picha

Njia za kujilinda na kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI

NJIA ZA KUJILINDA NA KUIJIKINGA NA UTI

1.Kunjwa maji mengi sana

2.Nenda ukakojoe punde baada ya kufanya ngono

3.Kwa mwanamke jisafishe kuelekea nyuima na si kutokea nyuma kuelekea mbele

4.Safisha vyema choo baada ya kujisaidia

5.Nenda ukakojpoa punde tu unapohisi unataka kukojoa

6.Vaa nguo za ndani zilizo kavu na zisizo bana.

7.Jisafishe vyema sehemu za siri kabla na baada ya kufanya ngono

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1644

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Sababu za mdomo kuwa mchungu

Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.

Soma Zaidi...
Magonjwa ya kuambukiza

Magonjwa ya kuambukiza: Ni yale yanayoweza kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine au kutoka kwa wanyama kwenda kwa mtu Mlipuko tukio lililoenea la ugonjwa katika jamii kwa wakati fulani ambao huonekana kama kesi mpya kwa kiwango ambacho kinazi

Soma Zaidi...
Maumivu ya miguu na ganzi nyakati za usiku.

Maumivu ya miguu na ganzi nyakati za usiku ni malalamiko ya kawaida yanayoathiri ubora wa maisha na usingizi. Makala haya yanachunguza visababishi mbalimbali vya kiafya kama vile matatizo ya neva (neuropathy), mzunguko wa damu hafifu, na upungufu wa virutubisho, huku yakitoa mikakati ya kitaalamu ya kupunguza usumbufu huu na kuboresha afya ya mfumo wa neva.

Soma Zaidi...
Vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Njia za jumla za kujikinga na magonjwa mbalimbali

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kujikinga na magonjwa, kwa kawaida tunajua wazi kuwa magonjwa yapo na yanasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na mengine hayasambai yanaweza kumpata mtu mmoja akapona au magonjwa mengine si ya kupona

Soma Zaidi...