Menu



KOTLIN somo la 17: method na properties za namba

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.

Kukadiria namba 

Chukulia mfano 10/3 = 2.5. Sasa tukiikadiria hapa tutapata 3. Kufanya hivi tutatumia method ya roundToInt(). Kwanza tuta import math library. Library hii inahusu mahesabu tu. tunakuja jifunza zadi jinsi ya kutengeneza library yetu wenyewe masomo yanayofuata.

 

import kotlin.math.roundToInt

 

fun main() {

   val jibu: Double = 10.0 / 4.0

   println(jibu)

   println(jibu.roundToInt())

}


 

Kuangalia sifa za namba yani properties:

Namba shufwa (isEven)

Hii itatoa jibu true ikiwa kweli na false ikiwa si kweli. Tutashtua kama 4 ni shufwa

fun main() {

   val isEven: (Int) -> Boolean = { it % 2 == 0 }

   println(isEven(4))

}


 

Kutengeneza hashcode ya namba (hashCode)

Hii itakuletea hashcode ya namba husika. Kwa mfano, neno “bongoclass”  tunakwenda kuitengenezea hashcode

fun main() {

   val number = "bongoclass"

   println(number.hashCode())

}

 

2084316335

 

Kunagalia kama namba ni hasi tutatumia isNegative

Kuangalia kama namba ni infinit - haina mwisho tutatumia isInfinit

Kuangalia kama namba ni finit - ina mwisho tutatumia isFinite

Kuangalia kama namba sio negative - hasi tutatumia isNan

Kuangalia kama namba ni witiri yaani odd tutatumia isOdd

fun isInfinit(number: Double): Boolean = number.isInfinite()

 

fun isFinite(number: Double): Boolean = number.isFinite()

 

fun isNan(number: Double): Boolean = number.isNaN()

 

fun isOdd(number: Int): Boolean = number % 2 != 0

 

fun main() {

   val number = 4.0

 

   Check conditions for a Double

   println(isInfinit(number))

   println(isFinite(number))

   println(isNan(number))

 

   Check condition for an Int

   println(isOdd(4))

}

 <">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: Masomo File: Download PDF Views 474

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

HOTLIN somo la 9: Jinsi ya kutumia for loop

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 19: method na properties zinazotumika kwenye set

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 3: Jinsi ya kuandika variable

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 6: string kwenye Kotlin

Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 2: sheria na kanuni za uandishi wa code za Kotlin

Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 4: Aina za Data kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 12: Jinsi ya kupata user input

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...