picha
JINSI YA KUZUIA KUDUKULIWA KWA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK

Thibitisha akaunti yako kwa hatua za usalama kama kutumia nenosiri imara, kuweka uthibitisho wa hatua mbili (2FA) kwa kutumia authenticator,...

picha
UKURASA WA AMP KWENYE SEO

Katika somo hili tutaeleza maana ya AMP (Accelerated Mobile Pages), jinsi inavyofanya kazi, faida zake katika SEO, changamoto zake, na...

picha
SOMO LA 9 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUIWEKA PROJECT YETU KWENYE FILE MOJA

Katika somo hili utaenda kujifunza namna ya kuunganisha mafaili mengi ya project na kuyaweka kwenye faili moja tu na kuweza...

picha
SOMO LA 8 PYTHON SQLITE JINSI YA KUPATA JUMLA YA MADENI KUTOKA KWENYE DATABASE

Katika Somo hili la nane utaenda kujifunza namna ya kuchambua data kwenye database yetu kwa kupata jumla ya kiasi cha...

picha
SOMO LA 7 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUFUTA DATA KWENYE DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza namna bora ya kufuta data kutoka kwenye database

picha
SOMO LA 6 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUSASISHA (UPDATE) DATA KUTOKA KWENYE DATABASE

Karibu kwenye somo la sita! Leo tunajifunza UPDATE, amri ambayo inaruhusu kubadili au kusasisha data iliyopo tayari kwenye meza (table)...

picha
SOMO LA 5 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUSOMA (READ) DATA KUTOKA KWENYE DATABASE

Katika somo hili tutaenda kujifunza jinsi ya kusoma (Read) data kutoka kwenye database yetu

picha
SOMO LA 4 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUINGIZA DATA KWENYE TABLE NA DATABASE

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye table na database tuliyoiunda katika somo lililopita

picha
SOMO LA 3 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUUNDA TABLE KWENYE DATABASE YA SQLITE NA PYTHON

Katita somo hili sasa tutaenda kujifunza namna ya kuunda table kwenye database ya SQLITE kwa kutumia Python

picha
BIPOLAR DISORDERS

Bipolar disorder ni hali ya afya ya akili inayohusisha mabadiliko makubwa katika hisia, nishati, na shughuli za kila siku za...

picha
DALILI ZA UGONJWA WA SCHIZOPHRENIA

Schizophrenia ni ugonjwa wa akili ambao huathiri jinsi mtu anavyofikiri, kuhisi, na kuamua. Dalili za schizophrenia zinaweza kuwa kama ifuatavyo...

picha
DALILI ZA MTU MWENYE WASIWASI (ANXIETY)

Post hii unahusu mtu mwenye ugonjwa wa akili ambao huitwa ugonjwa wa wasiwasi Kwa kitaalamu huitwa anxiety,ni pale mtu anapokuwa...

picha
SOMO LA 2 PYTHON SQLITE NA MUUNGANIKO WA DATABASE (DATABASE CONNECTION)

Karibu ujifunze Python Sqlite na muunganiko wa Database (Database Connection)

picha
AINA YA MAGONJWA YA AKILI

Unyogovu (Depression ) ni mojawapo ya ugonjwa wa akili ambao unahusishwa na hisia za huzuni, kukosa matumaini, na kupoteza furaha...

picha
SABABU ZA KUWA NA AFYA YA AKILI

Afya ya akili ni hali ya mtu kuwa na akili timamu kiroho,kimwili ,na Kwa mazingira yake yote yaliyomzunguka na anaweza...

picha
SOMO LA 1: UTANGULIZI WA SQLITE NA JINSI YA KUITUMIA KATIKA PYTHON

Katika somo hili tutajifunza utangulizi wa SQLITE na jinsi ya kuitumia katika python

picha
SABABU ZA VIDONDA KWENYE UUME

Vidonda kwenye uume vinaweza kusababishwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs) kama kaswende na herpes, maambukizi ya fangasi au...

picha
NI KWA MUDA GANI VIRUSI VYA UKIMWI VINAWEZA KUISHI NJE YA MWILI WA BINADAMU?

Virusi vya UKIMWI (VVU) haviwezi kuishi muda mrefu nje ya mwili wa binadamu. Mara damu au majimaji yenye virusi yanapotoka...

picha
KWA NINI KUNG’ATWA NA MBU HAKUAMBUKIZI UKIMWI?

Ingawa mbu hunyonya damu kwa binadamu, hawana uwezo wa kueneza virusi vya UKIMWI (VVU). Sababu ni kwamba virusi vya VVU...

picha
NYOKA WENYE SUMU KALI ZAIDI DUNIANI

Duniani kuna aina nyingi za nyoka, lakini wachache wao ndio wanaojulikana kwa sumu kali inayoweza kuua haraka. Miongoni mwao ni...

picha
NI KWA NAMNA GANI NYOKA HUSIKIA IJAPOKUWA HANA MASIKIO

Ingawa nyoka hawana masikio ya nje kama binadamu na wanyama wengine, bado wana uwezo wa kusikia. Hutumia mifupa ya kichwa...

picha
DUA ZA MITUME NA MANABII EP 32: DUA YA MFALME ṭāLūT ALIPOKWENDA KUPIGANA NA JāLūT

Somo hili linaeleza dua ya mfalme ṭālūt (Talut) na jeshi lake dogo walipojitayarisha kupigana na jālūt (Jalut/Goliath) na jeshi kubwa....

picha
DUA ZA MITUME NA MANABII EP 31: DUA YA DHUL-QARNAIN

Somo hili linahusu kauli ya Dhul-Qarnain iliyoelezwa katika Qur’an, ambayo ingawa si dua ya moja kwa moja, inabeba maana ya...

picha
DUA ZA MITUME NA MANABII EP 30:

Somo hili linahusu dua ya vijana wachamungu waliokimbilia pangoni (Ashabul Kahf) ili kuokoa imani zao. Qur’an inasimulia jinsi walivyojitoa kwa...

Page 1 of 228

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.