Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql
Jinsi ya kutengeneza variable
Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql database.
Cariable zinasaidia sana katika kurahisisha mchakato wa kuchakata data kwenye database. kama ilivyo kwenye lugha nyingine za kompyuta zinakuwa na variable basi hata kwenye sql unaweza kuweka variable.
Katika somo hili tutakwenda kutumia database yetu ya duka kwa ajili ya mauzo ya vitu. unaweza kutengeneza table kama hii hapo chini:-
Tengeneza database iite shop kisha tengeneza table iite product ama run code hizo hapo chini:-
CREATE TABLE products (
id INT PRIMARY KEY AUTO_INCREMENT,
name VARCHAR(100),
price DECIMAL(10, 2),
quantity INT
);
Ingiza data kwenye table hiyo kwa kutumia code hizi:-
INSERT INTO products (name, price, quantity) VALUES
('Laptop', 1200.50, 5),
('Phone', 800.00, 10),
('Tablet', 250.00, 7),
('Headphones', 50.00, 15);
Ssa tuanze jinsi ya kutengeneza variable ambayo tutakuwa tunaitumia kwenye kuchakata data hizi.
Kanuni ya kutengeneza variable
SET @variable_name = value;
Kama unavyoona hapo kwanza tunatumia keyword SET ikifuatiwa na alama ya @ ikifuatiwa na jina la hiyo variable mwisho inafuatiwa na alama ya = na thamani ya hiyo variable.
Mfano:
SET @jumla = 100
na ili kuisoma hiyo variable tutatumia keyword SELECT
Mfano:
SELECT @jumla;
Pia unaweza kutumia alias ili ku display jina lililokuwa vizuri
Mfano
SET @jumla = 100;
SELECT @jumla as jumla;
Kwa kuwa sasa tunaweza kutengeneza variable sasa wacha tuitumie kwenye database yetu. Tuseme tunataka kutengeneza variable kwa ajili ya kupata jumla ya gharama (price) wenye bidhaa zote zilizopo kwenye duka letu.
...
Je! umeipenda hii post?
Rajabu
Tarehe 2024-09-12 10:30:52 Topic: Database
Main: Masomo
File: Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 464
Sponsored links
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database
Database somo la 23: View kwenye Database
SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql
SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database
Database somo la 24: Transaction kwenye database
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.
Nicheki WhatsApp kwa maswali
Ndio Hapana Save post
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2 Simulizi za Hadithi Audio
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Madrasa kiganjani
👉5 Kitabu cha Afya
👉6 Kitau cha Fiqh
Post zifazofanana:-
Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database Soma Zaidi...
katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake. Soma Zaidi...