KOTLIN somo la 16:baadhi ya method na properies zinazofanya kazi kwenye string

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.

Method ni nini?

Method ni kama function, lakini tofauti ni kuwa method zina uhusiano mkubwa na object. Hapa nitakuletea baadhi ya method za String:-

 

String length

Hii hutumika kujuwa je, string ina herufi ngapi.

fun main() {

   val text = "haloo bongoclass"

   println(text.length)

}

 

Hii itakupa jibu 16, kumaanisha hapo kuna herufi (character) 16.

 

Kubadili herufi kuwa ndogo au kubwa

Kubadilisha kuwa herufi ndogo utatumia toLowerCase na kubadilisha kuwa kubwa utatumia toUpperCase.

fun main() {

    val text1 = "haloo bongoclass"

    val text2 = "HALOO BONGOCLASS"

    println(text1.toUpperCase())

    println(text2.toLowerCase())

}

 

HALOO BONGOCLASS

haloo bongoclass

 

Kuigawa string kwenye (substring)

Kwa mfano, katika neno "bongoclass," tunataka kuchapisha neno "bongo" tu.

fun main() {

    val text = "bongoclass"

    println(text.substring(0, 5))

}

 

bongo

 

Kuchuja string (contains)

Kwa mfano, unahitaji kuangalia kama neno fulani lipo au halipo kwenye string.

Kama lipo, utapata jibu true, na kama halipo, jibu ni false. Wacha tuangalie je neno "class" lipo kwenye neno "bongoclass"?

fun main() {

    val text = "bongoclass"

    println(text.contains("class"))

}

true

 

Kubadili string kuwa list data type (split)

Hapa tutakwenda kuigawa string kwenye mafungu. Kwa mfano, neno "haloo karibu bongo class." Tutagawa kwa kila neno.

fun main(">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: ICT File: Download PDF Views 1516

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

KOTLIN somo la 5: operator na aina zake kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 10: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 17: method na properties za namba

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 8: Jinsi ya kutumia when

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 1: Historia ya kotlin na kazi zake

Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya Kotlin pamoja na kazi za kotlin. Pia utakwenda kujifunza kuhusu uhusiano wake na java.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 6: string kwenye Kotlin

Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 12: Jinsi ya kupata user input

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
Kotlin somo la 23: Utofauti wa package na library

Katika somo hili utakwenda kujifunza tofauti wa library na package

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function

Soma Zaidi...