Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Custom header hutumika kutuma taarifa za ziada kwenda kwa client kwa ajili ya kutuma taarifa nyingine ambazo zinaongeza maana zaidi. Ili kuweza kuweka custom header tutatumia function ile ile ya header() ambapo tutaweka header field na value.
header('Custom-Header: value');
Inashauriwa kutumia X kwa ajili ya kuweka custom header name. Ili kutoingiliana kwa header information na hizi za custom information.
Mfano:
<?php
// Set a custom header
header('X-Custom-Header: MyHeaderValue');
// Output content to the client
echo "Custom header has been set.";
?>
Matumizi ya custom header:
kuna matumizi me">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
Soma Zaidi...katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header
Soma Zaidi...