KOTLIN somo la 17: method na properties za namba
Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
Kukadiria namba
Chukulia mfano 10/3 = 2.5. Sasa tukiikadiria hapa tutapata 3. Kufanya hivi tutatumia method ya roundToInt(). Kwanza tuta import math library. Library hii inahusu mahesabu tu. tunakuja jifunza zadi jinsi ya kutengeneza library yetu wenyewe masomo yanayofuata.
import kotlin.math.roundToInt
fun main() {
val jibu: Double = 10.0 / 4.0
println(jibu)
println(jibu.roundToInt())
}
Kuangalia sifa za namba yani properties:
Namba shufwa (isEven)
Hii itatoa jibu true ikiwa kweli na false ikiwa si kweli. Tutashtua kama 4 ni shufwa
fun main() {
val isEven: (Int) -> Boolean = { it % 2 == 0 }
println(isEven(4))
}
Kutengeneza hashcode ya namba (hashCode)
Hii itakuletea hashcode ya namba husika. Kwa mfano, neno “bongoclass” tunakwenda kuitengenezea hashcode
fun main() {
val number = "bongoclass"
println(number.hashCode())
}
2084316335
Kunagalia kama namba ni hasi tutatumia isNegative
Kuangalia kama namba ni infinit - haina mwisho tutatumia isInfinit
Kuangalia kama namba ni finit - ina mwisho tutatumia isFinite
Kuangalia kama namba sio negative - hasi tutatumia isNan
Kuangalia kama namba ni witiri yaani odd tutatumia isOdd
fun isInfinit(number: Double): Boolean = number.isInfinite()
fun isFinite(number: Double): Boolean = number.isFinite()
fun isNan(number: Double): Boolean = number.isNaN()
fun isOdd(number: Int): Boolean = number % 2 != 0
fun main() {
val number = 4.0
Check conditions for a Double
println(isInfinit(number))
println(isFinite(number))
println(isNan(number))
Check condition for an Int
println(isOdd(4))
}
Kubadili namba kuwa string toString
fun main() {
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Kotlin Somo la 32: Utangulizi wa Database na MySQL
Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 12: Jinsi ya kupata user input
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 4: Aina za Data kwenye Kotlin
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 14: Aina za function kwenye Kotlin
Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 8: Jinsi ya kutumia when
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...