picha

Njia za kujilinda na kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI

NJIA ZA KUJILINDA NA KUIJIKINGA NA UTI

1.Kunjwa maji mengi sana

2.Nenda ukakojoe punde baada ya kufanya ngono

3.Kwa mwanamke jisafishe kuelekea nyuima na si kutokea nyuma kuelekea mbele

4.Safisha vyema choo baada ya kujisaidia

5.Nenda ukakojpoa punde tu unapohisi unataka kukojoa

6.Vaa nguo za ndani zilizo kavu na zisizo bana.

7.Jisafishe vyema sehemu za siri kabla na baada ya kufanya ngono

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1521

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 web hosting     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 ai web app     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Samaani nilikuwa nauriza ninasumburiwa na fanga ya mdomoni naomba ushauri

Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa.

Soma Zaidi...
Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

Soma Zaidi...
Madhara ya minyoo

Somo hili linakwenda kukuletea madhara ya minyoo

Soma Zaidi...
Kukosa choo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kukosa choo

Soma Zaidi...
dondoo 100

Basi tambua haya;- 1.

Soma Zaidi...