Katika soo hili utajifunza utaratibu unaotumiwa kuweka matoleo kwnye software.
Katika uislamu mwanamke alikuwa na haki sawa na wanaume katika swala la kusjoma na kutafuta elimu. Makala hii itamuangalia mwanamke aliyeleta mapinduzi karne ya 10
Uislamu ulikuja kumkomboa mwanamke kutokana na dhulma alizokuwa akifanyika katika jamii.
Chuo kikuu cha wanza duniani cha Elimu kielimu hakukihusu tu waislamu bali hata ambao sio waislamu walipata fursa ya kujifunza.
Kabla ya falsafa za ukiriki kufika ulaya, Wislamu ndio waliozihifadhi, na baadaye kuja kutafsiriwa kilatini na kuwafikia watu wa Ulaya
Amani alirejea msituni kufuatilia maono ya kipande cha chuma. Alikutana tena na mzee wa ajabu aliyemweleza kuhusu shirika la siri
Amani anakuja tena msituni kwa mara nyingine wakati wa usiku. Nini kitatokea , na nini hasa kumemleta, je bibi anahusika vipi?
Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza
Kwa nini hutakiwi kumpa mtoto wa umri wa chini ya mwaka mmoja kumpa asali?
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Katika somo hili utakwenda kujifunza tofauti wa library na package
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika
Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall
Baada ya muda mwingi, Amani anarudi tena kwenye mti wa ajabu. Na hapa safari mpya inaanzia
Katika post hii utajifunza historia ya internet maka kufikia Leo.
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu
Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu tofauti ya programmer na developer
Tupo katika kipindi ambacho, tafiti nyingi zinahitajika kuhusu athari za AI kwenye ubunifu na taaluma.
Hapa tunakwenda kuianza upya safari ya Maisha ya Mtume akiwa Madina
Nimeandika Makala hii kutkana na uzoefu wangu. Hivyo haya ni mawazo binafsi TU.
Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.