Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).
Programu nyingi za kisasa huhifadhi taarifa (data) kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Data hizi zinaweza kuwa taarifa za wanafunzi, bidhaa, au watumiaji. Ili kuzihifadhi kwa mpangilio na kuzitumia kwa ufanisi, tunatumia Database.
MySQL ni moja kati ya relational database management systems (RDBMS) maarufu duniani. Ni rahisi kutumia, ya haraka, na inapatikana bure (open-source).
Database ni mkusanyiko wa taarifa zilizopangwa kwa mpangilio ili ziweze kupatikana, kuhaririwa na kusasishwa kwa urahisi.
Database hutumika kwenye karibu kila aina ya programu: kutoka kwenye mitandao ya kijamii hadi mifumo ya kibiashara.
Relational Database (RDBMS) – data huhifadhiwa kwenye jedwali (tables) na kuhusiana (relationships).
Mfano: MySQL, PostgreSQL, Oracle.
NoSQL Database – data huhifadhiwa bila mpangilio wa tables (kama documents, key-value pairs, graphs).
Mfano: MongoDB, Firebase.
Kwa somo letu, tutalenga MySQL.
Ni RDBMS inayotumia lugha ya SQL (Structured Query Language).
SQL hutumika kuandika queries kama:
INSERT – kuongeza data
SELECT &nda">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linafafanua dhana ya Encapsulation katika OOP, matumizi yake ndani ya Kotlin, pamoja na modifiers mbalimbali (private, protected, internal, public). Pia tutajifunza kwa mifano jinsi encapsulation inavyosaidia kulinda data na kudhibiti ufikivu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza dhana ya polymorphism katika OOP ya Kotlinβuwezo wa kutumia method au object moja kufanya kazi tofauti kulingana na muktadha wake. Tutajifunza aina kuu za polymorphism, jinsi ya kuandika code inayotumia override, open, super, pamoja na mifano hai.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Soma Zaidi...Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...