picha

Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

1. UPPER()

SELECT UPPER('hello'); -- Matokeo: HELLO

2. REVERSE()

SELECT REVERSE('hello'); -- Matokeo: olleh

3. FIELD()

SELECT FIELD('b', 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: 2

4. FIND_IN_SET()

SELECT FIND_IN_SET('b', 'a,b,c,d'); -- Matokeo: 2

5. ELT()

SELECT ELT(2, 'apple', 'banana', 'cherry'); -- Matokeo: banana

6. EXPORT_SET()

SELECT EXPORT_SET(5, 'Y', 'N', ',', 4); -- Matokeo: Y,N,Y,N

7. MAKE_SET()

SELECT MAKE_SET(5, 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: a,c

8. FORMAT()

SELECT FORMAT(1234567.89, 2); -- Matokeo: 1,234,567.89

9. QUOTE()

SELECT QUOTE("O'Reilly"); -- Matokeo: 'O\'Reilly'

10. LPAD() / RPAD()

SELECT LPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 00042
SELECT RPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 42000

11. INET_ATON() / INET_NTOA()

SELECT INET_ATON('192.168.1.1'); -- Matokeo: 3232235777
SELECT INET_NTOA(3232235777); -- Matokeo: 192.168.1.1

12. CONV()

...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2025-02-10 22:57:13 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 1115

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 web hosting     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake

Soma Zaidi...
SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.

Soma Zaidi...
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Soma Zaidi...