picha

Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

1. UPPER()

SELECT UPPER('hello'); -- Matokeo: HELLO

2. REVERSE()

SELECT REVERSE('hello'); -- Matokeo: olleh

3. FIELD()

SELECT FIELD('b', 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: 2

4. FIND_IN_SET()

SELECT FIND_IN_SET('b', 'a,b,c,d'); -- Matokeo: 2

5. ELT()

SELECT ELT(2, 'apple', 'banana', 'cherry'); -- Matokeo: banana

6. EXPORT_SET()

SELECT EXPORT_SET(5, 'Y', 'N', ',', 4); -- Matokeo: Y,N,Y,N

7. MAKE_SET()

SELECT MAKE_SET(5, 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: a,c

8. FORMAT()

SELECT FORMAT(1234567.89, 2); -- Matokeo: 1,234,567.89

9. QUOTE()

SELECT QUOTE("O'Reilly"); -- Matokeo: 'O\'Reilly'

10. LPAD() / RPAD()

SELECT LPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 00042
SELECT RPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 42000

11. INET_ATON() / INET_NTOA()

SELECT INET_ATON('192.168.1.1'); -- Matokeo: 3232235777
SELECT INET_NTOA(3232235777); -- Matokeo: 192.168.1.1

12. CONV()

...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2025-02-10 22:57:13 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 1093

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 web hosting     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...
SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database

Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.

Soma Zaidi...
Database somo la 23: View kwenye Database

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Soma Zaidi...
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Soma Zaidi...
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...