Dua baada ya kutawadha
Ukimaliza kutawadha uatsoma Dua hii.
Dua baada ya kutawadha
سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ وَبِحَمْدِكَ، أَشْهَدُ أَنْ لَا إِلَٰهَ إِلَّا أَنْتَ، أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتُوبُ إِلَيْكَ
Sub-haanaka Allaahumma wa bihamdika, ash-hadu an laa ilaaha illaa anta, astaghfiruka wa atuubu ilayka.
Tafsiri kwa Kiswahili
“Umetakasika, ewe Allah, na sifa zote njema ni zako. Nashuhudia kwamba hapana mungu anayestahiki kuabudiwa kwa haki isipokuwa Wewe. Nakuomba msamaha na ninatubia Kwako.”
Maana kwa ufupi: Baada ya kutawadha, Muislamu anamtukuza Allah, anathibitisha Tawhidi, kisha anaomba msamaha na kutubia kwake.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 web hosting 👉4 ai web app 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
TOFAUTI KATI YA MAKATOZO NA MAAMRISHO KATIKA SUNNAH
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ عَبْدِ الرَّحْمَنِ بْنِ صَخْرٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: سَمِعْت رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم يَقُولُ: "م...
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu:Shahada
Nguzo za uislamu: Shahada (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Jinsi ambavyo mtu anazuiliwa kurithi mali ya marehemu
Endapo mtu yupp katika orodha ya wanaotakiwa kutithi, anaweza kuzuiliwa kurithi kwa kuzingatia haya.
Soma Zaidi...Tofauti kati ya fiqh na sheria
Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria.
Soma Zaidi...Mambo yanayoweza kutoa udhu wako
Post hii itakufundisha mambo ambayo yanabatilisha udhu.
Soma Zaidi...