Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.
SELECT UPPER('hello'); -- Matokeo: HELLO
SELECT REVERSE('hello'); -- Matokeo: olleh
SELECT FIELD('b', 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: 2
SELECT FIND_IN_SET('b', 'a,b,c,d'); -- Matokeo: 2
SELECT ELT(2, 'apple', 'banana', 'cherry'); -- Matokeo: banana
SELECT EXPORT_SET(5, 'Y', 'N', ',', 4); -- Matokeo: Y,N,Y,N
SELECT MAKE_SET(5, 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: a,c
SELECT FORMAT(1234567.89, 2); -- Matokeo: 1,234,567.89
SELECT QUOTE("O'Reilly"); -- Matokeo: 'O\'Reilly'
SELECT LPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 00042
SELECT RPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 42000
SELECT INET_ATON('192.168.1.1'); -- Matokeo: 32322357">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database
Soma Zaidi...katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
Soma Zaidi...Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.
Soma Zaidi...