Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).
Programu nyingi za kisasa huhifadhi taarifa (data) kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Data hizi zinaweza kuwa taarifa za wanafunzi, bidhaa, au watumiaji. Ili kuzihifadhi kwa mpangilio na kuzitumia kwa ufanisi, tunatumia Database.
MySQL ni moja kati ya relational database management systems (RDBMS) maarufu duniani. Ni rahisi kutumia, ya haraka, na inapatikana bure (open-source).
Database ni mkusanyiko wa taarifa zilizopangwa kwa mpangilio ili ziweze kupatikana, kuhaririwa na kusasishwa kwa urahisi.
Database hutumika kwenye karibu kila aina ya programu: kutoka kwenye mitandao ya kijamii hadi mifumo ya kibiashara.
Relational Database (RDBMS) – data huhifadhiwa kwenye jedwali (tables) na kuhusiana (relationships).
Mfano: MySQL, PostgreSQL, Oracle.
NoSQL Database – data huhifadhiwa bila mpangilio wa tables (kama documents, key-value pairs, graphs).
Mfano: MongoDB, Firebase.
Kwa somo letu, tutalenga MySQL.
Ni RDBMS inayotumia lugha ya SQL (Structured Query Language).
SQL hutumika kuandika queries kama:
INSERT – kuongeza data
SELECT &nda">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza matumizi ya objects na companion objects katika Kotlin. Tutajifunza tofauti kati ya object na class ya kawaida, faida za singleton pattern, na jinsi ya kutumia companion kama mbadala wa static members katika Java.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...