KOTLIN somo la 17: method na properties za namba
Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
Kukadiria namba
Chukulia mfano 10/3 = 2.5. Sasa tukiikadiria hapa tutapata 3. Kufanya hivi tutatumia method ya roundToInt(). Kwanza tuta import math library. Library hii inahusu mahesabu tu. tunakuja jifunza zadi jinsi ya kutengeneza library yetu wenyewe masomo yanayofuata.
import kotlin.math.roundToInt
fun main() {
val jibu: Double = 10.0 / 4.0
println(jibu)
println(jibu.roundToInt())
}
Kuangalia sifa za namba yani properties:
Namba shufwa (isEven)
Hii itatoa jibu true ikiwa kweli na false ikiwa si kweli. Tutashtua kama 4 ni shufwa
fun main() {
val isEven: (Int) -> Boolean = { it % 2 == 0 }
println(isEven(4))
}
Kutengeneza hashcode ya namba (hashCode)
Hii itakuletea hashcode ya namba husika. Kwa mfano, neno “bongoclass” tunakwenda kuitengenezea hashcode
fun main() {
val number = "bongoclass"
println(number.hashCode())
}
2084316335
Kunagalia kama namba ni hasi tutatumia isNegative
Kuangalia kama namba ni infinit - haina mwisho tutatumia isInfinit
Kuangalia kama namba ni finit - ina mwisho tutatumia isFinite
Kuangalia kama namba sio negative - hasi tutatumia isNan
Kuangalia kama namba ni witiri yaani odd tutatumia isOdd
fun isInfinit(number: Double): Boolean = number.isInfinite()
fun isFinite(number: Double): Boolean = number.isFinite()
fun isNan(number: Double): Boolean = number.isNaN()
fun isOdd(number: Int): Boolean = number % 2 != 0
fun main() {
val number = 4.0
Check conditions for a Double
println(isInfinit(number))
println(isFinite(number))
println(isNan(number))
Check condition for an Int
println(isOdd(4))
}
Kubadili namba kuwa string toString
fun main() {
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 ai web app 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 web hosting 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Kotlin somo la 22: Package kenye kotlin
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika
Soma Zaidi...Kotlin Somo la 32: Utangulizi wa Database na MySQL
Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 10: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 6: string kwenye Kotlin
Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...