SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database
MAFUNZO YA DATABASE SQL (MYSQL)
haya ni mafunzo ya DATABASE kwa kutumia software ya MYSQL. Katika mafunzo haya utajifunza namna ya kuthibiti taarifa kwnye database kwa kutumia software ya mysql. Pamoja na mafunzo ya php na html utaweza pia kuzitumia taarifa hizi moja kwa oja kwenye blog ama website yako.
Mafunzo haya yatakujia kupitia mfundishaji wako Mr. Rajabu kutoka bongoclass. Mwisho wa mafunzo haya utaweza kumilii database yeko ya online ambapo utaweza kuweka na kupata taarifa popote ulipo kutoka kwenye kifaa chochote kile. Kumbukacourse hii inakuji free kabisa bila ya malipo. Unachotakiwa ni kushiriki vyema tu.
VIGEZO VYA KUSHIRIKI MAFUNZO:
1. Uwe na simu janja yenye kiendeshi cha Android au uwe na kompyuta
2. Uwe mjanja
3. Una uzoefu wa kutumia software ama android App mbalimbali kama excel,
4. Uweze kusoma na kuandika angalau maneno marahisi ya kiiingereza kama create, drop, user, select, where, into, update, order na mengine yanayofanana na haya.
MAANDALIZI YA SOMO:
Ili kuweza kuendelea na somo hili hakikisha kuwa umesakinisha App zifutazo kwenye kifaa chako.
1. Kama unatumia simu AWEBSERVER tumia link hii https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sylkat.apache
2. Kama unatumia kompyuta download wamp server au xamp vyema ukaanza na xamp maana wampserver wakati mwingine inasumbuwa kwenye kuinstall kama kompyta haipo update.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data
Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.
Soma Zaidi...SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql
Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql
Soma Zaidi...SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.
Soma Zaidi...Database somo la 23: View kwenye Database
Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.
Soma Zaidi...SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.
Soma Zaidi...SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database
Soma Zaidi...