Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface
Katika somo lililotangulia tumejifunz namna ya kubadili jina kwenye table pia tukaona kuongeza column. Sasa katika somo hili hasa ndipo tunakwenda kuweka data kwenye table yetu, yaani kuweka data kwenye database. Katika somo hili tunakwenda kutumia ile table tulioiita post.
1. Kuweka data kwenye table kwa kutumia MySQL
Kama tulivyofanya kwenye masomo yaliyotangulia kuwa tunatumia MySQl kisha tunatumia SQL statement hivyohivyo ndivyo tutakavyofanya kwenye somo hili.Ili kuweka taarifa kwenye database yako fuata hatuwa zifuata:-
1. Fifya hiyo table yenye jina post
2. Kwenye menu juu bofya neno insert
3. Ukurasa wenye vijumba vingi utafunguka
4. utaona kuna column zile ambazo tumetengeneza aina zake za data na character leght. Sasa wewe unachotakiwa ni kutafuta palipoandikwa value chini yake kuna hivyo vijumba.
5. Angalia mpangilio wa hiyo menu. Imeanza column, kisha type kisha Function kisha Null kisha Value.
6. Hivyo utaangalia kwenye column kama ni Id utaweka value yake kwenye kijumba cha value. Weka namba moja kwenye id
7. Angalia kwenye column baada ya id inafata title nenda upande wa kulia kwenye value weka jina la kichwa cha habari cha post yako mfanp “mafunzo ya html”
8. Angalia column nyngine ambayo ni summaery kwenye value weka mhutasari wa ppost yako mafano “post hii itakwenda kukujuwa maana ya HTML”
9. Cheki tene kenye column inafata content hapo weka maudhui ya post yako mfano “HTML ni kifupisho cha Hypertext Markup Language”
10. Kisha kwenye image weka link ya picha yako mfano unaweza kutumia link hii “https://bongomakataba.web.app/images/sampo.png”
11. Kwenye publisher weka jina lako mfano “Bongoclass”
12. Kwenye date angalia kwenye value utaona kajialama ka kalenda kadogo bofya hako kisha bofya tarehe ya leo utaona imekaa.
13. Kisha bofya GO.
14. Mpaka kufika hapo utakuwa umeongeza data. Kwenye menu juu bofya browser utaona post yako.
15. Baada ya hapo ingia kwenye structure
16. Kwenye column ya id kulia bofya change kama vile unataka kuiedit
17. Angalia kwenye A_I au autoincement kama pana tiki, kama hapana weka tiki kisha save, kama ipo rudi nyuma.
18. Angalia kwenye column ya edit kuliani mwa neno change kuna neno linasomeka more bofya hapo kisha kwenye menu itakayokuja bofya unique, kuna kaujumbe katakuja weka ok
19. Kuipa column unique maana yake tunataka isifanane datazake. Kwa mfano kama post ina id 1 isitokee nyingine ikawa na namba hiyohiyo.
20. Rudi kwenye browser.
21. Utaona post yako uliyoweka pamoja na menu nyingine kama edit na nyinginezo.
Fanya hivi kuweka posta zaidi na kwenye menu weka menu inayoitwa afya.
2. Kuweka data kwenye table kwa kutumia SQL
S">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 370
Sponsored links
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Kitabu cha Afya
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo. Soma Zaidi...
SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function Soma Zaidi...
Database somo la 23: View kwenye Database
Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view. Soma Zaidi...
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake Soma Zaidi...
Database somo la 24: Transaction kwenye database
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database Soma Zaidi...
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database
Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code. Soma Zaidi...