picha

Dua baada ya kutawadha

Ukimaliza kutawadha uatsoma Dua hii.

Dua baada ya kutawadha

 سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ وَبِحَمْدِكَ، أَشْهَدُ أَنْ لَا إِلَٰهَ إِلَّا أَنْتَ، أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتُوبُ إِلَيْكَ

 

Sub-haanaka Allaahumma wa bihamdika, ash-hadu an laa ilaaha illaa anta, astaghfiruka wa atuubu ilayka.

 

Tafsiri kwa Kiswahili

“Umetakasika, ewe Allah, na sifa zote njema ni zako. Nashuhudia kwamba hapana mungu anayestahiki kuabudiwa kwa haki isipokuwa Wewe. Nakuomba msamaha na ninatubia Kwako.”

 

Maana kwa ufupi: Baada ya kutawadha, Muislamu anamtukuza Allah, anathibitisha Tawhidi, kisha anaomba msamaha na kutubia kwake.

Zoezi la Maswali

Nyuma


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2026-08-09 07:24:31 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 11

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 web hosting     👉4 ai web app     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

TOFAUTI KATI YA MAKATOZO NA MAAMRISHO KATIKA SUNNAH

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ عَبْدِ الرَّحْمَنِ بْنِ صَخْرٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: سَمِعْت رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم يَقُولُ: "م...

Soma Zaidi...
Nguzo za uislamu:Shahada

Nguzo za uislamu: Shahada (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Jinsi ambavyo mtu anazuiliwa kurithi mali ya marehemu

Endapo mtu yupp katika orodha ya wanaotakiwa kutithi, anaweza kuzuiliwa kurithi kwa kuzingatia haya.

Soma Zaidi...
Tofauti kati ya fiqh na sheria

Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria.

Soma Zaidi...
Mambo yanayoweza kutoa udhu wako

Post hii itakufundisha mambo ambayo yanabatilisha udhu.

Soma Zaidi...