Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Set zinafanana sana na list ila kuna utofauti katika matumizi, kwanza seti hutumia mabano {}, pia set data zake ni unique yaani haziwezi kujirudia, pia data kwenye set zinakuwa katika aina moja ya data, huwezi kuchanganya namba na string.
Katika somo hili tutatumia string ya somo lililopita ili kufanyia mazoezi.
{'bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'}
Mfano
fun main() {
val text1: Set<String> = setOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
println(text1)
}
[bongoclass, facebook, google, youtube, microsoft]
Methods zinazotumika:
fun main() {
val set1 = mutableSetOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
set1.add("github")
println("baadaya add(): $set1")
val additionalElements = setOf("apple", "orange", "banana")
set1.addAll(additionalElements)
println("Baada ya addAll(): $set1")
val elementToCheck = "google"
println("Contains '$elementToCheck': ${set1.contains(elementToCheck)}")
val elementToRemove = "microsoft"
set1.remove(elementToRemove)
println("baaday ya remove('$elementToRemove'): $set1")
println("kufanya iteration kwa kutumia forEach():")
set1.forEach { println(it) }
set1.clear()
println("baada ya clear(): $set1")
}
Set operations
Hapa tunakwenda kufanya matendo ya set, hizi ni hesabu maalumu ambazo hutumiwa kwenye set data type. Matendo haya ni:-
- Union
- Intersection
- Subtraction
Union hii huhusika na kuunganisha set mbili ili kupata set moja.
fun main() {
val set1: Set<String> = setOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...