Huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum.

Posti hii inahusu huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum, ni wanawake ambao wana shida ya akili, walionyanyaswa kijinsia, wakimbizi na wote wenye matatizo mbalimbali.

Huduma kwa wanawake wenye matatizo mbalimbali.

1.Tunajua kuwa hawa wanawake wanahitaji uangalizi kwa karibu kwa hiyo tunapaswa kuwasaidia katika kujieleza, katika kutembea labda wengine ni walemavu, katika kujifanyia mambo ya kawaida ya usafi na namna ya kufanya usafi na katika maamuzi maana wengine wana shida ya kutoa uamuzi.

 

2.Pia inabidi kuwasaidia katika wakati uliopo kwa tatizo lililopo kwa mfano kama mama anahitaji huduma za vipimo anapaswa kusaidiwa kwa sababu wakati mwingine hawezi kufika sehemu za vipimo na kuweza kujieleza kwa hiyo anapaswa kusaidiwa na kuhakikisha kuwa anapata kila kitu anachokihitaji.

 

3.Kumsaidia Mama kujua umuhimu wa kupima virus vya ukimwi na magonjwa ya zinaa na namna ya kuzuia magonjwa hayo kwa hiyo hawa akina Mama wanapaswa kupewa elimu ili waweze kupima na kujua afya zao na kama wana Maambukizi wanapaswa kujua namna ya kuwalinda watoto wao na matumizi ya dawa za ARV.

 

4.Kuwasaidia hawa wakina Mama wenye matatizo kuchagua aina bora ya uzazi wa mpango kwa kadiri ya hali yake na kuwasaidia namna ya kutumia njia hizo na kuwa na idadi ya watoto wanaowahifadhi kwa hiyo hawa akina Mama wanapaswa kuwa na uangalizi wa karibu zaidi katika kutumia uzazi wa mpango.

 

5.Pia jamii inapaswa kuwahudumia hawa wajawazito wenye mahitaji maalum ili waweze kujifungua salama na kuepuka imani potovu ya kutoa mimba kwa wajawazito ambao wana kifafa na wenye matatizo kwa kuepuka kulea watoto wao kwa hiyo wanapaswa kutumia njia za uzazi wa mpango ili wasizae sana, kwa hiyo jamii inapaswa kuwapokea watu hawa kwa sababu nao ni binadamu wanahitaji haki zote kama walivyo binadamu wengine.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/02/08/Tuesday - 10:04:54 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 565

Post zifazofanana:-

Namna ya kuishi na vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuishi na vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Maambukizi katika mfumo wa Uzazi wa mwanamke
Maambukizi kwenye Njia ya Uzazi kwa kifupi hujulikana Kama PID.ni Maambukizi ya mfumo wa Uzazi yanayoathiri wanawake, Maambukizi haya kwa Kawaida huhusisha sehemu Kama shingo ya uzazi,nyuma ya mfuko wa Uzazi na mirija ya uzazi. Soma Zaidi...

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa kondo la nyuma
Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto. Soma Zaidi...

Utaratibu wa lishe kwa watoto
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa watoto Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kuharisha na sababu zake.
Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu Soma Zaidi...

Dalili na namna ya kujizuia na malaria
Postii hii inshusiana na dalili na ishara za kujikinga au kuzuia malaria kwa Njia mbalimbali. Soma Zaidi...

Njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka Soma Zaidi...

Njia za kufanya ili kuepukana na tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo. Soma Zaidi...

Uzazi wa mpango
Uzazi wa Mpango hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa. Uzazi wa mpango una faida kadhaa kwa mama wa mtoto, wanandoa na jamii Ujuzi wa mzunguko wa hedhi humwezesha mtoa huduma kumshauri mteja kuhusu muda wa kushika mimba pamoja na athari za njia za kupanga uzazi Soma Zaidi...

Magonjwa ya kuambukiza
Magonjwa ya kuambukiza: Ni yale yanayoweza kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine au kutoka kwa wanyama kwenda kwa mtu Mlipuko tukio lililoenea la ugonjwa katika jamii kwa wakati fulani ambao huonekana kama kesi mpya kwa kiwango ambacho kinazidi kile kinachotarajiwa, kulingana na uzoefu wa hivi majuzi. Kwa hivyo ni tukio lisilo la kawaida la ugonjwa katika jamii Soma Zaidi...

Dalili kwa mtu anayeharisha
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitia kinyesi chenye maji inawezekana kina damu au kisichokuwa na damu. Soma Zaidi...

Dalili za saratani (cancer)
Posti hii inahusu zaidi dalili za kansa, ni dalili ambazo utokea kwa mtu Mwenye tatizo la ugonjwa wa Kansa ingawa sio lazima dalili hizi kutokea tukadhani kuwa ni Kansa Ila zilizonyingi huwa ni kweli dalili za kansa. Soma Zaidi...