KOTLIN

picha
KOTLIN SOMO LA 21: JINSI TA KUTENGENEZA LIBRARY

Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
picha
KOTLIN SOMO LA 20: METHOD NA PROPERTIES ZA MAP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
picha
KOTLIN SOMO LA 19: METHOD NA PROPERTIES ZINAZOTUMIKA KWENYE SET

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
picha
KOTLIN SOMO LA 18: STRING NA METHOD ZINAZOTUMIKA KWENYE LIST DATA TYPE.

Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
picha
KOTLIN SOMO LA 17: METHOD NA PROPERTIES ZA NAMBA

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
picha
KOTLIN SOMO LA 16:BAADHI YA METHOD NA PROPERIES ZINAZOFANYA KAZI KWENYE STRING

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
picha
KOTLIN SOMO LA 15: AINZA ZA PARAMETER KWENYE FUNCTION

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
picha
KOTLIN SOMO LA 14: AINA ZA FUNCTION KWENYE KOTLIN

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
picha
KOTLIN SOMO LA 13: JINSI YA KUANDIKA FUNCTION NA KUWEKA PARAMETER

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
picha
KOTLIN SOMO LA 12: JINSI YA KUPATA USER INPUT

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
picha
KOTLIN SOMO LA 11:JINSI YA KUTUMIA BREAK NA CONTINUE KWENYE LOOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.
picha
KOTLIN SOMO LA 10: JINSI YA KUTUMIA WHILE LOOP NA DO WHILE LOOP

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.
picha
HOTLIN SOMO LA 9: JINSI YA KUTUMIA FOR LOOP

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
picha
KOTLIN SOMO LA 8: JINSI YA KUTUMIA WHEN

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.
picha
KOTLIN SOMO LA 7: JINSI YA KUTUMIA IF NA IFELSE KWENYE KOTLIN

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
picha
KOTLIN SOMO LA 6: STRING KWENYE KOTLIN

Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
picha
KOTLIN SOMO LA 5: OPERATOR NA AINA ZAKE KWENYE KOTLIN

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.
picha
KOTLIN SOMO LA 4: AINA ZA DATA KWENYE KOTLIN

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
picha
KOTLIN SOMO LA 3: JINSI YA KUANDIKA VARIABLE

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation
picha
KOTLIN SOMO LA 2: SHERIA NA KANUNI ZA UANDISHI WA CODE ZA KOTLIN

Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
picha
KOTLIN SOMO LA 1: HISTORIA YA KOTLIN NA KAZI ZAKE

Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya Kotlin pamoja na kazi za kotlin. Pia utakwenda kujifunza kuhusu uhusiano wake na java.