Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
Tulisha jifunza kuhusu string katika somo la aina za data. Pia tulijifunza mambo kadhaa khusu string kama interpolation na concatnate. Katika somo hili tutaingia ndani zaidi.
String indexing
Katika programming unaweza kuitumia character yeyote kwenye string husika. Kwa mfano katika string bongoclass hapo naweza kusoma herufi moja moja. Tunapohesabu index ya string tunaanza na 0. Hivyo katika string Bongoclass kama tunataka kusoma herufi ya mwanzo tu hapo tutatumia index ya 0
Mfano:
fun main() {
val text = "Bongoclass"
print(text[0])
}
Hapo utaona imeleta B
fun main() {
val text = "Bongoclass"
print(text[6])
}
Hapa itakuletea l
Sas kwa mfano unataka kujuwa kwenye string yetu ya bongoclass neno class linapatikana kuandia index ya ngapi. Kufanya hivi tutatumia indexOf .
fun main() {
val text = "bongoclass"
print(text.indexOf("class"))
}
Hapo itakupa jibu 5 kumaanisha kuwa neno class kwenye string ya bongoclass hupatikana kuandia index ya 5, kumbuka tunahesabu index kuanzi 0.
Kujuwa idadi y character kwenye string (string length)
Kwa mfabo tunataka kujuwa katika string bongoclass kuna character ngapi. Hapo tutatumia length property.
Mfano:
fun main() {
val text = "Bongoclass"
print(text.length)
}
Hapo itakuletea jibu 10 kumaanisha kuwa kuna character 10.
Kubadili string kuwa katika herufi kubwa na ndogo
Kama unataka kubadili string case kutoka herufi kubwa kwenye ndogo utatumia lowercase() na kama unataka kubadili kutoka ndogo kuwa kubwa utatumia uppercase()
Mfano:
fun main() {
val text = "bongoclass"
val text2 = "BONGOCLASS"
println(text.uppercase())
print(text2.lowercase())
}
Kulinganisha string mbili:
Wakati mwingine utahitaji kulinganisha string mwili. Kama zipo sawa. Kufanya hivi utatumia compareTo. Ikiwa itakupa jibu 0 ujuwe zipo sawa, na ikikupa jibu tofauti ujuwe hazipo sawa.
Mfano:
fun main() {
val text = "bongoclass"
val text2 = "bongoclass"
print(text compareTo text2)
}
Hiyo itakupa">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza dhana ya polymorphism katika OOP ya Kotlinβuwezo wa kutumia method au object moja kufanya kazi tofauti kulingana na muktadha wake. Tutajifunza aina kuu za polymorphism, jinsi ya kuandika code inayotumia override, open, super, pamoja na mifano hai.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza matumizi ya objects na companion objects katika Kotlin. Tutajifunza tofauti kati ya object na class ya kawaida, faida za singleton pattern, na jinsi ya kutumia companion kama mbadala wa static members katika Java.
Soma Zaidi...Somo hili linafafanua dhana ya Encapsulation katika OOP, matumizi yake ndani ya Kotlin, pamoja na modifiers mbalimbali (private, protected, internal, public). Pia tutajifunza kwa mifano jinsi encapsulation inavyosaidia kulinda data na kudhibiti ufikivu.
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Soma Zaidi...