Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.
SELECT UPPER('hello'); -- Matokeo: HELLO
SELECT REVERSE('hello'); -- Matokeo: olleh
SELECT FIELD('b', 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: 2
SELECT FIND_IN_SET('b', 'a,b,c,d'); -- Matokeo: 2
SELECT ELT(2, 'apple', 'banana', 'cherry'); -- Matokeo: banana
SELECT EXPORT_SET(5, 'Y', 'N', ',', 4); -- Matokeo: Y,N,Y,N
SELECT MAKE_SET(5, 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: a,c
SELECT FORMAT(1234567.89, 2); -- Matokeo: 1,234,567.89
SELECT QUOTE("O'Reilly"); -- Matokeo: 'O\'Reilly'
SELECT LPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 00042
SELECT RPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 42000
SELECT INET_ATON('19">
...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.
Soma Zaidi...