image

KOTLIN somo la 10: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.

While loop hii hutumika endapo hujui kama code zako zinatakiwaku run mara ngapi. Yenyewe hii ni rahisi sana kutumia. Unachotakiwa kufanya ni kuweka sharti (condition) kisha zitafuata code.

While (condition){

Code

increment/ decrement

}

fun main() {

    println("ORODHA YA NAMBA")

    var x = 1

    println(x)

    while (x < 12) {

        x++

        println(x)

    }

}

 

 

Wacha tuone jinsi ambavyo tutaweza kutengeneza tebo yetu ya 7 kwa kutumia while loop.

 

fun main() {

   print("TEBO YA 7");

   var x = 0;

   while(x <12){

       x++;

       println("${x}*7= ${x *7}");

   }

}

 

 

Do while loop

Hii ni sawa na while loop ila utofauti wao ni kuwa do while loop yenyewe kwanza itanza na ku run code husika kabla ya kuangalia sharti. Baad">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 189


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

KOTLIN somo la 8: Jinsi ya kutumia when
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin. Soma Zaidi...

KOTLIN somo la 3: Jinsi ya kuandika variable
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation Soma Zaidi...

KOTLIN somo la 2: sheria na kanuni za uandishi wa code za Kotlin
Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin. Soma Zaidi...

KOTLIN somo la 18: string na method zinazotumika kwenye list data type.
Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin. Soma Zaidi...

KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement Soma Zaidi...

KOTLIN somo la 5: operator na aina zake kwenye Kotlin
Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake. Soma Zaidi...

KOTLIN somo la 19: method na properties zinazotumika kwenye set
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set. Soma Zaidi...

KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function Soma Zaidi...

KOTLIN somo la 12: Jinsi ya kupata user input
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program. Soma Zaidi...

KOTLIN somo la 10: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin. Soma Zaidi...

KOTLIN somo la 6: string kwenye Kotlin
Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin. Soma Zaidi...

KOTLIN somo la 11:Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop. Soma Zaidi...