KOTLIN somo la 8: Jinsi ya kutumia when

KOTLIN somo la 8: Jinsi ya kutumia when

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Katika somo hili tutakwenda kutumia mifano yetu ya somo lililotangulia ili kuweza kujienga uelewa zaidi.

 

Jinsi ya kuandika switch case

when(expression){

Case -> code

Else{

code

}

}

 

Ukiangalia hapo ni kuwa utaanza na keyword when  utaweka mabano () kama kawaid ndani yake ni value tunayotaka ku test ikufuatiwa na mabano {}. Kisha utaweka sharti unayotaka ku test kisha utawka nukta pacha ( -> ). Baad aya hapo ni code ambazo zita run kisa utakuja kumalizia na else ambayo itatua matokeo kama masharti hayajafikiwa.

 

Wacha tuone mambo yanavyokuwa:

Tunataka ikiwa umri wa mtoto ni miaka 7 aambiwe aende shule.

fun main() {

  val umri = 7

  when (umri) {

     7 -> print("aende shule")

  }

}

 

 

Sasa tunataka kama ni chini ya kiaka 7 aambwe hajafika umri, na kama miaka 7 aambiwe aende shule, na kama ni  miaka 13 au zaidi aambiwe aende mmemkwa">...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: ICT File: Download PDF Views 652

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter
KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 19: method na properties zinazotumika kwenye set
KOTLIN somo la 19: method na properties zinazotumika kwenye set

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 14: Aina za function kwenye Kotlin
KOTLIN somo la 14: Aina za function kwenye Kotlin

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 12: Jinsi ya kupata user input
KOTLIN somo la 12: Jinsi ya kupata user input

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 24: Dhana ya Module katika kotlin
Kotlin somo la 24: Dhana ya Module katika kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 15: ainza za parameter kwenye function
KOTLIN somo la 15: ainza za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 1: Historia ya kotlin na kazi zake
KOTLIN somo la 1: Historia ya kotlin na kazi zake

Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya Kotlin pamoja na kazi za kotlin. Pia utakwenda kujifunza kuhusu uhusiano wake na java.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 23: Utofauti wa package na library
Kotlin somo la 23: Utofauti wa package na library

Katika somo hili utakwenda kujifunza tofauti wa library na package

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin
KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 5: operator na aina zake kwenye Kotlin
KOTLIN somo la 5: operator na aina zake kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.

Soma Zaidi...