KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.

Method ni nini?

Method ni kama function, lakini tofauti ni kuwa method zina uhusiano mkubwa na object. Hapa nitakuletea baadhi ya method za String:-

 

String length

Hii hutumika kujuwa je, string ina herufi ngapi.

fun main() {

   val text = "haloo bongoclass"

   println(text.length)

}

 

Hii itakupa jibu 16, kumaanisha hapo kuna herufi (character) 16.

 

Kubadili herufi kuwa ndogo au kubwa

Kubadilisha kuwa herufi ndogo utatumia toLowerCase na kubadilisha kuwa kubwa utatumia toUpperCase.

fun main() {

    val text1 = "haloo bongoclass"

    val text2 = "HALOO BONGOCLASS"

    println(text1.toUpperCase())

    println(text2.toLowerCase())

}

 

HALOO BONGOCLASS

haloo bongoclass

 

Kuigawa string kwenye (substring)

Kwa mfano, katika neno "bongoclass," tunataka kuchapisha neno "bongo" tu.

fun main() {

    val text = "bongoclass"

    println(text.substring(0, 5))

}

 

bongo

 

Kuchuja string (contains)

Kwa mfano, unahitaji kuangalia kama neno fulani lipo au halipo kwenye string.

Kama lipo, utapata jibu true, na kama halipo, jibu ni false. Wacha tuangalie je neno "class" lipo kwenye neno "bongoclass"?

fun main() {

    val text = "bongoclass"

    println(text.contains("class"))

}

true

 

Kubadili string kuwa list data type (split)

Hapa tutakwenda kuigawa string kwenye mafungu. Kwa mfano, neno "haloo karibu bongo class." Tutagawa kwa kila neno.

fun main(">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: ICT File: Download PDF Views 1617

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 web hosting    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Kotlin Somo la 32: Utangulizi wa Database na MySQL

Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 10: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 25: Nadharia ya Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming

Soma Zaidi...
HOTLIN somo la 9: Jinsi ya kutumia for loop

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 22: Package kenye kotlin

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 17: method na properties za namba

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 24: Dhana ya Module katika kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 8: Jinsi ya kutumia when

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 21: Jinsi ta kutengeneza library

Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 19: method na properties zinazotumika kwenye set

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...