Naombakujua kujua Kama huu uyoga unasaidia kansa Kama kwawazee
Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?
Swali:
Naombakujua kujua Kama huu uyoga unasaidia kansa Kama kwawazee
Jibu
Γ°ΕΈββ° Ndio, kulingana na tafiti ni kuwa ulaji wa uyoga mara kwa mara husaidia kupunguza hatari ya kupata saratani kwa asilimia 45% kuliko ambaye hatumii kabisa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 ai web app π2 Madrasa kiganjani π3 Simulizi za Hadithi Audio π4 Kitabu cha Afya π5 Kitau cha Fiqh π6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito, kuna kipindi ambacho wanawake wakati wa ujauzito uchaguza vyakula mbalimbali kuna ambao wanaweza kutumia vitunguu saumu na kupata faida kubwa
Soma Zaidi...Kazi ya Piriton
Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.
Soma Zaidi...Faida za chumvi mwilini (madini ya chumvi)
Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula kisamvu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...