KOTLIN somo la 20: method na properties za map

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Map ni ana ya data ambazo zinakuwa na key na value.mfano {jina=bongoclass, umri=5, mmiliki=binafsi, hali=ipo hai}. Hapa jina ni key  na bongoclass ni value. Hivyo hivyo kwenye umri ni key na 5 ni value….

 

Unaweza kutengeneza map kabla ya kuiwek kwneyemchakato, kama nilivyofanya hapo juu. Ama unaweza kuweka data kisha map itatengenezwa wakati program inapo run kama hapo chini. Nimetengeneza map ya website kwa kutumia mutableMapOf.

fun main() {

   val websites = mutableMapOf<String, Any>()

   websites["jina"] = "bongoclass"

   websites["umri"] = 5

   websites["mmiliki"] = "binafsi"

   websites["hali"] = "ipo hai"

 

   println(websites)

}

{jina=bongoclass, umri=5, mmiliki=binafsi, hali=ipo hai}


 

Map properties:

- `keys` hutumika kupata keys za map

- `values` hutumika kupata values za map

- `size` hutumika kupata idadi ya item

- `isEmpty` kuangalia kama map ni tupu

- `isNotEmpty` kuangalia kama map sio tupu

 

fun main() {

   val websites = mutableMapOf<String, Any>()

   websites["jina"] = "bongoclass"

   websites["umri"] = 5

   websites["mmiliki"] = "binafsi"

   websites["hali"] = "ipo hai"

 

   println("keys")

   println(websites.keys)

 

   println("values")

   println(websites.values)

 

   println("size")

   println(websites.size)

 

   println("isEmpty")

   println(websites.isEmpty())

 

   println("isNotEmpty")

   println(websites.isNotEmpty())

}

 

Map methods

- `putAll()` hutumika kuongeza item kwenye map

 

fun main() {

   val website = mutableMapOf("jina" to "bongoclass", "umri" to 5, "mmiliki" to "binafsi", "hali" to">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: ICT File: Download PDF Views 609

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 2: sheria na kanuni za uandishi wa code za Kotlin

Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 12: Jinsi ya kupata user input

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 18: string na method zinazotumika kwenye list data type.

Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 6: string kwenye Kotlin

Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 24: Dhana ya Module katika kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Nadharia ya Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 8: Jinsi ya kutumia when

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...