Menu



HOTLIN somo la 9: Jinsi ya kutumia for loop

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

For loop

Hii ni moja katika njia ya kurun code mara nyingi zaidi kulingana na masharti husika. For loop hutumika kama unaelewa ni mara ngapi code zako zinatakiwa ku run. Tuchukulie mfano tunataka kutengeneza tebo ya 7. Hapa code zetu zita run mara 12.

 

Jinsi ya kuandika for loop

For (mashart ){

Code

}

Kwa mfano sisi tunakwenda kuandika tebo ya saba. Hivyo tunaweka x  ambayo ni value itakayopatikana kutoka kwenye sharti letu. Sharti ni kuwa tutaanza kuzidisha 7 na 1 mpaka tufike 12. Hivyo tutaandika x in 1..12 hii ina maana x ni thamani kuanzia 1 hadi 12. Angalia mfano hapo chini:-

fun main() {

   print("TEBO YA 7")

   for (x in 1..12) {

       println(7 * x)

   }

}

 

Kuna namna zaidi tunaweza kuboresha code zetu. Ni kwa kutumia ${} hii hutumika kuweza kutumia interpolation (rejea string interpolation kwenye somo la type of data).

fun main() {

   print("TEBO YA 7")

   for (x in 1..12) {

       println("${x}*7 =${x*7}")

   }

}

 

...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: Masomo File: Download PDF Views 334

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

KOTLIN somo la 15: ainza za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 2: sheria na kanuni za uandishi wa code za Kotlin

Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 21: Jinsi ta kutengeneza library

Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 17: method na properties za namba

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 4: Aina za Data kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 11:Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 10: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...