Dua baada ya kutawadha

Dua baada ya kutawadha

Ukimaliza kutawadha uatsoma Dua hii.

Dua baada ya kutawadha

 سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ وَبِحَمْدِكَ، أَشْهَدُ أَنْ لَا إِلَٰهَ إِلَّا أَنْتَ، أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتُوبُ إِلَيْكَ

 

Sub-haanaka Allaahumma wa bihamdika, ash-hadu an laa ilaaha illaa anta, astaghfiruka wa atuubu ilayka.

 

Tafsiri kwa Kiswahili

“Umetakasika, ewe Allah, na sifa zote njema ni zako. Nashuhudia kwamba hapana mungu anayestahiki kuabudiwa kwa haki isipokuwa Wewe. Nakuomba msamaha na ninatubia Kwako.”

 

Maana kwa ufupi: Baada ya kutawadha, Muislamu anamtukuza Allah, anathibitisha Tawhidi, kisha anaomba msamaha na kutubia kwake.

Zoezi la Maswali

Nyuma


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu Rajabu
Tarehe: 2026-08-09 07:24:31 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views: 308

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 ai web app     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Ni kwa nini lengo la Funga na swaumu halifikiwi na wafungaji?

Kwa nini Lengo la Funga halifikiwi na Wafungaji Wengi?

Soma Zaidi...
Jinsi ya kukaa itiqaf na taratibu zake

Hapa utajifunza kuhusu taratibu za ibada ya itiqaf yaani kukaa msikitini kwa ajili ya ibada.

Soma Zaidi...
benki za kiislamu na njia zake za kuingiza kipato

Benki za KiislamuBenki za Kiislamu ambazo hutoa huduma kama benki nyingine zinaendeshwa katika msingi wa biashara na sio ule wa riba.

Soma Zaidi...
Ijuwe swala ya Tawbah na jinsi ya kuiswali

Post hii itakufundisha kuhusu swala ya sinnah ya tawba.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kabla ya kugawa mirathi

Haya ni mamno muhimu yanayozingatiwa kabla ya kuanza zoezi la kugawa mirathi ya marehemu.

Soma Zaidi...