Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
User input ni nini?
User input ni kila ambacho mtumaji wa hiyo program atatakiwa kuwasilisha kwenye hiyo program mfano akiulizwa jina, akiulizwa namba na vinginevyo. Endapo atajaza hizo taaifa ndio zinaitwa user input. Kwa ufupi taarifa ambazo unahitaji mtumiaji wa program ajaze kwenye hiyo program ndio huitwa user input.
Katika Kotlin ili tuweze kupata user input tutatumia method ya readLine(), wacha tuone jinsi inavyoweza kufanya kazi:-
Mfano:
fun main() {
println("Andika jina kisha bofya Enter kwenye keyboard yako");
var name = readLine();
println("Jina lako ni ${name}")
}
Sasa kuna kitu nataka ujijuwe, ni kuwa user input zote ni string data type. Hivyo kama ukitaka kuweka data type kwenye kutengeneza variable utatakiwa kubadili string kuwa hiyo type ya data unayoitaka
Mfano:
Tunataka kutengeneza program ya kujuwa umri wa mtu. Program hii itahitaji mwaka aliozaliwa. Akishaweka mwaka aliozaliwa tutachukuwa 2023 - huo mwaka ili tupata idadi ya miaka yeke.
Sasa hapa kwanza tutabadilisha tada tulioipata kutoka kwenye readLine() kuwa namba. Wacha tutumie int. Hapa tutatumia function ya readLine()?.toInt() zingatia hapo tumeweka alama ya ?. hiyo hapo inaitwa self call operator hutumika kwa ajili ya ku tumia properties za object.
fun main() {
println... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin. Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin. Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo class moja inaweza kuriti method na properties kutoka kwenye class nyingine. Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba. Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter
KOTLIN somo la 15: ainza za parameter kwenye function
KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string
KOTLIN somo la 10: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop
Kotlin somo la 22: Package kenye kotlin
Kotlin Somo la 26: Inheritance (Urithi)
Kotlin somo la 24: Dhana ya Module katika kotlin
KOTLIN somo la 17: method na properties za namba
Kotlin somo la 26: Dhana ya class, object na method kwenye kotlin
HOTLIN somo la 9: Jinsi ya kutumia for loop