SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Jinsi ya kutengeneza variable

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql database.

 

Cariable zinasaidia sana katika kurahisisha mchakato wa kuchakata data kwenye database. kama ilivyo kwenye lugha nyingine za kompyuta zinakuwa na variable basi hata kwenye sql unaweza kuweka variable.

 

Katika somo hili tutakwenda kutumia database yetu ya duka kwa ajili ya mauzo ya vitu. unaweza kutengeneza table kama hii hapo chini:-

Tengeneza database iite shop kisha tengeneza table iite product ama run code hizo hapo chini:-

CREATE TABLE products (

    id INT PRIMARY KEY AUTO_INCREMENT,

    name VARCHAR(100),

    price DECIMAL(10, 2),

    quantity INT

);

 

Ingiza data kwenye table hiyo kwa kutumia code hizi:-

INSERT INTO products (name, price, quantity) VALUES

('Laptop', 1200.50, 5),

('Phone', 800.00, 10),

('Tablet', 250.00, 7),

('Headphones', 50.00, 15);

 

 

Ssa tuanze jinsi ya kutengeneza variable ambayo tutakuwa tunaitumia kwenye kuchakata data hizi.

 

Kanuni ya kutengeneza variable

SET @variable_name = value;

Kama unavyoona hapo kwanza tunatumia keyword SET ikifuatiwa na alama ya @ ikifuatiwa na jina la hiyo variable mwisho inafuatiwa na alama ya =  na  thamani ya hiyo variable.

Mfano:

SET @jumla = 100

na ili kuisoma hiyo variable tutatumia keyword SELECT 

Mfano:

SELECT @jumla;

 

Pia unaweza kutumia alias ili ku display jina lililokuwa vizuri 

Mfano

SET @jumla = 100;

SELECT @jumla as jumla;

 

Kwa kuwa sasa tunaweza kutengeneza variable sasa wacha tuitumie kwenye database yetu. Tuseme tunataka kutengeneza variable kwa ajili ya kupata jumla ya gharama (price) wenye bidhaa zote zilizopo kwenye duk">...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 643

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

SQL  somo la 16:  Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database
SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database

Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.

Soma Zaidi...
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database
SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface

Soma Zaidi...
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql  function kwenye mysql
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

Soma Zaidi...
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

Soma Zaidi...