SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

kutengeneza function tunaanza na keyword DELIMITER // hiyo utakuja tena kuiweka mwisho // DELIMITER baada ya hapo tutatumia keyword CREATE FUNCTION ikifuatiwa na jina la hiyo function ikifuatiwa na mabano (). Mfano salamu() kisha utaweka aina aina ya data na length yake ambayo hiyo function ita return katika sql function ni lazima iwe ina return data moja tu. Mfano RETURNS VARCHAR(255). kisha kama functio yako haitakuwa ikibadilikabadilika data weka keyword DETERMINISTIC hii ni option yaani sio lazima.

 

Baada ya hapo ndipo tutaanza kuandika code za function yetu. code hizo ni zile ambacho kuwa nini unataka kitokee. Utaanza na keyword BEGIN kisha utaweka hizo code kisha utamaliza na END.

 

Mwisho kumbuka kuwa ili function iweze kufanya kazi utahitaji kuitwa (call). katika mysql tutiita functionkwa kui select mfano utaiita mwishoni select salamu()

 

MFANO:

Tunataka kutegeneza function ambayo ita display meseji ya “haloo karibu Bongoclass”

DELIMITER //

CREATE FUNCTION salamu()

RETURNS VARCHAR(255)

DETERMINISTIC

BEGIN

    RETURN 'hallo karibu Bongoclass';

END 

// DELIMITER ;

SELECT salamu();

 

 

sasa inaweza kutokea ukirudia tena ku run hizo code ukaambiwa function already exist. hapo itatubidi tuifute ambayo ipo. kufuta tutatumia drop kwa mfano

DROP FUNCTION IF EXISTS salamu; nimetumia if ili kuifuta ambayo kama ipo.

 

Wacha tuone mfano zaidi. mfano unaofuata tutatumia database na table kutoka kwenye somo lililopita. tutakwenda kutafuta wastani wa bei.



abla hatujasonga sana una jambo nlwee sawa. ata function variable tunaztengeneza ndan ya function na tuna tuma keyword DECLARE ikifuatiwa na jina la variable ikifuatiwa na aina ya data.

Mfano 

DECLARE total_price DOUBLE;

DECLARE total_count INT;

 

Kisha ili kuweza kuweka value kwenye variable tutatumia select into na sio from tunatumia into kwa kuwa tunataka kuingiza data kwenye variable.

Mfano:

 SELECT SUM(price) INTO total_price FROM products;

SELECT COUNT(*) INTO total_count FROM products;

 

Mwisho utatumia keyword RETURN  ili ku return data ambazo nio output ya function yako.



Mfano: 

DROP FUNCTION IF EXISTS wastani;

DELIMITER //

 

CREATE FUNCTION wastani()

RETURNS DOUBLE

DETERMINISTIC

BEGIN

    DECLARE total_price DOUBLE;

    DECLARE total_count INT;

    

    -- Calculate the total price of all products

    SELECT SUM(price) INTO total_price FROM products;

    

    -- Calculate the total number of products

    SELECT COUNT(*) INTO total_count FROM products;

    

    -- Calculate and return the average price, handle division by zero

    IF total_count > 0 THEN

        RETURN ROUND(total_price / total_count, 2);

    ELSE

        RETURN 0;

    END IF;

END //

 

DELIMITER ;

 

SELECT wastani()

 

Mwisho:

katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu stored procedure kwenye mysl na jinsi inavyotofautiana na function

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 515

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.

Soma Zaidi...
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias

Soma Zaidi...
Database somo la 23: View kwenye Database

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Soma Zaidi...
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

Soma Zaidi...
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Soma Zaidi...