SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql
Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql
Jinsi ya kutengeneza variable
Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql database.
Cariable zinasaidia sana katika kurahisisha mchakato wa kuchakata data kwenye database. kama ilivyo kwenye lugha nyingine za kompyuta zinakuwa na variable basi hata kwenye sql unaweza kuweka variable.
Katika somo hili tutakwenda kutumia database yetu ya duka kwa ajili ya mauzo ya vitu. unaweza kutengeneza table kama hii hapo chini:-
Tengeneza database iite shop kisha tengeneza table iite product ama run code hizo hapo chini:-
CREATE TABLE products (
id INT PRIMARY KEY AUTO_INCREMENT,
name VARCHAR(100),
price DECIMAL(10, 2),
quantity INT
);
Ingiza data kwenye table hiyo kwa kutumia code hizi:-
INSERT INTO products (name, price, quantity) VALUES
('Laptop', 1200.50, 5),
('Phone', 800.00, 10),
('Tablet', 250.00, 7),
('Headphones', 50.00, 15);
Ssa tuanze jinsi ya kutengeneza variable ambayo tutakuwa tunaitumia kwenye kuchakata data hizi.
Kanuni ya kutengeneza variable
SET @variable_name = value;
Kama unavyoona hapo kwanza tunatumia keyword SET ikifuatiwa na alama ya @ ikifuatiwa na jina la hiyo variable mwisho inafuatiwa na alama ya = na thamani ya hiyo variable.
Mfano:
SET @jumla = 100
na ili kuisoma hiyo variable tutatumia keyword SELECT
Mfano:
SELECT @jumla;
Pia unaweza kutumia alias ili ku display jina lililokuwa vizuri
Mfano
SET @jumla = 100;
SELECT @jumla as jumla;
Kwa kuwa sasa tunaweza kutengeneza variable sasa wacha tuitumie kwenye database yetu. Tuseme tunataka kutengeneza variable kwa ajili ya kupata...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake
Soma Zaidi...SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database
Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.
Soma Zaidi...Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data
Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.
Soma Zaidi...SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database
Soma Zaidi...SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface
Soma Zaidi...SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.
Soma Zaidi...