Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).
Programu nyingi za kisasa huhifadhi taarifa (data) kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Data hizi zinaweza kuwa taarifa za wanafunzi, bidhaa, au watumiaji. Ili kuzihifadhi kwa mpangilio na kuzitumia kwa ufanisi, tunatumia Database.
MySQL ni moja kati ya relational database management systems (RDBMS) maarufu duniani. Ni rahisi kutumia, ya haraka, na inapatikana bure (open-source).
Database ni mkusanyiko wa taarifa zilizopangwa kwa mpangilio ili ziweze kupatikana, kuhaririwa na kusasishwa kwa urahisi.
Database hutumika kwenye karibu kila aina ya programu: kutoka kwenye mitandao ya kijamii hadi mifumo ya kibiashara.
Relational Database (RDBMS) – data huhifadhiwa kwenye jedwali (tables) na kuhusiana (relationships).
Mfano: MySQL, PostgreSQL, Oracle.
NoSQL Database – data huhifadhiwa bila mpangilio wa tables (kama documents, key-value pairs, graphs).
Mfano: MongoDB, Firebase.
Kwa somo letu, tutalenga MySQL.
Ni RDBMS inayotumia lugha ya SQL (Structured Query Language).
SQL hutumika kuandika queries kama:
INSERT – kuongeza data
SELECT &nda">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza matumizi ya objects na companion objects katika Kotlin. Tutajifunza tofauti kati ya object na class ya kawaida, faida za singleton pattern, na jinsi ya kutumia companion kama mbadala wa static members katika Java.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...