Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo class moja inaweza kuriti method na properties kutoka kwenye class nyingine.
dKatika programu zinazotumia mwelekeo wa object-oriented (OOP), urithi ni kipengele kinachowezesha class moja kurithi tabia na sifa kutoka kwa class nyingine. Kotlin, kama lugha ya kisasa ya OOP, huipa kipaumbele usalama wa muundo wa code kwa kuzuia kurithiwa kiholela. Kwa hiyo, class au method haiwezi kurithiwa bila kuwekwa wazi kwa kutumia open. Katika somo hili, tutajifunza si tu kuhusu jinsi ya kuandika inheritance kwenye Kotlin, bali pia jinsi modifiers mbalimbali zinavyoathiri uwezo wa urithi au upatikanaji wa vipengele vya class.
Inheritance ni dhana ya Object-Oriented Programming (OOP) inayoruhusu class moja kurithi mali (properties) na tabia (methods) kutoka kwa class nyingine.
Kwa mfano: Kama tuna class ya
Mnyama, tunaweza kutengeneza class yaMbwaauPakainayorithi kutoka kwaMnyamabila kuandika upya kila kitu.
Supper class na subclass:
class ambayo inarithiwa huitwa parent class yaani mzazi. Hii pia huitwa supper class na class ambayo inarithi huitwa child class yaani mtoto. Hii pi huitwa subclass. Ili class iweze kuruthiwa inahitajika kuwa open yaani open class. Class inaweza kuwa open kwa kuwekewa keyword ya open.
Kurudia code (reusability)
Kupunguza makosa (less redundancy)
Kuweka hierarkia ya class zinazohusiana
Kurahisisha matengenezo na upanuzi wa programu
| Kipengele | Maelezo |
|---|---|
open class |
Class inayoruhusu kurithiwa (by default class zote Kotlin ni final) |
: (colon) |
Hutumika kuonyesha urithi |
super |
Keyword ya kufikia class ya mzazi kutoka class ya mtoto |
override |
Keyword ya kuandika upya method ya mzazi kwenye mtoto |
open class Mzazi {
fun salamu() = println("Habari kutoka kwa mzazi")
}
class Mtoto : Mzazi()
Maelezo:
Mzazi ni class ya juu (superclass au base class)
Mtoto ni class ya chini (subclass au derived class)
Mtoto anarithi function salamu() kutoka Mzazi
open class Mnyama(val jina: String) {
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya Kotlin pamoja na kazi za kotlin. Pia utakwenda kujifunza kuhusu uhusiano wake na java.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Somo hili linafafanua dhana ya Encapsulation katika OOP, matumizi yake ndani ya Kotlin, pamoja na modifiers mbalimbali (private, protected, internal, public). Pia tutajifunza kwa mifano jinsi encapsulation inavyosaidia kulinda data na kudhibiti ufikivu.
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...