picha

Dua baada ya kutawadha

Ukimaliza kutawadha uatsoma Dua hii.

Dua baada ya kutawadha

 سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ وَبِحَمْدِكَ، أَشْهَدُ أَنْ لَا إِلَٰهَ إِلَّا أَنْتَ، أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتُوبُ إِلَيْكَ

 

Sub-haanaka Allaahumma wa bihamdika, ash-hadu an laa ilaaha illaa anta, astaghfiruka wa atuubu ilayka.

 

Tafsiri kwa Kiswahili

“Umetakasika, ewe Allah, na sifa zote njema ni zako. Nashuhudia kwamba hapana mungu anayestahiki kuabudiwa kwa haki isipokuwa Wewe. Nakuomba msamaha na ninatubia Kwako.”

 

Maana kwa ufupi: Baada ya kutawadha, Muislamu anamtukuza Allah, anathibitisha Tawhidi, kisha anaomba msamaha na kutubia kwake.

Zoezi la Maswali

Nyuma


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2026-08-09 07:24:31 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 162

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Tarstibu za kulipa swaumu ya Ramadhani

Hapa utajifunza namna ambayo utatakiwa kulipa funga ya Ramadhani kwa siku ambazo hukufunga

Soma Zaidi...
Kuwapa wanaostahiki

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Adhabu ya mzinifu katika jamii ya kiislamu

(iii) Adhabu ya UzinifuKatika Sheria ya Kiislamu mtu haadhibiwi mpaka atende kwa uwazi matendo yenye kuvuruga utaratibu na amani ya jamii.

Soma Zaidi...
Sura zinazosomwa katika Swala ya Dhuha

Swala ya Dhuha ni swala ya sunna inayosaliwa wakati wa asubuhi baada ya jua kuchomoza na kupanda angalau kiasi cha mkuki (takribani dakika 15 baada ya jua kuchomoza) mpaka kabla ya adhuhuri. Ingawa hakuna sura maalum zilizowekwa kisheria, Mtume ﷺ alisoma baadhi ya sura zenye maana ya kuhimiza kheri na shukrani.

Soma Zaidi...