KOTLIN somo la 6: string kwenye Kotlin

Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.

Tulisha jifunza kuhusu string katika somo la aina za data. Pia tulijifunza mambo kadhaa khusu string kama interpolation na concatnate. Katika somo hili tutaingia ndani zaidi.

 

String indexing

Katika programming unaweza kuitumia character yeyote kwenye string husika. Kwa mfano katika string bongoclass hapo naweza kusoma herufi moja moja. Tunapohesabu index ya string tunaanza na 0. Hivyo katika string Bongoclass kama tunataka kusoma herufi ya mwanzo tu hapo tutatumia index ya 0

Mfano:

fun main() {

  val text = "Bongoclass"

  print(text[0])

}

 

Hapo utaona imeleta B

fun main() {

  val text = "Bongoclass"

  print(text[6])

}

Hapa itakuletea l

 

Sas kwa mfano unataka kujuwa kwenye string yetu ya bongoclass neno  class linapatikana kuandia index ya ngapi. Kufanya hivi tutatumia indexOf

fun main() {

  val text = "bongoclass"

  print(text.indexOf("class"))

}

 

Hapo itakupa jibu 5 kumaanisha kuwa neno class kwenye string ya bongoclass hupatikana kuandia index ya 5, kumbuka tunahesabu index kuanzi 0.

 

Kujuwa idadi y character kwenye string (string length)

Kwa mfabo tunataka kujuwa katika string bongoclass kuna character ngapi. Hapo tutatumia length property.

Mfano:

fun main() {

  val text = "Bongoclass"

  print(text.length)

}

Hapo itakuletea jibu 10 kumaanisha kuwa kuna character 10.


 

Kubadili string kuwa katika herufi kubwa na ndogo

Kama unataka kubadili string case kutoka herufi kubwa kwenye ndogo utatumia lowercase() na kama unataka kubadili kutoka ndogo kuwa kubwa utatumia uppercase()

Mfano:

fun main() {

  val text = "bongoclass"

  val text2 = "BONGOCLASS"

  println(text.uppercase())

  print(text2.lowercase())

}

 

Kulinganisha string mbili:

Wakati mwingine utahitaji kulinganisha string mwili. Kama zipo sawa. Kufanya hivi utatumia compareTo. Ikiwa itakupa jibu 0 ujuwe zipo sawa, na ikikupa jibu tofauti ujuwe hazipo sawa.

Mfano:

fun main() {

  val text = "bongoclass"

  val text2 = "bongoclass"

 

  print(text compareTo text2)

}

 

Hiyo itakupa">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: ICT File: Download PDF Views 537

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
Kotlin Somo la 26: Inheritance (Urithi)

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo class moja inaweza kuriti method na properties kutoka kwenye class nyingine.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 20: method na properties za map

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...
HOTLIN somo la 9: Jinsi ya kutumia for loop

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 5: operator na aina zake kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 1: Historia ya kotlin na kazi zake

Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya Kotlin pamoja na kazi za kotlin. Pia utakwenda kujifunza kuhusu uhusiano wake na java.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 10: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 17: method na properties za namba

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 12: Jinsi ya kupata user input

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...