Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation
Kama ilivyo kwa baadhi ya language kama Kotlin inatumia keyword var na val katika kuandika variable. Variable ni kiwakilishi ni nacho hifadhi thamani fulani ya data. Kwa mfano nikisema x ni sawa na 4 yaani (x = 3) hapa tunasema kuwa x ni variable ambayo inahifathi thamani ya 3.
Sasa tukija kwenye Kotlin tukitaka kuandika variable x kuwa inawakilisha 3 hapo tutatumia keyword var au val. Lamda kabla hatujakwenda mbali nikujulishe kuwa keyword i maneno maalumu ambayo hutumika kwenye language husika.keyword ni kama fun, main, var, val tunaendelea kuziona keyword nyingine kadiri somo linavyokwenda.
Ili uweze kuandika variable kwanza utaanza na keyword var ama val kisa utafuatia kuandika jina la hiyo variable yaani identifier kisha litafuatiwa na alama ya (=) kisha ndipo utaweka thamani ya hiyo variable. Neno thamani tutalitumia kama value.
Mfano:
fun main(){
var x = 3
val y = 4;
}
Sawa wacha tuone mfano haisia. Tunataka kujumlisha namba 4 na 3 kwa kutumia variable zao. Angalia mfano hao chini:
fun main(){
var x = 3
val y = 4
var ujumbe = "Mfano wa variable"
print(ujumbe + ' ')
println(x +y)
}
Utofauti wa var na val
Unapotumia val kutengeneza variable, hiyo variable unaweza kuibadilishia thamani. Mfano variable yetu x = 3, tunataka kuibadilishia thamani kuwa 4. Kubadilisha thamni ni kuitengeneza variable upya kwa jina lilelile.
fun main(){
var tovuti = "Bongoclass"
tovuti = "Google"
println...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.
Soma Zaidi...Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya Kotlin pamoja na kazi za kotlin. Pia utakwenda kujifunza kuhusu uhusiano wake na java.
Soma Zaidi...