Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Custom header hutumika kutuma taarifa za ziada kwenda kwa client kwa ajili ya kutuma taarifa nyingine ambazo zinaongeza maana zaidi. Ili kuweza kuweka custom header tutatumia function ile ile ya header() ambapo tutaweka header field na value.
header('Custom-Header: value');
Inashauriwa kutumia X kwa ajili ya kuweka custom header name. Ili kutoingiliana kwa header information na hizi za custom information.
Mfano:
<?php
// Set a custom header
header('X-Custom-Header: MyHeaderValue');
// Output content to the client
echo "Custom header has been set.";
?>
Matumizi ya custom header:
kuna matumizi me">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...