image

SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

MAFUNZO YA DATABASE SQL (MYSQL)

haya ni mafunzo ya DATABASE kwa kutumia software ya MYSQL. Katika mafunzo haya utajifunza namna ya kuthibiti taarifa kwnye database kwa kutumia software ya mysql.  Pamoja na mafunzo ya php na html utaweza pia kuzitumia taarifa hizi moja kwa oja kwenye blog ama website yako.

 

 

Mafunzo haya yatakujia kupitia mfundishaji wako Mr. Rajabu kutoka bongoclass. Mwisho wa mafunzo haya utaweza kumilii database yeko ya online ambapo utaweza kuweka na kupata taarifa popote ulipo kutoka kwenye kifaa chochote kile. Kumbukacourse hii inakuji free kabisa bila ya malipo. Unachotakiwa ni kushiriki vyema tu.

 

 

VIGEZO VYA KUSHIRIKI MAFUNZO:

1. Uwe na simu janja yenye kiendeshi cha Android au uwe na kompyuta

2. Uwe mjanja

3. Una uzoefu wa kutumia software ama android App mbalimbali kama excel,

4. Uweze kusoma na kuandika angalau maneno marahisi ya kiiingereza kama create, drop, user, select, where, into, update, order na mengine yanayofanana na haya.

 

 

MAANDALIZI YA SOMO:

Ili kuweza kuendelea na somo hili hakikisha kuwa umesakinisha App zifutazo kwenye kifaa chako.

1. Kama unatumia simu AWEBSERVER tumia link hii https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sylkat.apache

 

2. Kama unatumia kompyuta download wamp server au xamp vyema ukaanza na xamp maana wampserver wakati mwingine inasumbuwa kwenye kuinstall kama kompyta haipo update.

    ...



    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 509


    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

    Post zifazofanana:-

    SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo. Soma Zaidi...

    SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake. Soma Zaidi...

    SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge Soma Zaidi...

    SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani Soma Zaidi...

    SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database. Soma Zaidi...

    SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql
    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias Soma Zaidi...

    SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database Soma Zaidi...

    SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake
    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake Soma Zaidi...

    SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
    Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database Soma Zaidi...

    SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database
    Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla. Soma Zaidi...

    SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database
    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database Soma Zaidi...

    SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database
    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface Soma Zaidi...