picha

Faida za mbegu za maparachichi.

Posti hii inahusu zaidi faida za mbegu za maparachichi, kwa kawaida tunajua wazi faida za maparachichi pamoja na faida za maparachichi kuna faida kubwa katika mbegu zake kama tutakavyoona

Faida za mbegu za maparachichi.

1. Inazuia seli za mwili kutozeeka mapema.

Kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho mbalimbali kwenye mbegu ya parachichi uzuia seli kutozeeka kwa wakati wake 

 

 

 

2. Pia inazuia kupata magonjwa ya moyo.

Kwa watumiaji wengi wa mbegu hizi wameweza kugundua kwamba kwa matumizi sahihi ya mbegu hizi uzuia kupatwa kwa magonjwa ya moyo.

 

 

 

 

3. Uongeza kinga ya mwili na kupambana na magonjwa mbalimbali.

Kwa matumizi mbalimbali ya mbegu za maparachichi usaidia kuongeza kwa kinga ya mwili.

 

 

 

 

4. Ni msaada mkubwa kwa kwa watu wenye shida ya unene kwa sababu wengi waliokuwa na uzito mkubwa wameweza kupunguza kwa uzito kwa kiasi fulani.

 

 

 

5. Kutibu Magonjwa mbalimbali ya tumbo.

Mbegu za maparachichi usaidia kutibu matatizo mbalimbali ya tumbo kama vile kuharisha na kuzuia kuzalishwa kwa tindikali inayozidi kiasi tumboni.

 

 

 

 

6. Uongeza hamu ya tendo la ndoa.

Kwa walio wengi hasa watumiaji wa mbegu za maparachichi wameshuhudia kuongezeka kwa hamu ya tendo la ndoa.

 

 

 

 

 

7. Usaidia kwa wenye matatizo ya maumivu ya mifupa na jonti.

Kwa kawaida kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo ya mifupa na jonti wengi wametumia wakaponea 

 

 

 

 

8. Ni msaada kwa afya ya ngozi.

Kwa watumiaji wanashuhudia kwamba hali zao za ngozi ziko vizuri.

 

 

 

 

9. Usaidia kutibu pumu.

Mbegu za maparachichi ni nzuri kwa wale wenye matatizo ya pumu na mfumo wa hewa kwa ujumla.

 

 

 

10. Pia usaidia kwa wenye matatizo ya kifafa,

Kwa wale wenye matatizo ya kifafa wakitumia mbegu hizi za maparachichi wataweza kupona na kuendelea vizuri kabisa.

 

 

11. Kwa hiyo kipindi kijacho nitafundisha namna ya kutengeneza dawa hiii ya mbegu za maparachichi.

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/15/Friday - 10:16:44 am Topic: General Main: Afya File: Download PDF Views 2587

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰2 web hosting    ๐Ÿ‘‰3 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰4 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰6 ai web app   

Post zinazofanana:

Malengo ya elimu katika uislamu

Nini malengo ya elimu katika uislamu(EDK form 1, malengo ya elimu katika uislamu

Soma Zaidi...
NINI VIDONDA VYA TUMBO?

Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda hivi tumezoea kuviita vidonda vya tumbo ila hapa nitataja kitaalamu kuwa vidonda hivi hufahamika kama peptic ulcers.

Soma Zaidi...
Faida za mbegu za papai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za papai

Soma Zaidi...
Faida za mbegu za maboga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za maboga

Soma Zaidi...
Faida za vitunguu swaumu

Posti hii inaonyesha Faida za vitunguu swaumu.vitunguu swaumu sio kiungo Cha chakula tu kama desturi ya watu wengi wanavyojua Bali kitunguu swaumu kimesimama Kama dawa pia ya kutibu maradhi na Magonjwa mengi mwilini.

Soma Zaidi...
Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa ?

Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa nini tatizo lake?

Soma Zaidi...
Namna ya kuandaa mbegu za parachichi kwa matumizi ya dawa.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa kukatika Nywele.

Kukatika kwa nyweleร‚ย kunaweza kuathiri tu kichwa chako au mwili wako mzima. Inaweza kuwa matokeo ya urithi, mabadiliko ya homoni, hali ya matibabu au dawa. Mtu yeyote wanaume, wanawake na watoto anaweza kupoteza Nywele.

Soma Zaidi...
Tabia na vyakula vya kundi B.

Posti hii inahusu zaidi tabia na vyakula vya watu wa kundi B,hawa ni watu wenye sifa za pekee na wanapaswa kupata vyakula vyao kama tutakavyoona hapo baadaye.

Soma Zaidi...
Saratani ya koo(cancer of the Esophagus)

Tijufunze zaidi kuhusu saratani ya koo. Vihatarishi vyake,dalili zake,tiba na lishe kwa mgonjwa mwenye saratani ya koo.

Soma Zaidi...