KOTLIN somo la 3: Jinsi ya kuandika variable

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation

Kama ilivyo kwa baadhi ya language kama Kotlin inatumia keyword var na  val katika kuandika variable. Variable ni kiwakilishi ni nacho hifadhi thamani fulani ya data. Kwa mfano nikisema x ni sawa na 4 yaani (x = 3) hapa tunasema kuwa x ni variable ambayo inahifathi thamani ya 3. 

 

Sasa tukija kwenye Kotlin tukitaka kuandika variable x kuwa inawakilisha 3 hapo tutatumia keyword var au val. Lamda kabla hatujakwenda mbali nikujulishe kuwa keyword  i maneno maalumu ambayo hutumika kwenye language husika.keyword ni kama fun, main, var, val tunaendelea kuziona keyword nyingine kadiri somo linavyokwenda.

 

Ili uweze kuandika variable kwanza utaanza na keyword var ama val kisa utafuatia kuandika jina la hiyo variable yaani identifier kisha litafuatiwa na alama ya (=) kisha ndipo utaweka thamani ya hiyo variable. Neno thamani tutalitumia kama value.

Mfano:

fun main(){

   var x = 3

   val y = 4;

}

 

Sawa wacha tuone mfano haisia. Tunataka kujumlisha namba 4 na 3 kwa kutumia variable zao. Angalia mfano hao chini:

fun main(){

   var x = 3

   val y = 4

   var ujumbe = "Mfano wa variable"

 

   print(ujumbe + ' ')

   println(x +y)

}

 


 

Utofauti wa var na val

Unapotumia val kutengeneza variable, hiyo variable unaweza kuibadilishia thamani. Mfano variable yetu x = 3, tunataka kuibadilishia thamani kuwa 4. Kubadilisha thamni ni kuitengeneza variable upya kwa jina lilelile.

fun main(){

   var tovuti = "Bongoclass"

   tovuti = "Google"

   println...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: ICT File: Download PDF Views 849

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰2 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰5 web hosting    πŸ‘‰6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
Kotlin Somo la 27: Polymorphism

Somo hili linaeleza dhana ya polymorphism katika OOP ya Kotlinβ€”uwezo wa kutumia method au object moja kufanya kazi tofauti kulingana na muktadha wake. Tutajifunza aina kuu za polymorphism, jinsi ya kuandika code inayotumia override, open, super, pamoja na mifano hai.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 4: Aina za Data kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 26: Dhana ya class, object na method kwenye kotlin

Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 19: method na properties zinazotumika kwenye set

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 25: Nadharia ya Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function

Soma Zaidi...
Kotlin Somo la 30: Data Classes

Somo hili linaeleza maana ya data classes katika Kotlin, kwa nini zipo, jinsi ya kuzitumia, sifa zake, pamoja na mifano ya vitendo. Pia tutajifunza tofauti kati ya class ya kawaida na data class.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 24: Dhana ya Module katika kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 11:Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.

Soma Zaidi...