image

SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

kutengeneza function tunaanza na keyword DELIMITER // hiyo utakuja tena kuiweka mwisho // DELIMITER baada ya hapo tutatumia keyword CREATE FUNCTION ikifuatiwa na jina la hiyo function ikifuatiwa na mabano (). Mfano salamu() kisha utaweka aina aina ya data na length yake ambayo hiyo function ita return katika sql function ni lazima iwe ina return data moja tu. Mfano RETURNS VARCHAR(255). kisha kama functio yako haitakuwa ikibadilikabadilika data weka keyword DETERMINISTIC hii ni option yaani sio lazima.

 

Baada ya hapo ndipo tutaanza kuandika code za function yetu. code hizo ni zile ambacho kuwa nini unataka kitokee. Utaanza na keyword BEGIN kisha utaweka hizo code kisha utamaliza na END.

 

Mwisho kumbuka kuwa ili function iweze kufanya kazi utahitaji kuitwa (call). katika mysql tutiita functionkwa kui select mfano utaiita mwishoni select salamu()

 

MFANO:

Tunataka kutegeneza function ambayo ita display meseji ya “haloo karibu Bongoclass”

DELIMITER //

CREATE FUNCTION salamu()

RETURNS VARCHAR(255)

DETERMINISTIC

BEGIN

    RETURN 'hallo karibu Bongoclass';

END 

// DELIMITER ;

SELECT salamu();

 

 

sasa inaweza kutokea ukirudia tena ku run hizo code ukaambiwa function already exist. hapo itatubidi tuifute ambayo ipo. kufuta tutatumia drop kwa mfano

DROP FUNCTION IF EXISTS salamu; nimetumia if ili kuifuta ambayo kama ipo.

 

Wacha tuone mfano zaidi. mfano unaofuata tutatumia database na table kutoka kwenye somo lililopita. tutakwenda kutafuta wastani wa bei.



abla hatujasonga sana una jambo nlwee sawa. ata function variable tunaztengeneza ndan ya function na tuna tuma keyword DECLARE ikifuatiwa na jina la variable ikifuatiwa na aina ya data.

Mfano 

DECLARE total_price DOUBLE;

DECLARE total_count INT;

 

Kisha ili kuweza kuweka value kwenye variable tutatumia select into na sio from tunatumia into kwa kuwa tunataka kuingiza data kwenye variable.

Mfano:

 SELECT SUM(price) INTO total_price FROM products;

SELECT COUNT(*) INTO total_count FROM products;

 

Mwisho utatumia keyword RETURN  ili ku return data ambazo nio output ya function yako.



Mfano: 

DROP FUNCTION IF EXISTS wastani;

DELIMITER //

 

CREATE FUNCTION wastani()

RETURNS DOUBLE

DETERMINISTIC

BEGIN

    DECLARE total_price DOUBLE;

    DECLARE total_count INT;

    

    -- Calculate the total price of all products

    SELECT SUM(price) INTO total_price FROM products;

    

    -- Calculate the total number of products

    SELECT COUNT(*) INTO total_count FROM products;

    

    -- Calculate and return the average price, handle division by zero

    IF total_count > 0 THEN

        RETURN ROUND(total_price / total_count, 2);

    ELSE

        RETURN 0;

    END IF;

END //

 

DELIMITER ;

 

SELECT wastani()

 

Mwisho:

katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu stored procedure kwenye mysl na jinsi inavyotofautiana na function

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-09-16 18:13:21 Topic: SQL Main: Masomo File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 223


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake Soma Zaidi...

SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database Soma Zaidi...

SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database Soma Zaidi...

SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql
Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface Soma Zaidi...

SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql
Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia. Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge Soma Zaidi...

SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database
Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla. Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake. Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana. Soma Zaidi...

SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo Soma Zaidi...