Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
For loop
Hii ni moja katika njia ya kurun code mara nyingi zaidi kulingana na masharti husika. For loop hutumika kama unaelewa ni mara ngapi code zako zinatakiwa ku run. Tuchukulie mfano tunataka kutengeneza tebo ya 7. Hapa code zetu zita run mara 12.
Jinsi ya kuandika for loop
For (mashart ){
Code
}
Kwa mfano sisi tunakwenda kuandika tebo ya saba. Hivyo tunaweka x ambayo ni value itakayopatikana kutoka kwenye sharti letu. Sharti ni kuwa tutaanza kuzidisha 7 na 1 mpaka tufike 12. Hivyo tutaandika x in 1..12 hii ina maana x ni thamani kuanzia 1 hadi 12. Angalia mfano hapo chini:-
fun main() {
print("TEBO YA 7")
for (x in 1..12) {
println(7 * x)
}
}
Kuna namna zaidi tunaweza kuboresha code zetu. Ni kwa kutumia ${} hii hutumika kuweza kutumia interpolation (rejea string interpolation kwenye somo la type of data).
fun main() {
print("TEBO YA 7")
for (x in 1..12) {
println("${x}*7 =${x*7}")
}
}
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linaeleza matumizi ya objects na companion objects katika Kotlin. Tutajifunza tofauti kati ya object na class ya kawaida, faida za singleton pattern, na jinsi ya kutumia companion kama mbadala wa static members katika Java.
Soma Zaidi...Somo hili linafafanua dhana ya Encapsulation katika OOP, matumizi yake ndani ya Kotlin, pamoja na modifiers mbalimbali (private, protected, internal, public). Pia tutajifunza kwa mifano jinsi encapsulation inavyosaidia kulinda data na kudhibiti ufikivu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo class moja inaweza kuriti method na properties kutoka kwenye class nyingine.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya Kotlin pamoja na kazi za kotlin. Pia utakwenda kujifunza kuhusu uhusiano wake na java.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.
Soma Zaidi...Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza
Soma Zaidi...