Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.
Katika somo letu hili tutakwenda kufanya mabadiliko kadhaa kwenye database yetu. Hapa tunakwenda kuongeza column ya jina la baba, pia tutaongeza column ya masomo mawili, na ile ya alama tutaibadilisha kuwa somo. hivyo table yetu itakuwa na column hizi:-
kisha weka data kadhaa kama nilivyoweka mimi. angalia picha hapo chini
kufikia hapo utakuw aupo tayari kwa ajili ya somo. kabla hatujaendelea na somo kwanz anikukumbuse kuwa tayari tulisajifunza baadhi ya function kwenye masomo yaliopita kama:-
Katika somo hili tutaendelea kuangalia function nyingineze. Nikukumbushe tu kwanza sql ina mamia fu functions ambazo hatunazizungumzia. hivyo pitaia link hii https://www.w3schools.com/sql/sql_ref_mysql.asp utaweza kusoma function nyingi.
jinsi ya kuunganisha column
Yaani ipo hivi, hapo kwenye column tuna jina la kwanza na jina la pili, ambapo la kwanza ni la mtoto na la pili ni la baba. sasa tunataka watai kwa kusoma hizo column 2 tuzisome kama moja, hivyo basi itatubidi tuziunganishe.
kufanya hivyo tutatumia concat() ambapo ndani yake utaweka hizo column kwa kuzitenganisha na alama ya koma.
Mfano
SELECT concat(jina_la_kwanza, jina_la_pili) as jina FROM majibu;
sasa hapo kuna changamoto tunatakiwa tuzitatue. unaona hapo majina yamebanana, sasa tunataka kuyatengenisha. Ndani ya function ya concat unaweza pia kuunganisha kwa kuweka vitu vingine. Hivyo nitaongeza empty space kwa kutumia (“ “)
SELECT concat(jina_la_kwanza, " ", jina_la_pili) as jina FROM majibu;
Angalau hapo utaona jina la kwanza na la pili vimeachana kitogo.
Kuweka herufi kubwa au ndogo
Wakati mwingine utataka majina yawe katika format moja tu, kwa mfano kama yote yawe na herufi kubwa tupu ama ndogo tupu. Kuwa herufi kubwa utatumia UPPER() na kuwa herufi ndogo utatumia LOWER(). Ndani ya function utaweka jina la column unayotaka data zake ziwe katika herufi kubwa ama nogo.
Mfano:
SELECT concat(UPPER(jina_la_kwanza), " ", UPPER(jina_la_pili)) as jina FROM majibu;
Hivyo hivyo kuwa herufi ndogo utatumia LOWER()
SELECT concat(LOWER(jina_la_kwanza), " ", LOWER(jina_la_pili)) as jina FROM majibu;
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database ...
Download App Yetu
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Bongolite - Game zone - Play free game
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite
SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database