picha

SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

kutengeneza function tunaanza na keyword DELIMITER // hiyo utakuja tena kuiweka mwisho // DELIMITER baada ya hapo tutatumia keyword CREATE FUNCTION ikifuatiwa na jina la hiyo function ikifuatiwa na mabano (). Mfano salamu() kisha utaweka aina aina ya data na length yake ambayo hiyo function ita return katika sql function ni lazima iwe ina return data moja tu. Mfano RETURNS VARCHAR(255). kisha kama functio yako haitakuwa ikibadilikabadilika data weka keyword DETERMINISTIC hii ni option yaani sio lazima.

 

Baada ya hapo ndipo tutaanza kuandika code za function yetu. code hizo ni zile ambacho kuwa nini unataka kitokee. Utaanza na keyword BEGIN kisha utaweka hizo code kisha utamaliza na END.

 

Mwisho kumbuka kuwa ili function iweze kufanya kazi utahitaji kuitwa (call). katika mysql tutiita functionkwa kui select mfano utaiita mwishoni select salamu()

 

MFANO:

Tunataka kutegeneza function ambayo ita display meseji ya “haloo karibu Bongoclass”

DELIMITER //

CREATE FUNCTION salamu()

RETURNS VARCHAR(255)

DETERMINISTIC

BEGIN

    RETURN 'hallo karibu Bongoclass';

END 

// DELIMITER ;

SELECT salamu();

 

 

sasa inaweza kutokea ukirudia tena ku run hizo code ukaambiwa function already exist. hapo itatubidi tuifute ambayo ipo. kufuta tutatumia drop kwa mfano

DROP FUNCTION IF EXISTS salamu; nimetumia if ili kuifuta ambayo kama ipo.

 

Wacha tuone mfano zaidi. mfano unaofuata tutatumia database na table kutoka kwenye somo lililopita. tutakwenda kutafuta wastani wa bei.



abla hatujasonga sana una jambo nlwee sawa. ata function variable tunaztengeneza ndan ya function na tuna tu...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-09-16 18:13:21 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 1095

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 web hosting     👉5 ai web app     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Soma Zaidi...
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...