KOTLIN somo la 20: method na properties za map
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Map ni ana ya data ambazo zinakuwa na key na value.mfano {jina=bongoclass, umri=5, mmiliki=binafsi, hali=ipo hai}. Hapa jina ni key na bongoclass ni value. Hivyo hivyo kwenye umri ni key na 5 ni value….
Unaweza kutengeneza map kabla ya kuiwek kwneyemchakato, kama nilivyofanya hapo juu. Ama unaweza kuweka data kisha map itatengenezwa wakati program inapo run kama hapo chini. Nimetengeneza map ya website kwa kutumia mutableMapOf.
fun main() {
val websites = mutableMapOf<String, Any>()
websites["jina"] = "bongoclass"
websites["umri"] = 5
websites["mmiliki"] = "binafsi"
websites["hali"] = "ipo hai"
println(websites)
}
{jina=bongoclass, umri=5, mmiliki=binafsi, hali=ipo hai}
Map properties:
- `keys` hutumika kupata keys za map
- `values` hutumika kupata values za map
- `size` hutumika kupata idadi ya item
- `isEmpty` kuangalia kama map ni tupu
- `isNotEmpty` kuangalia kama map sio tupu
fun main() {
val websites = mutableMapOf<String, Any>()
websites["jina"] = "bongoclass"
websites["umri"] = 5
websites["mmiliki"] = "binafsi"
websites["hali"] = "ipo hai"
println("keys")
println(websites.keys)
println("values")
println(websites.values)
println("size")
println(websites.size)
println("isEmpty")
println(websites.isEmpty())
println("isNotEmpty")
println(websites.isNotEmpty())
}
Map methods
- `putAll()` hutumika kuongeza item kwenye map
fun main() {
val website = mutableMapOf("jina" to "bongoclass", &qu...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 ai web app 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
KOTLIN somo la 8: Jinsi ya kutumia when
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 5: operator na aina zake kwenye Kotlin
Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...Kotlin somo la 22: Package kenye kotlin
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 2: sheria na kanuni za uandishi wa code za Kotlin
Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
Soma Zaidi...Kotlin somo la 23: Utofauti wa package na library
Katika somo hili utakwenda kujifunza tofauti wa library na package
Soma Zaidi...