Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.
Hapa utajifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database
Katika somo hili la tisa tutakqenda kuona namna ya kutumia database. Somo hili tutajifunza jinsi ya kusoma data kwenye database. Hapa tutaona jinsi ya kutumia command kama:-
1. Select
2. limit
Somo hili ni msingi mzuri sana kwa masomo yajayo. Somo hili tutakwenda kutumia sana uwanja wa SQL tofauti na masomo yaliyotangalia ambapo tulikuwa tukitumia MySQL interface na SQL .
Maandalizi ya somo la tisa:
tengeneza database yemye jina hoteli kisha tengeneza table yennye jina menu ama pest code hizi kwenye uwanja wa sql:-
CREATE TABLE IF NOT EXISTS `menu` (
`id` int(100) NOT NULL,
`name` varchar(255) NOT NULL,
`description` varchar(255) NOT NULL,
`price` int(100) NOT NULL
) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;
Kisha jaza data kwenye table yako. Unaweza kupest data hizi kwenye uwanja wa sql:-
INSERT INTO `menu` (`id`, `name`, `description`, `price`) VALUES
(1, 'ugali', 'Pata ugali na mchuzi, ama ugali na nyama ama ugali na samaki. Ugali wa mahindi na muhogo', 1500),
(2, 'Wali', 'Pata waki na mchuzi, ama wali na nyama ama wali na samaki.', 2000),
(3, 'chai', 'Pata chai maandazi, chapati, ndizi, na supu', 3000),
(4, 'internet', 'Pata huduma za internet free huku ukijipatia chakula hapa, utalipia kila nusu saa utakalotuia', 700),
(5, 'simu', 'Pata huduma za simu bre huku ukijipatia chakula hapa, utalipia kila nusu saa utakalotuia', 1200),
(6, 'ushauri', 'Tunatowa huduma za ushauri nasaha, utalipia kwa kila nusu saa utakaloluwa unapewa ushauri', 1000),
(7, 'huduma za Afya', 'Hapa utapata huduma za afya za awali kama bipimo vya uti, malaria, mimba na vinginevyo. utalipia kwa kila kipimo', 5000),
(8, 'Mapishi', 'pia tunatowa mafunzo ya mapishi kwa gharama nafuu. Utalipia kwa kila nusu saa utakalokuwa unafundishwa.', 9500),
(9, 'matanazo', 'Pia tunatowa matangazo mbalimbali kuwapatia waeja wetu. utalipia kwa kila tangazo litakapotagazwa', 25000),
(10, 'maji ya kunywa', 'huduma hii itatoka kwa gharama nafuu. utajipatia maji ya kunywa baridi. Utalipia kwa kila glasi', 300);
Baada yahapo utakuwa upo tayari pamoja nami katika somo hili la tisa katika mafunzo ya database kwa kutumia software ya MySQl.
1. Kusoma taarifa (data) zilizopo kwenye database
Hapa tunatumia command ya SELECT. Lakini pia tunaweza kutumia MySQL interface kufanya hili. Hapa nitaanza kukuonyesha namna ya kutumia MySQL intrface.
A. Kusoma taarifa kwenye database kwa kutumia MySQL interface.
1. Kwanza bofya database yako hoteli
2. Kisha tfuta neno lililoandikwa Browse bofya hapo utaona data zote zilizopo.
3. Utaweza kufanya mengine utakayotaka kama tulivyojifunza kama kufuta, kuedit ama kufanya chochote.
B. Kusoma taarifa kwenye database kwa kutumia SQl
1. Bofya database yako
2. Imgia kwenye uwanja wa SQl
3. Andika SELECT kisha weka * kisha weka FROM kisha weka jina la table yenye hizo data kisha weka ; itaonekana kama hivi:
4. SELECT<">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu. katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database. Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Madrasa kiganjani
👉6
Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql
Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql