KOTLIN somo la 5: operator na aina zake kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.

Operator hizi ni alama ambazo hutumika katika kufanya matendo mbalimbali kwenye variable ama thamani mbalimbali. Mfano 10 + 5, katika mfano huu 10 na 5 huitwa operand na hiyo alama ya kujumlisha (+) huitwa operator

 

Kwenye Kotlin operator zimegawanyika kama:-

  1. Arthmetics operator
  2. Assignment operator
  3. Comparison operator
  4. Logical operator

 

Arithmetics operator:

Hizi ni operator ambazo hufanya kazi kwenye matendo ya kihesabu. 

  1. Kujumlisha (+) mfano 5 +8
  2. Kutoa (-) mfano 7 -5
  3. Muzidisha (*) mfano  2 *3
  4. Kugawanya (/) mafno 6 /3
  5. Modulus (%) hii huonyesha namba inayobaki wakati wa kugawanya mfano 10%3 hapo jibu ni 1, kwa kuwa ndio inayobaki
  6. Increment (++) hii huongeza namba 1 kwenye namba ya mwanzo.

Mfano:

fun main() {

   var a = 2

   ++a

   print(a)

}

 

Hapa jibu ni 3 kwa kuwa imeongeza 1 kwenye namba ya mwanzo.

 

  1. Decrement (- -) hi hupunguza 1 kwenye namba ya mwanzo.

Mfano:

fun main() {

   var a = 3

   --a

   print(a)

}

 

Hapo jibu ni 2 kwa kuwa imepunguza 1 mwenye namba ya mwanzo.


 

Assignment operator:

Hizi ni zile operator ambazo hutumika ku assign thamani kwenye variable, yaani kuipa variable thamani. Kama unaposema var x = 2 hapo assignment operator (=) imetumika kuipa x thamani yake. 

Mifano ya assignment operator:-

  1. Alama ya (=) mfano a = 3
  2. Alama ya (+=) mfano a += 3 hii ni sawa na kuandika a = a+3
  3. Alama ya (-=) mfano a -=3 hii ni sawa na kuandika a = a-3
  4. Alama ya (*=) mfano a *=3 hii ni sawa na kundika a = a *3
  5. Alama ya (/=) mfano a /=3 hii ni sawa na kuandika a = a/3
  6. Alama ya (%=) mfano a %3 hii ni sawa na kuandika a = a %3
  7. ">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: ICT File: Download PDF Views 536

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

    Post zinazofanana:

    KOTLIN somo la 12: Jinsi ya kupata user input

    Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

    Soma Zaidi...
    KOTLIN somo la 14: Aina za function kwenye Kotlin

    Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

    Soma Zaidi...
    KOTLIN somo la 15: ainza za parameter kwenye function

    Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

    Soma Zaidi...
    Kotlin somo la 22: Package kenye kotlin

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika

    Soma Zaidi...
    Kotlin somo la 24: Dhana ya Module katika kotlin

    Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App

    Soma Zaidi...
    Python somo la 25: Nadharia ya Object Oriented Programming

    Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming

    Soma Zaidi...
    KOTLIN somo la 19: method na properties zinazotumika kwenye set

    Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

    Soma Zaidi...
    KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

    Soma Zaidi...
    KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string

    Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.

    Soma Zaidi...
    KOTLIN somo la 21: Jinsi ta kutengeneza library

    Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

    Soma Zaidi...