KOTLIN somo la 17: method na properties za namba
Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
Kukadiria namba
Chukulia mfano 10/3 = 2.5. Sasa tukiikadiria hapa tutapata 3. Kufanya hivi tutatumia method ya roundToInt(). Kwanza tuta import math library. Library hii inahusu mahesabu tu. tunakuja jifunza zadi jinsi ya kutengeneza library yetu wenyewe masomo yanayofuata.
import kotlin.math.roundToInt
fun main() {
val jibu: Double = 10.0 / 4.0
println(jibu)
println(jibu.roundToInt())
}
Kuangalia sifa za namba yani properties:
Namba shufwa (isEven)
Hii itatoa jibu true ikiwa kweli na false ikiwa si kweli. Tutashtua kama 4 ni shufwa
fun main() {
val isEven: (Int) -> Boolean = { it % 2 == 0 }
println(isEven(4))
}
Kutengeneza hashcode ya namba (hashCode)
Hii itakuletea hashcode ya namba husika. Kwa mfano, neno “bongoclass” tunakwenda kuitengenezea hashcode
fun main() {
val number = "bongoclass"
println(number.hashCode())
}
2084316335
Kunagalia kama namba ni hasi tutatumia isNegative
Kuangalia kama namba ni infinit - haina mwisho tutatumia isInfinit
Kuangalia kama namba ni finit - ina mwisho tutatumia isFinite
Kuangalia kama namba sio negative - hasi tutatumia isNan
Kuangalia kama namba ni witiri yaani odd tutatumia isOdd
fun isInfinit(number: Double): Boolean = number.isInfinite()
fun isFinite(number: Double): Boolean = number.isFinite()
fun isNan(number: Double): Boolean = number.isNaN()
fun isOdd(number: Int): Boolean = number % 2 != 0
fun main() {
val number = 4.0
Check conditions for a Double
println(isInfinit(number))
println(isFinite(number))
println(isNan(number))
Check condition for an Int
println(isOdd(4))
}
Kubadili namba kuwa string toString
fun main() {
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
KOTLIN somo la 18: string na method zinazotumika kwenye list data type.
Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 8: Jinsi ya kutumia when
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Kotlin somo la 25: Nadharia ya Object Oriented Programming
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
Soma Zaidi...Kotlin somo la 24: Dhana ya Module katika kotlin
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Soma Zaidi...