picha

KOTLIN somo la 12: Jinsi ya kupata user input

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

User input ni nini?

User input ni kila ambacho mtumaji wa hiyo program atatakiwa kuwasilisha kwenye hiyo program mfano akiulizwa jina, akiulizwa namba na vinginevyo. Endapo atajaza hizo taaifa ndio zinaitwa user input. Kwa ufupi taarifa ambazo unahitaji mtumiaji wa program ajaze kwenye hiyo program ndio huitwa user input.

 

Katika Kotlin ili tuweze kupata user input tutatumia method  ya readLine(), wacha tuone jinsi inavyoweza kufanya kazi:-

 

Mfano:

fun main() {

   println("Andika jina kisha bofya Enter kwenye keyboard yako");

   var name  = readLine();

   println("Jina lako ni ${name}")

}

 

 

Sasa kuna kitu nataka ujijuwe, ni kuwa user input zote ni string data type. Hivyo kama ukitaka kuweka data type kwenye kutengeneza variable utatakiwa kubadili string kuwa hiyo type ya data unayoitaka

 

Mfano:

Tunataka kutengeneza program ya kujuwa umri wa mtu. Program hii itahitaji mwaka aliozaliwa. Akishaweka mwaka aliozaliwa tutachukuwa 2023 - huo mwaka ili tupata idadi ya miaka yeke.

 

Sasa hapa kwanza tutabadilisha tada tulioipata kutoka kwenye readLine() kuwa namba. Wacha tutumie int. Hapa tutatumia function ya readLine()?.toInt() zingatia hapo tumeweka alama ya ?. hiyo hapo inaitwa self call operator hutumika kwa ajili ya ku tumia properties za object.

 

fun main() {

   println...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: ICT File: Download PDF Views 1402

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Kotlin Somo la 30: Data Classes

Somo hili linaeleza maana ya data classes katika Kotlin, kwa nini zipo, jinsi ya kuzitumia, sifa zake, pamoja na mifano ya vitendo. Pia tutajifunza tofauti kati ya class ya kawaida na data class.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 8: Jinsi ya kutumia when

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 18: string na method zinazotumika kwenye list data type.

Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
Kotlin Somo la 26: Inheritance (Urithi)

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo class moja inaweza kuriti method na properties kutoka kwenye class nyingine.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 19: method na properties zinazotumika kwenye set

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
Kotlin Somo la 32: Utangulizi wa Database na MySQL

Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 15: ainza za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
Kotlin Somo la 31: Objects na Companion Objects

Somo hili linaeleza matumizi ya objects na companion objects katika Kotlin. Tutajifunza tofauti kati ya object na class ya kawaida, faida za singleton pattern, na jinsi ya kutumia companion kama mbadala wa static members katika Java.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 10: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.

Soma Zaidi...