KOTLIN somo la 6: string kwenye Kotlin
Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
Tulisha jifunza kuhusu string katika somo la aina za data. Pia tulijifunza mambo kadhaa khusu string kama interpolation na concatnate. Katika somo hili tutaingia ndani zaidi.
String indexing
Katika programming unaweza kuitumia character yeyote kwenye string husika. Kwa mfano katika string bongoclass hapo naweza kusoma herufi moja moja. Tunapohesabu index ya string tunaanza na 0. Hivyo katika string Bongoclass kama tunataka kusoma herufi ya mwanzo tu hapo tutatumia index ya 0
Mfano:
fun main() {
val text = "Bongoclass"
print(text[0])
}
Hapo utaona imeleta B
fun main() {
val text = "Bongoclass"
print(text[6])
}
Hapa itakuletea l
Sas kwa mfano unataka kujuwa kwenye string yetu ya bongoclass neno class linapatikana kuandia index ya ngapi. Kufanya hivi tutatumia indexOf .
fun main() {
val text = "bongoclass"
print(text.indexOf("class"))
}
Hapo itakupa jibu 5 kumaanisha kuwa neno class kwenye string ya bongoclass hupatikana kuandia index ya 5, kumbuka tunahesabu index kuanzi 0.
Kujuwa idadi y character kwenye string (string length)
Kwa mfabo tunataka kujuwa katika string bongoclass kuna character ngapi. Hapo tutatumia length property.
Mfano:
fun main() {
val text = "Bongoclass"
print(text.length)
}
Hapo itakuletea jibu 10 kumaanisha kuwa kuna character 10.
Kubadili string kuwa katika herufi kubwa na ndogo
Kama unataka kubadili string case kutoka herufi kubwa kwenye ndogo utatumia lowercase() na kama unataka kubadili kutoka ndogo kuwa kubwa utatumia uppercase()
Mfano:
fun main() {
val text = "bongoclass"
val text2 = "BONGOCLASS"
println(text.uppercase())
print(text2.lowercase())
}
Kulinganisha string mbili:
Wakati mwingine utahitaji kulinganisha string mwili. Kama zipo sawa. Kufanya hivi utatumia compareTo. Ikiwa itakupa jibu 0 ujuwe zipo sawa, na ikikupa jibu tofauti ujuwe hazipo sawa.
Mfano:
fun main() {
val text = "bongoclass"
val text2 = "bongoclass...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
KOTLIN somo la 12: Jinsi ya kupata user input
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...Kotlin somo la 25: Nadharia ya Object Oriented Programming
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string
Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 14: Aina za function kwenye Kotlin
Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 4: Aina za Data kwenye Kotlin
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...