Menu



SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

MAFUNZO YA DATABASE SQL (MYSQL)

haya ni mafunzo ya DATABASE kwa kutumia software ya MYSQL. Katika mafunzo haya utajifunza namna ya kuthibiti taarifa kwnye database kwa kutumia software ya mysql.  Pamoja na mafunzo ya php na html utaweza pia kuzitumia taarifa hizi moja kwa oja kwenye blog ama website yako.

 

 

Mafunzo haya yatakujia kupitia mfundishaji wako Mr. Rajabu kutoka bongoclass. Mwisho wa mafunzo haya utaweza kumilii database yeko ya online ambapo utaweza kuweka na kupata taarifa popote ulipo kutoka kwenye kifaa chochote kile. Kumbukacourse hii inakuji free kabisa bila ya malipo. Unachotakiwa ni kushiriki vyema tu.

 

 

VIGEZO VYA KUSHIRIKI MAFUNZO:

1. Uwe na simu janja yenye kiendeshi cha Android au uwe na kompyuta

2. Uwe mjanja

3. Una uzoefu wa kutumia software ama android App mbalimbali kama excel,

4. Uweze kusoma na kuandika angalau maneno marahisi ya kiiingereza kama create, drop, user, select, where, into, update, order na mengine yanayofanana na haya.

 

 

MAANDALIZI YA SOMO:

Ili kuweza kuendelea na somo hili hakikisha kuwa umesakinisha App zifutazo kwenye kifaa chako.

1. Kama unatumia simu AWEBSERVER tumia link hii https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sylkat.apache

 

2. Kama unatumia kompyuta download wamp server au xamp vyema ukaanza na xamp maana wampserver wakati mwingine inasumbuwa kwenye kuinstall kama kompyta haipo update.

    ">...

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass

    Endelea

    Ndio     Hapana     Save post
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 762

    Share On:

    Facebook WhatsApp

    Post zinazofanana:

    SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

    katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

    Soma Zaidi...
    SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

    Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

    Soma Zaidi...
    SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

    Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

    Soma Zaidi...
    Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

    Soma Zaidi...
    Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

    Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface

    Soma Zaidi...
    SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

    Soma Zaidi...
    Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

    Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

    Soma Zaidi...