KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Ili uweze kwanza kuelewa somo hili nitakupa case hapa mbili. 

Case 1: umetkiwa ktengeneza program kwa ajili ya menyu ya chakula chuleni. Unatakiwa program hiyo inapofika muda wa kula asubuhi saa 4 iseme chakula cha asubuhi kipo tayari na wakati wa mchana saa 7 iseme chakula cha mchana kipo tayari na inapofika jioni saa 1 usiku iseme  chakula cha usiku kipo tayari mwisho inapofika saa 4 usiku iseme  mlale salama.  

 

Kwa hiyo hapo utaona tumeweka masharti kulingana na saa. Shari la kwanza ifike saa 4 asubuhi ndipo iseme chakula cha subuhi kipo tayari… na kuendelea masharti mengine. Hii ndio tunaita descision making

 

Case 2: umetakiwa kutengeneza  table (zile tabo za kuzidisha katika somo la hesabu) ya 2 kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la tatu. Sasa badala ya kuandika moja moja utahitaji program yako iandike yenyewe. Hapa ndio tunaita  loop .mfano mzui wa loop ni music player, kwamba unawez akuchaguwa mziki ujirudie rudie mara ngapii.


 

Flow statemenet zimegawanyika katika makundi makuu matatu ambayo ni:-

  1. Descision making: hapa program inafanya maamuzi kulingana na masharti atakayoweka. Hizi ni kama
    1. If
    2. Ifelse
    3. If else if
    4. when case
  2. Looping: hapa program inarudia rudia ku run code zaidi ya mara moja kulingana na masharti yatakayowekwa.. Hizi ni kama :-
    1. For loop
    2. For in loop
    3. While loop
    4. Do while loop
  3. Jumping: hapa program ita run kisha itawacha baadhi ya block za code na kuendelea tena kulingana na masharti yatakayowekwa.

 

  1. If statement:

Hii ni sawa na neno la kiswahiki ikiwa. Kwa mfano tunasema ikiwa umri wa mtoto ni miaka 7 program iseme aende shule. Sawa ngoja tuone jinsi ya kufanya program yetu itumie sharti hili.

 

Jinsi ya kuandika descision making statemen

If ( weka sharti) {

Weka code

}

Kama unavyoona hapo kwanza utaanza na keyword if likifuatiwa na na mabano ()  ndani ya mabano hayo weka charti lako. Ambapo ni umri wa mtoto iwe miaka 7. Kisha utaweka mabano {} ambapo ndani ya mabani hayo utaweka nini kitokee kama sharti limefikiwa. Kwa mujibu wa mfano wetu hap tunataka program iseme aende shule. Sasa wacha tuone jinsi ya kuandika hizo code.

 

Kwanza tutaanz akuweka variable yetu ambayoiabeba umri wa mtoto. Kisha tutaweka charti letu .

fun main() {

  val umri = 7;

  if(umri == 7){

     print("aende shule");

  }

}

 Sasa tunataka kusema ikiwa umri wa mtoto ni zaidi ama sawasawa na miaka 7 iseme aende shule.

fun main() {

  val umri = 7;

  if(umri >= 7){

     print("aende shule");

  }

}

Unaweza kutumia naoperator nyingine kama <, 1=, <= na nyinginezo kufanya mazoezi zadi.


 

Sasa hapo kuna tatizo kama umriutakuwa ni chini ya saba hakuna chochote program itasema . hapa sasa tutahitaji else satatement, ambayo itaangalia ikiwa umri ni miaka 7 iseme aende shule lakini ikiwa ni tofauti na miaka 7 iseme hajafikia umri. Kufanya hivi tutafuata formla hii

If (sharti) {

Code

">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: ICT File: Download PDF Views 557

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

KOTLIN somo la 19: method na properties zinazotumika kwenye set

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
Kotlin Somo la 30: Data Classes

Somo hili linaeleza maana ya data classes katika Kotlin, kwa nini zipo, jinsi ya kuzitumia, sifa zake, pamoja na mifano ya vitendo. Pia tutajifunza tofauti kati ya class ya kawaida na data class.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 3: Jinsi ya kuandika variable

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 20: method na properties za map

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 8: Jinsi ya kutumia when

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
Kotlin Somo la 32: Utangulizi wa Database na MySQL

Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 5: operator na aina zake kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 26: Dhana ya class, object na method kwenye kotlin

Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 4: Aina za Data kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...