picha

SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Jinsi ya kutengeneza variable

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql database.

 

Cariable zinasaidia sana katika kurahisisha mchakato wa kuchakata data kwenye database. kama ilivyo kwenye lugha nyingine za kompyuta zinakuwa na variable basi hata kwenye sql unaweza kuweka variable.

 

Katika somo hili tutakwenda kutumia database yetu ya duka kwa ajili ya mauzo ya vitu. unaweza kutengeneza table kama hii hapo chini:-

Tengeneza database iite shop kisha tengeneza table iite product ama run code hizo hapo chini:-

CREATE TABLE products (

    id INT PRIMARY KEY AUTO_INCREMENT,

    name VARCHAR(100),

    price DECIMAL(10, 2),

    quantity INT

);

 

Ingiza data kwenye table hiyo kwa kutumia code hizi:-

INSERT INTO products (name, price, quantity) VALUES

('Laptop', 1200.50, 5),

('Phone', 800.00, 10),

('Tablet', 250.00, 7),

('Headphones', 50.00, 15);

 

 

Ssa tuanze jinsi ya kutengeneza variable ambayo tutakuwa tunaitumia kwenye kuchakata data hizi.

 

Kanuni ya kutengeneza variable

SET @variable_name = value;

Kama unavyoona hapo kwanza tunatumia keyword SET ikifuatiwa na alama ya @ ikifuatiwa na jina la hiyo variable mwisho inafuatiwa na alama ya =  na  thamani ya hiyo variable.

Mfano:

SET @jumla = 100

na ili kuisoma hiyo variable tutatumia keyword SELECT 

Mfano:

SELECT @jumla;

 

Pia unaweza kutumia alias ili ku display jina lililokuwa vizuri 

Mfano

SET @jumla = 100;

SELECT @jumla as jumla;

 

Kwa kuwa sasa tunaweza kutengeneza variable sasa wacha tuitumie kwenye database yetu. Tuseme tunataka kutengeneza variable kwa ajili ya kupata...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-09-12 10:30:52 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 1543

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 web hosting     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Soma Zaidi...
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface

Soma Zaidi...
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Soma Zaidi...
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Soma Zaidi...