Menu



Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

1. UPPER()

SELECT UPPER('hello'); -- Matokeo: HELLO

2. REVERSE()

SELECT REVERSE('hello'); -- Matokeo: olleh

3. FIELD()

SELECT FIELD('b', 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: 2

4. FIND_IN_SET()

SELECT FIND_IN_SET('b', 'a,b,c,d'); -- Matokeo: 2

5. ELT()

SELECT ELT(2, 'apple', 'banana', 'cherry'); -- Matokeo: banana

6. EXPORT_SET()

SELECT EXPORT_SET(5, 'Y', 'N', ',', 4); -- Matokeo: Y,N,Y,N

7. MAKE_SET()

SELECT MAKE_SET(5, 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: a,c

8. FORMAT()

SELECT FORMAT(1234567.89, 2); -- Matokeo: 1,234,567.89

9. QUOTE()

SELECT QUOTE("O'Reilly"); -- Matokeo: 'O\'Reilly'

10. LPAD() / RPAD()

SELECT LPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 00042
SELECT RPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 42000

11. INET_ATON() / INET_NTOA()

SELECT INET_ATON('192.168.1.1'); -- Matokeo: 32322357">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 164

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja

Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database

Soma Zaidi...
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Soma Zaidi...
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias

Soma Zaidi...
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

Soma Zaidi...