Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).
Programu nyingi za kisasa huhifadhi taarifa (data) kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Data hizi zinaweza kuwa taarifa za wanafunzi, bidhaa, au watumiaji. Ili kuzihifadhi kwa mpangilio na kuzitumia kwa ufanisi, tunatumia Database.
MySQL ni moja kati ya relational database management systems (RDBMS) maarufu duniani. Ni rahisi kutumia, ya haraka, na inapatikana bure (open-source).
Database ni mkusanyiko wa taarifa zilizopangwa kwa mpangilio ili ziweze kupatikana, kuhaririwa na kusasishwa kwa urahisi.
Database hutumika kwenye karibu kila aina ya programu: kutoka kwenye mitandao ya kijamii hadi mifumo ya kibiashara.
Relational Database (RDBMS) – data huhifadhiwa kwenye jedwali (tables) na kuhusiana (relationships).
Mfano: MySQL, PostgreSQL, Oracle.
NoSQL Database – data huhifadhiwa bila mpangilio wa tables (kama documents, key-value pairs, graphs).
Mfano: MongoDB, Firebase.
Kwa somo letu, tutalenga MySQL.
Ni RDBMS inayotumia lugha ya SQL (Structured Query Language).
SQL hutumika kuandika queries kama:
INSERT
– kuongeza data
SELECT
&nda">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza matumizi ya objects na companion objects katika Kotlin. Tutajifunza tofauti kati ya object na class ya kawaida, faida za singleton pattern, na jinsi ya kutumia companion kama mbadala wa static members katika Java.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza tofauti wa library na package
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.
Soma Zaidi...