Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo class moja inaweza kuriti method na properties kutoka kwenye class nyingine.
dKatika programu zinazotumia mwelekeo wa object-oriented (OOP), urithi ni kipengele kinachowezesha class moja kurithi tabia na sifa kutoka kwa class nyingine. Kotlin, kama lugha ya kisasa ya OOP, huipa kipaumbele usalama wa muundo wa code kwa kuzuia kurithiwa kiholela. Kwa hiyo, class au method haiwezi kurithiwa bila kuwekwa wazi kwa kutumia open. Katika somo hili, tutajifunza si tu kuhusu jinsi ya kuandika inheritance kwenye Kotlin, bali pia jinsi modifiers mbalimbali zinavyoathiri uwezo wa urithi au upatikanaji wa vipengele vya class.
Inheritance ni dhana ya Object-Oriented Programming (OOP) inayoruhusu class moja kurithi mali (properties) na tabia (methods) kutoka kwa class nyingine.
Kwa mfano: Kama tuna class ya
Mnyama, tunaweza kutengeneza class yaMbwaauPakainayorithi kutoka kwaMnyamabila kuandika upya kila kitu.
Supper class na subclass:
class ambayo inarithiwa huitwa parent class yaani mzazi. Hii pia huitwa supper class na class ambayo inarithi huitwa child class yaani mtoto. Hii pi huitwa subclass. Ili class iweze kuruthiwa inahitajika kuwa open yaani open class. Class inaweza kuwa open kwa kuwekewa keyword ya open.
Kurudia code (reusability)
Kupunguza makosa (less redundancy)
Kuweka hierarkia ya class zinazohusiana
Kurahisisha matengenezo na upanuzi wa programu
| Kipengele | Maelezo |
|---|---|
open class |
Class inayoruhusu kurithiwa (by default class zote Kotlin ni final) |
: (colon) |
Hutumika kuonyesha urithi |
super |
Keyword ya kufikia class ya mzazi kutoka class ya mtoto |
override |
Keyword ya kuandika upya method ya mzazi kwenye mtoto |
open class Mzazi {
fun salamu() = println("Habari kutoka kwa mzazi")
}
class Mtoto : Mzazi()
Maelezo:
Mzazi ni class ya juu (superclass au base class)
Mtoto ni class ya chini (subclass au derived class)
Mtoto anarithi function salamu() kutoka Mzazi
open class Mnyama(val jina: String) {
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza tofauti wa library na package
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya Kotlin pamoja na kazi za kotlin. Pia utakwenda kujifunza kuhusu uhusiano wake na java.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza dhana ya polymorphism katika OOP ya Kotlinβuwezo wa kutumia method au object moja kufanya kazi tofauti kulingana na muktadha wake. Tutajifunza aina kuu za polymorphism, jinsi ya kuandika code inayotumia override, open, super, pamoja na mifano hai.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...