Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
Kukadiria namba
Chukulia mfano 10/3 = 2.5. Sasa tukiikadiria hapa tutapata 3. Kufanya hivi tutatumia method ya roundToInt(). Kwanza tuta import math library. Library hii inahusu mahesabu tu. tunakuja jifunza zadi jinsi ya kutengeneza library yetu wenyewe masomo yanayofuata.
import kotlin.math.roundToInt
fun main() {
val jibu: Double = 10.0 / 4.0
println(jibu)
println(jibu.roundToInt())
}
Kuangalia sifa za namba yani properties:
Namba shufwa (isEven)
Hii itatoa jibu true ikiwa kweli na false ikiwa si kweli. Tutashtua kama 4 ni shufwa
fun main() {
val isEven: (Int) -> Boolean = { it % 2 == 0 }
println(isEven(4))
}
Kutengeneza hashcode ya namba (hashCode)
Hii itakuletea hashcode ya namba husika. Kwa mfano, neno “bongoclass” tunakwenda kuitengenezea hashcode
fun main() {
val number = "bongoclass"
println(number.hashCode())
}
2084316335
Kunagalia kama namba ni hasi tutatumia isNegative
Kuangalia kama namba ni infinit - haina mwisho tutatumia isInfinit
Kuangalia kama namba ni finit - ina mwisho tutatumia isFinite
Kuangalia kama namba sio negative - hasi tutatumia isNan
Kuangalia kama namba ni witiri yaani odd tutatumia isOdd
fun isInfinit(number: Double): Boolean = number.isInfinite()
fun isFinite(number: Double): Boolean = number.isFinite()
fun isNan(number: Double): Boolean = number.isNaN()
fun isOdd(number: Int): Boolean = number % 2 != 0
fun main() {
val number = 4.0
Check conditions for a Double
println(isInfinit(number))
println(isFinite(number))
println(isNan(number))
Check condition for an Int
println(isOdd(4))
}
<">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...