Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql
Jinsi ya kutengeneza variable
Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql database.
Cariable zinasaidia sana katika kurahisisha mchakato wa kuchakata data kwenye database. kama ilivyo kwenye lugha nyingine za kompyuta zinakuwa na variable basi hata kwenye sql unaweza kuweka variable.
Katika somo hili tutakwenda kutumia database yetu ya duka kwa ajili ya mauzo ya vitu. unaweza kutengeneza table kama hii hapo chini:-
Tengeneza database iite shop kisha tengeneza table iite product ama run code hizo hapo chini:-
CREATE TABLE products (
id INT PRIMARY KEY AUTO_INCREMENT,
name VARCHAR(100),
price DECIMAL(10, 2),
quantity INT
);
Ingiza data kwenye table hiyo kwa kutumia code hizi:-
INSERT INTO products (name, price, quantity) VALUES
('Laptop', 1200.50, 5),
('Phone', 800.00, 10),
('Tablet', 250.00, 7),
('Headphones', 50.00, 15);
Ssa tuanze jinsi ya kutengeneza variable ambayo tutakuwa tunaitumia kwenye kuchakata data hizi.
Kanuni ya kutengeneza variable
SET @variable_name = value;
Kama unavyoona hapo kwanza tunatumia keyword SET ikifuatiwa na alama ya @ ikifuatiwa na jina la hiyo variable mwisho inafuatiwa na alama ya = na thamani ya hiyo variable.
Mfano:
SET @jumla = 100
na ili kuisoma hiyo variable tutatumia keyword SELECT
Mfano:
SELECT @jumla;
Pia unaweza kutumia alias ili ku display jina lililokuwa vizuri
Mfano
SET @jumla = 100;
SELECT @jumla as jumla;
Kwa kuwa sasa tunaweza kutengeneza variable sasa wacha tuitumie kwenye database yetu. Tuseme tunataka kutengeneza variable kwa ajili ya kupata jumla ya gharama (price) wenye bidhaa zote zilizopo kwenye duka letu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database
Soma Zaidi...Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.
Soma Zaidi...Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
Soma Zaidi...