Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo class moja inaweza kuriti method na properties kutoka kwenye class nyingine.
dKatika programu zinazotumia mwelekeo wa object-oriented (OOP), urithi ni kipengele kinachowezesha class moja kurithi tabia na sifa kutoka kwa class nyingine. Kotlin, kama lugha ya kisasa ya OOP, huipa kipaumbele usalama wa muundo wa code kwa kuzuia kurithiwa kiholela. Kwa hiyo, class au method haiwezi kurithiwa bila kuwekwa wazi kwa kutumia open. Katika somo hili, tutajifunza si tu kuhusu jinsi ya kuandika inheritance kwenye Kotlin, bali pia jinsi modifiers mbalimbali zinavyoathiri uwezo wa urithi au upatikanaji wa vipengele vya class.
Inheritance ni dhana ya Object-Oriented Programming (OOP) inayoruhusu class moja kurithi mali (properties) na tabia (methods) kutoka kwa class nyingine.
Kwa mfano: Kama tuna class ya
Mnyama, tunaweza kutengeneza class yaMbwaauPakainayorithi kutoka kwaMnyamabila kuandika upya kila kitu.
Supper class na subclass:
class ambayo inarithiwa huitwa parent class yaani mzazi. Hii pia huitwa supper class na class ambayo inarithi huitwa child class yaani mtoto. Hii pi huitwa subclass. Ili class iweze kuruthiwa inahitajika kuwa open yaani open class. Class inaweza kuwa open kwa kuwekewa keyword ya open.
Kurudia code (reusability)
Kupunguza makosa (less redundancy)
Kuweka hierarkia ya class zinazohusiana
Kurahisisha matengenezo na upanuzi wa programu
| Kipengele | Maelezo |
|---|---|
open class |
Class inayoruhusu kurithiwa (by default class zote Kotlin ni final) |
: (colon) |
Hutumika kuonyesha urithi |
super |
Keyword ya kufikia class ya mzazi kutoka class ya mtoto |
override |
Keyword ya kuandika upya method ya mzazi kwenye mtoto |
open class Mzazi {
fun salamu() = println("Habari kutoka kwa mzazi")
}
class Mtoto : Mzazi()
Maelezo:
Mzazi ni class ya juu (superclass au base class)
Mtoto ni class ya chini (subclass au derived class)
Mtoto anarithi function salamu() kutoka Mzazi
open class Mnyama(val jina: String) {
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...