Posti hii inahusu zaidi faida za mbegu za maparachichi, kwa kawaida tunajua wazi faida za maparachichi pamoja na faida za maparachichi kuna faida kubwa katika mbegu zake kama tutakavyoona
1. Inazuia seli za mwili kutozeeka mapema.
Kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho mbalimbali kwenye mbegu ya parachichi uzuia seli kutozeeka kwa wakati wake
2. Pia inazuia kupata magonjwa ya moyo.
Kwa watumiaji wengi wa mbegu hizi wameweza kugundua kwamba kwa matumizi sahihi ya mbegu hizi uzuia kupatwa kwa magonjwa ya moyo.
3. Uongeza kinga ya mwili na kupambana na magonjwa mbalimbali.
Kwa matumizi mbalimbali ya mbegu za maparachichi usaidia kuongeza kwa kinga ya mwili.
4. Ni msaada mkubwa kwa kwa watu wenye shida ya unene kwa sababu wengi waliokuwa na uzito mkubwa wameweza kupunguza kwa uzito kwa kiasi fulani.
5. Kutibu Magonjwa mbalimbali ya tumbo.
Mbegu za maparachichi usaidia kutibu matatizo mbalimbali ya tumbo kama vile kuharisha na kuzuia kuzalishwa kwa tindikali inayozidi kiasi tumboni.
6. Uongeza hamu ya tendo la ndoa.
Kwa walio wengi hasa watumiaji wa mbegu za maparachichi wameshuhudia kuongezeka kwa hamu ya tendo la ndoa.
7. Usaidia kwa wenye matatizo ya maumivu ya mifupa na jonti.
Kwa kawaida kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo ya mifupa na jonti wengi wametumia wakaponea
8. Ni msaada kwa afya ya ngozi.
Kwa watumiaji wanashuhudia kwamba hali zao za ngozi ziko vizuri.
9. Usaidia kutibu pumu.
Mbegu za maparachichi ni nzuri kwa wale wenye matatizo ya pumu na mfumo wa hewa kwa ujumla.
10. Pia usaidia kwa wenye matatizo ya kifafa,
Kwa wale wenye matatizo ya kifafa wakitumia mbegu hizi za maparachichi wataweza kupona na kuendelea vizuri kabisa.
11. Kwa hiyo kipindi kijacho nitafundisha namna ya kutengeneza dawa hiii ya mbegu za maparachichi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa Maambukizi kwenye mifupa, kwa hiyo tusipotibu tunaweza kupata madhara yafuatayo.
Soma Zaidi...Nini malengo ya elimu katika uislamu(EDK form 1, malengo ya elimu katika uislamu
Soma Zaidi...Post hii inahusu Vijana walivyoingiliana kwenye mahusiano na kusababisha kitoelewana kwa hiyo tutaona jinsi walivyoendeleana na kusababisha maumivu zaidi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa
Soma Zaidi...MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO Tofauti na madhara ambayo tumeyaona huko juu kwenye dalili kama maumivu ya kicha, tumbo na miwasho, kichefuchefu na kutapika.
Soma Zaidi...Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda hivi tumezoea kuviita vidonda vya tumbo ila hapa nitataja kitaalamu kuwa vidonda hivi hufahamika kama peptic ulcers.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi jeraha kwenye ubongo hasahasa jeraha la kawaida yaani lisilokuwa kali, ni jeraha ambalo utokana na ajali au kupigwa na kitu chochote kwenye kichwa, zifuatazo ni dalili za jeraha lisilokuwa la kawaida kwenye ubongo.
Soma Zaidi...