Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation
Kama ilivyo kwa baadhi ya language kama Kotlin inatumia keyword var na val katika kuandika variable. Variable ni kiwakilishi ni nacho hifadhi thamani fulani ya data. Kwa mfano nikisema x ni sawa na 4 yaani (x = 3) hapa tunasema kuwa x ni variable ambayo inahifathi thamani ya 3.
Sasa tukija kwenye Kotlin tukitaka kuandika variable x kuwa inawakilisha 3 hapo tutatumia keyword var au val. Lamda kabla hatujakwenda mbali nikujulishe kuwa keyword i maneno maalumu ambayo hutumika kwenye language husika.keyword ni kama fun, main, var, val tunaendelea kuziona keyword nyingine kadiri somo linavyokwenda.
Ili uweze kuandika variable kwanza utaanza na keyword var ama val kisa utafuatia kuandika jina la hiyo variable yaani identifier kisha litafuatiwa na alama ya (=) kisha ndipo utaweka thamani ya hiyo variable. Neno thamani tutalitumia kama value.
Mfano:
fun main(){
var x = 3
val y = 4;
}
Sawa wacha tuone mfano haisia. Tunataka kujumlisha namba 4 na 3 kwa kutumia variable zao. Angalia mfano hao chini:
fun main(){
var x = 3
val y = 4
var ujumbe = "Mfano wa variable"
print(ujumbe + ' ')
println(x +y)
}
Utofauti wa var na val
Unapotumia val kutengeneza variable, hiyo variable unaweza kuibadilishia thamani. Mfano variable yetu x = 3, tunataka kuibadilishia thamani kuwa 4. Kubadilisha thamni ni kuitengeneza variable upya kwa jina lilelile.
fun main(){
var tovuti = "Bongoclass"
tovuti = "Google"
println...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya Kotlin pamoja na kazi za kotlin. Pia utakwenda kujifunza kuhusu uhusiano wake na java.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza dhana ya polymorphism katika OOP ya Kotlinβuwezo wa kutumia method au object moja kufanya kazi tofauti kulingana na muktadha wake. Tutajifunza aina kuu za polymorphism, jinsi ya kuandika code inayotumia override, open, super, pamoja na mifano hai.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo class moja inaweza kuriti method na properties kutoka kwenye class nyingine.
Soma Zaidi...Somo hili linafafanua dhana ya Encapsulation katika OOP, matumizi yake ndani ya Kotlin, pamoja na modifiers mbalimbali (private, protected, internal, public). Pia tutajifunza kwa mifano jinsi encapsulation inavyosaidia kulinda data na kudhibiti ufikivu.
Soma Zaidi...Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza
Soma Zaidi...