HOTLIN somo la 9: Jinsi ya kutumia for loop
Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
For loop
Hii ni moja katika njia ya kurun code mara nyingi zaidi kulingana na masharti husika. For loop hutumika kama unaelewa ni mara ngapi code zako zinatakiwa ku run. Tuchukulie mfano tunataka kutengeneza tebo ya 7. Hapa code zetu zita run mara 12.
Jinsi ya kuandika for loop
For (mashart ){
Code
}
Kwa mfano sisi tunakwenda kuandika tebo ya saba. Hivyo tunaweka x ambayo ni value itakayopatikana kutoka kwenye sharti letu. Sharti ni kuwa tutaanza kuzidisha 7 na 1 mpaka tufike 12. Hivyo tutaandika x in 1..12 hii ina maana x ni thamani kuanzia 1 hadi 12. Angalia mfano hapo chini:-
fun main() {
print("TEBO YA 7")
for (x in 1..12) {
println(7 * x)
}
}
Kuna namna zaidi tunaweza kuboresha code zetu. Ni kwa kutumia ${} hii hutumika kuweza kutumia interpolation (rejea string interpolation kwenye somo la type of data).
fun main() {
print("TEBO YA 7")
for (x in 1..12) {
println("${x}*7 =${x*7}")
}
}
For in loop
Hii hutumika kwenye list, object au map. Tof...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 web hosting 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
KOTLIN somo la 2: sheria na kanuni za uandishi wa code za Kotlin
Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 4: Aina za Data kwenye Kotlin
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Kotlin Somo la 26: Inheritance (Urithi)
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo class moja inaweza kuriti method na properties kutoka kwenye class nyingine.
Soma Zaidi...Kotlin somo la 24: Dhana ya Module katika kotlin
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...KOTLIN somo la 18: string na method zinazotumika kwenye list data type.
Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...