Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Custom header hutumika kutuma taarifa za ziada kwenda kwa client kwa ajili ya kutuma taarifa nyingine ambazo zinaongeza maana zaidi. Ili kuweza kuweka custom header tutatumia function ile ile ya header() ambapo tutaweka header field na value.
header('Custom-Header: value');
Inashauriwa kutumia X kwa ajili ya kuweka custom header name. Ili kutoingiliana kwa header information na hizi za custom information.
Mfano:
<?php
// Set a custom header
header('X-Custom-Header: MyHeaderValue');
// Output content to the client
echo "Custom header has been set.";
?>
Matumizi ya custom header:
kuna matumizi mengi ya custom header ila hapa nit">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.
Soma Zaidi...Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json
Soma Zaidi...