SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql  function kwenye mysql

SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Katika somo letu hili tutakwenda kufanya mabadiliko kadhaa kwenye database yetu. Hapa tunakwenda kuongeza column ya jina la baba, pia tutaongeza column ya masomo mawili, na ile ya alama tutaibadilisha kuwa somo. hivyo table yetu itakuwa na column hizi:-

  1. id
  2. jina_la_kwanza
  3. jina_la_pili
  4. kusoma
  5. kuhesabu
  6. kuandika

 

 

kisha weka data kadhaa kama nilivyoweka mimi. angalia picha hapo chini

 

kufikia hapo utakuw aupo tayari kwa ajili ya somo. kabla hatujaendelea na somo kwanz anikukumbuse kuwa tayari tulisajifunza baadhi ya function kwenye masomo yaliopita kama:-

  1. COUNT()
  2. AVG()
  3. SUM()
  4. MAX()
  5. MIN()

 

Katika somo hili tutaendelea kuangalia function nyingineze. Nikukumbushe tu kwanza sql ina mamia fu functions ambazo hatunazizungumzia. hivyo pitaia link hii https://www.w3schools.com/sql/sql_ref_mysql.asp utaweza kusoma function nyingi.

 

 

jinsi ya kuunganisha column

Yaani ipo hivi, hapo kwenye column tuna jina la kwanza na jina la pili, ambapo la kwanza ni la mtoto na la pili ni la baba. sasa tunataka watai kwa kusoma hizo column 2 tuzisome kama moja, hivyo basi itatubidi tuziunganishe.

 

kufanya hivyo tutatumia concat() ambapo ndani yake utaweka hizo column kwa kuzitenganisha na alama ya koma. 

Mfano

SELECT concat(jina_la_kwanza, jina_la_pili) as jina FROM majibu;

sasa hapo kuna changamoto tunatakiwa tuzitatue. unaona hapo majina yamebanana, sasa tunataka kuyatengenisha. Ndani ya function ya concat unaweza pia kuunganisha kwa kuweka vitu vingine. Hivyo nitaongeza empty space kwa kutumia (“ “)

SELECT concat(jina_la_kwanza, "  ", jina_la_pili) as jina FROM majibu;

Angalau hapo utaona jina la kwanza na la pili vimeachana kitogo.

 

Kuweka herufi kubwa au ndogo

Wakati mwingine utataka majina yawe katika format moja tu, kwa mfano kama yote yawe na herufi kubwa tupu ama ndogo tupu. Kuwa herufi kubwa utatumia UPPER() na kuwa herufi ndogo utatumia LOWER(). Ndani ya function utaweka jina la column unayotaka data zake ziwe katika herufi kubwa ama nogo.

Mfano:

SELECT concat(UPPER(jina_la_kwanza), "  ", UPPER(jina_la_pili)) as jina FROM majibu;

Hivyo hivyo kuwa herufi ndogo utatumia LOWER()

SELECT concat(LOWER(jina_la_kwanza), "  ", LOWER(jina_la_pili)) as jina FROM majibu;

...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 407

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

Soma Zaidi...
SQL  somo la 16:  Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database
SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database

Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.

Soma Zaidi...
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

Soma Zaidi...
Database somo la 24: Transaction kwenye database
Database somo la 24: Transaction kwenye database

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Soma Zaidi...
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

Soma Zaidi...
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Soma Zaidi...