KOTLIN somo la 18: string na method zinazotumika kwenye list data type.
Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
Katika somo hili tutatumia mifano kwenye list yetu hii ['bongoclass', 'facebook', 'google', 'youtube', 'microsoft'].
List properties
Hizi ni sifa ambazo kila list lazima ziwe nazo.
First hii itatuonyesha item ya mwanzo kabisa mwa hiyo list.
fun main() {
val list1 = listOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
println(list1.first())
}
Hii itakupa bongoclass
isEmpty hii itupa majibu true kama list haina kitu ama false kama ina kitu.
fun main() {
val list1 = listOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
println(list1.isEmpty())
}
Hii itakupa jibu false.
isNotEmpty hii itaangalia kama list haina kitu itatupa jibu true na kama ina kitu itatupa jibu
false.
fun main() {
val list1 = listOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
println(list1.isNotEmpty())
}
Hii itakupa jiu true
size hii itaangalia idadi ya item kwenye hiyo list kwa mfano hapo itatupa jibu 5.
fun main() {
val list1 = listOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
println(list1.size)
}
Hii itakupa jibu 5
last hii itatuonyesha item ya mwisho.
fun main() {
val list1 = listOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
println(list1.last())
}
Hapo itakupa jibu microsoft
reversed hii itapangilia tena list kutoka mwisho kuja mwanzo.
fun main() {
val list1 = listOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
println(list1.reversed())
}
single hii itafanya kazi tu kama item kwenye list ni moja, itadisplay item hiyo, kama ni zaidi ya moja haitafanya kazi.
fun main() {
val list1 = listOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
println(list1.isNotEmpty())
println(list1.size)
println(list1.last())
println(list1.reversed())
println(list1.singleOrNull())
}
Kuongeza item kwenye list
add() hii hutumika kuongeza item moja mwishoni mwa list.
fun main() {
val list1 = mutableListOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
list1.add("github")
println(list1)
}
addAll hii hutumika kuongeza item zaidi ya moja kwenye list.
fun main() {
val list1 = mutableListOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
list1.addAll(listOf("github", "instagram", "telegram"))
println(list1)
}
insert hii hutumika kuongeza item kwenye list sehemu unapotaka kwa kutumia index.
fun main() {
val list1 = mutableListOf("bongoclass", "facebook", "google", "youtube", "microsoft")
list1.add(2, "apple")
println(list1)
}
insertAll hii ni sawa na insert ila inaongeza item zaidi ...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Kotlin somo la 24: Dhana ya Module katika kotlin
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Soma Zaidi...HOTLIN somo la 9: Jinsi ya kutumia for loop
Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 4: Aina za Data kwenye Kotlin
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 11:Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 15: ainza za parameter kwenye function
Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...