DATABASE

Picha ya Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data
DATABASE SOMO LA 26: BAADHI YA FUNCTION ZA SQL AMBAYO HUTUMIKA KUBADILI DATA

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

Picha ya Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite
DATABASE SOMO LA 25: UTANGULIZI WA DATABASE YA SQLITE

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.

Picha ya Database somo la 24: Transaction kwenye database
DATABASE SOMO LA 24: TRANSACTION KWENYE DATABASE

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database

Picha ya Database somo la 23: View kwenye Database
DATABASE SOMO LA 23: VIEW KWENYE DATABASE

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Picha ya Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key
DATABASE SOMO LA 22: PRIMARY KEY NA FOREIGN KEY

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

Picha ya Database seomo la 21: Constraints kwenye Database
DATABASE SEOMO LA 21: CONSTRAINTS KWENYE DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Picha ya SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database
SQL SOMO LA 20: JINSI YA KUUNGANISHA TABLE KWNEYE DATABASE

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Picha ya SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
SQL SOMO LA 19: STORED PROCEDURE KATIKA MYSQL NA TOFAUTI NA FUNCTION

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na...

Picha ya SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database
SQL SOMO LA 18: JINSI YA KUTENGENEZA FUNCTION KWENYE MYSQL DATABASE

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

Picha ya SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql
SQL SOMO LA 17: JINSI YA KUTENGENEZA VARIABLE KWENYE MYSQL

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Picha ya SQL  somo la 16:  Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database
SQL SOMO LA 16: JINSI YA KUANDAA MATOKEO YA MTIHANI KWA KUTUMIA DATABASE

Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position...

Picha ya SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql  function kwenye mysql
SQL SOMO LA 15: JINSI YA KUTUMIA SQL FUNCTION KWENYE MYSQL

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Picha ya SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql
SQL SOMO LA 14: JINSI YA KUTAFUTA RANK NA POSITION KWA KUTUMIA SQL

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza...

Picha ya SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
SQL - SOMO LA 13: JINSI YA KUTUMIA CASE KWENYE SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Picha ya SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database
SQL - MYSQL SOMO LA 12: JINSI YA KUTAFUTA WASTANI, JUMLA NA IDADI KWENYE DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani

Picha ya SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.
SQL - MYSQL SOMO LA 11: KUDHIBITI MUONEKANO WA USOMAJI WA DATA KWENYE DATABASE.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.

Picha ya SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database
SQL - MYSQL SOMO LA 10: KUPANGILIA MUONEKANO WA DATA WAKATI WA KUZISOMA KWENYED DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo,...

Picha ya SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database
SQL - MYSQL SOMO LA 9: JINSI YA KUSOMA DATA KWENYE DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha...

Picha ya SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database
SQL - MYSQL SOMO LA 8: JINSI YA KUWEKA DATA (TAARIFA) KWENYE DATABASE

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql...

Picha ya SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
SQL - MYSQL SOMO LA 7: JINSI YA KUBADILI JINA TABLE NA COLUMN KWENYE DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Picha ya SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
SQL - MYSQL SOMO LA 6: JINSIBYA KUTENGENEZA TABLE KWENYE DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

Picha ya SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database
SQL -MYSQL SOMO LA 5: AINA ZA DATA ZINAZOTUMIKA KWENYE MYSQL DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Picha ya SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
SQL -MYSQL SOMO LA 4; JINSI YA KUFUTA DATABASE, KUITUMIA DATABASE NA KUBADILI JINA LA DATABASE PAMOJA

Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database

Picha ya SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database
SQL - MYSQL SOMO LA 3: JINSI YA KUTENGENEZA DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql...

Picha ya SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake
SQL - MYSQL SOMO LA 2: MAANA YA DATABASE NA INA ZA DATABASE NA KAZI ZAKE

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake

Picha ya SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
SQL - MYSQL SOMO LA 1: JINSI YA KUTUMIA DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database