Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
User input ni nini?
User input ni kila ambacho mtumaji wa hiyo program atatakiwa kuwasilisha kwenye hiyo program mfano akiulizwa jina, akiulizwa namba na vinginevyo. Endapo atajaza hizo taaifa ndio zinaitwa user input. Kwa ufupi taarifa ambazo unahitaji mtumiaji wa program ajaze kwenye hiyo program ndio huitwa user input.
Katika Kotlin ili tuweze kupata user input tutatumia method ya readLine(), wacha tuone jinsi inavyoweza kufanya kazi:-
Mfano:
fun main() {
println("Andika jina kisha bofya Enter kwenye keyboard yako");
var name = readLine();
println("Jina lako ni ${name}")
}
Sasa kuna kitu nataka ujijuwe, ni kuwa user input zote ni string data type. Hivyo kama ukitaka kuweka data type kwenye kutengeneza variable utatakiwa kubadili string kuwa hiyo type ya data unayoitaka
Mfano:
Tunataka kutengeneza program ya kujuwa umri wa mtu. Program hii itahitaji mwaka aliozaliwa. Akishaweka mwaka aliozaliwa tutachukuwa 2023 - huo mwaka ili tupata idadi ya miaka yeke.
Sasa hapa kwanza tutabadilisha tada tulioipata kutoka kwenye readLine() kuwa namba. Wacha tutumie int. Hapa tutatumia function ya readLine()?.toInt() zingatia hapo tumeweka alama ya ?. hiyo hapo inaitwa self call operator hutumika kwa ajili ya ku tumia properties za object.
fun main() {
println... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake. Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop. Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set. Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba. Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi. Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function. Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Bongolite - Game zone - Play free game
👉5
Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉6
Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
KOTLIN somo la 5: operator na aina zake kwenye Kotlin
Python somo la 25: Nadharia ya Object Oriented Programming
HOTLIN somo la 9: Jinsi ya kutumia for loop
KOTLIN somo la 11:Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop
KOTLIN somo la 19: method na properties zinazotumika kwenye set
KOTLIN somo la 17: method na properties za namba
KOTLIN somo la 21: Jinsi ta kutengeneza library
KOTLIN somo la 14: Aina za function kwenye Kotlin
Kotlin somo la 24: Dhana ya Module katika kotlin
KOTLIN somo la 18: string na method zinazotumika kwenye list data type.