwa mahili wa kutafuta taarifa mtandaoni au kujifunza chochote mtandaoni ni lazima uelewe kuwa borwser au kivinjali kwa kiswahili ndio kama njia ya wewe kuingilia tovuti yoyote ile duniani.
Soma Zaidi...ΓΒ Bakteria aina ya Salmonella huishi ndani ya matumbo ya watu, wanyama na ndege.ΓΒ Watu wengi wameambukizwa salmonella kwa kula vyakula vilivyochafuliwa na kinyesi.ΓΒ
Soma Zaidi...Maala h nawenda kukufundisha matbabu ya utbu fangas wa wenye ucha.
Soma Zaidi...Kitunguuu thaumu ni muhimu sana katika afya yako, je unazijuwa faida hizo? njoo pamoja nami
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi.
Soma Zaidi...Tijufunze zaidi kuhusu saratani ya koo. Vihatarishi vyake,dalili zake,tiba na lishe kwa mgonjwa mwenye saratani ya koo.
Soma Zaidi...