KOTLIN somo la 17: method na properties za namba

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.

Kukadiria namba 

Chukulia mfano 10/3 = 2.5. Sasa tukiikadiria hapa tutapata 3. Kufanya hivi tutatumia method ya roundToInt(). Kwanza tuta import math library. Library hii inahusu mahesabu tu. tunakuja jifunza zadi jinsi ya kutengeneza library yetu wenyewe masomo yanayofuata.

 

import kotlin.math.roundToInt

 

fun main() {

   val jibu: Double = 10.0 / 4.0

   println(jibu)

   println(jibu.roundToInt())

}


 

Kuangalia sifa za namba yani properties:

Namba shufwa (isEven)

Hii itatoa jibu true ikiwa kweli na false ikiwa si kweli. Tutashtua kama 4 ni shufwa

fun main() {

   val isEven: (Int) -> Boolean = { it % 2 == 0 }

   println(isEven(4))

}


 

Kutengeneza hashcode ya namba (hashCode)

Hii itakuletea hashcode ya namba husika. Kwa mfano, neno “bongoclass”  tunakwenda kuitengenezea hashcode

fun main() {

   val number = "bongoclass"

   println(number.hashCode())

}

 

2084316335

 

Kunagalia kama namba ni hasi tutatumia isNegative

Kuangalia kama namba ni infinit - haina mwisho tutatumia isInfinit

Kuangalia kama namba ni finit - ina mwisho tutatumia isFinite

Kuangalia kama namba sio negative - hasi tutatumia isNan

Kuangalia kama namba ni witiri yaani odd tutatumia isOdd

fun isInfinit(number: Double): Boolean = number.isInfinite()

 

fun isFinite(number: Double): Boolean = number.isFinite()

 

fun isNan(number: Double): Boolean = number.isNaN()

 

fun isOdd(number: Int): Boolean = number % 2 != 0

 

fun main() {

   val number = 4.0

 

   Check conditions for a Double

   println(isInfinit(number))

   println(isFinite(number))

   println(isNan(number))

 

   Check condition for an Int

   println(isOdd(4))

}

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: ICT File: Download PDF Views 683

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 20: method na properties za map

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Nadharia ya Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 5: operator na aina zake kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 10: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function

Soma Zaidi...
HOTLIN somo la 9: Jinsi ya kutumia for loop

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 11:Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 26: Dhana ya class, object na method kwenye kotlin

Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 21: Jinsi ta kutengeneza library

Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...