Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

1. UPPER()

SELECT UPPER('hello'); -- Matokeo: HELLO

2. REVERSE()

SELECT REVERSE('hello'); -- Matokeo: olleh

3. FIELD()

SELECT FIELD('b', 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: 2

4. FIND_IN_SET()

SELECT FIND_IN_SET('b', 'a,b,c,d'); -- Matokeo: 2

5. ELT()

SELECT ELT(2, 'apple', 'banana', 'cherry'); -- Matokeo: banana

6. EXPORT_SET()

SELECT EXPORT_SET(5, 'Y', 'N', ',', 4); -- Matokeo: Y,N,Y,N

7. MAKE_SET()

SELECT MAKE_SET(5, 'a', 'b', 'c', 'd'); -- Matokeo: a,c

8. FORMAT()

SELECT FORMAT(1234567.89, 2); -- Matokeo: 1,234,567.89

9. QUOTE()

SELECT QUOTE("O'Reilly"); -- Matokeo: 'O\'Reilly'

10. LPAD() / RPAD()

SELECT LPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 00042
SELECT RPAD('42', 5, '0'); -- Matokeo: 42000

11. INET_ATON() / INET_NTOA()

SELECT INET_ATON('192.168.1.1'); -- Matokeo: 32322357">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 235

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...
Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge

Soma Zaidi...
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Soma Zaidi...
Database somo la 23: View kwenye Database

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Soma Zaidi...
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Soma Zaidi...