SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

kutengeneza function tunaanza na keyword DELIMITER // hiyo utakuja tena kuiweka mwisho // DELIMITER baada ya hapo tutatumia keyword CREATE FUNCTION ikifuatiwa na jina la hiyo function ikifuatiwa na mabano (). Mfano salamu() kisha utaweka aina aina ya data na length yake ambayo hiyo function ita return katika sql function ni lazima iwe ina return data moja tu. Mfano RETURNS VARCHAR(255). kisha kama functio yako haitakuwa ikibadilikabadilika data weka keyword DETERMINISTIC hii ni option yaani sio lazima.

 

Baada ya hapo ndipo tutaanza kuandika code za function yetu. code hizo ni zile ambacho kuwa nini unataka kitokee. Utaanza na keyword BEGIN kisha utaweka hizo code kisha utamaliza na END.

 

Mwisho kumbuka kuwa ili function iweze kufanya kazi utahitaji kuitwa (call). katika mysql tutiita functionkwa kui select mfano utaiita mwishoni select salamu()

 

MFANO:

Tunataka kutegeneza function ambayo ita display meseji ya “haloo karibu Bongoclass”

DELIMITER //

CREATE FUNCTION salamu()

RETURNS VARCHAR(255)

DETERMINISTIC

BEGIN

    RETURN 'hallo karibu Bongoclass';

END 

// DELIMITER ;

SELECT salamu();

 

 

sasa inaweza kutokea ukirudia tena ku run hizo code ukaambiwa function already exist. hapo itatubidi tuifute ambayo ipo. kufuta tutatumia drop kwa mfano

DROP FUNCTION IF EXISTS salamu; nimetumia if ili kuifuta ambayo kama ipo.

 

Wacha tuone mfano zaidi. mfano unaofuata tutatumia database na table kutoka kwenye somo lililopita. tutakwenda kutafuta wastani wa bei.



abla hatujasonga sana una jambo nlwee sawa. ata function variable tunaztengeneza ndan ya function na tuna tuma keyword DECLARE ikifuatiwa na jina la variable ikifuatiwa na aina ya data.

Mfano 

DECLARE total_price DOUBLE;

DECLARE total_count INT;

 

Kisha ili kuweza kuweka value kwenye variable tutatumia select into na sio from tunatumia into kwa kuwa tunataka kuingiza data kwenye variable.

Mfano:

 SELECT SUM(price) INTO total_price FROM products;

SELECT COUNT(*) INTO total_count FROM products;

 

Mwisho utatumia keyword RETURN  ili ku return data ambazo nio output ya function yako.



Mfano: 

DROP FUNCTION IF EXISTS wastani;

DELIMITER //

 

CREATE FUNCTION wastani()

RETURNS DOUBLE

DETERMINISTIC

BEGIN

    DECLARE total_price DOUBLE;

    DECLARE total_count INT;

    

    -- Calculate the total price of all products

    SELECT SUM(price) INTO total_price FROM products;

    

    -- Calculate the total number of products

    SELECT COUNT(*) INTO total_count FROM products;

    

    -- Calculate and return the average price, handle division by zero

    IF total_count > 0 THEN

        RETURN ROUND(total_price / total_count, 2);

    ELSE

        RETURN 0;

    END IF;

END //

 

DELIMITER ;

 

SELECT wastani()

 

Mwisho:

katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu stored procedure kwenye mysl na jinsi inavyotofautiana na function

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 503

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql  function kwenye mysql
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Soma Zaidi...
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

Soma Zaidi...
Database somo la 24: Transaction kwenye database
Database somo la 24: Transaction kwenye database

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database

Soma Zaidi...
SQL  somo la 16:  Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database
SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database

Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database
SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface

Soma Zaidi...
Database somo la 23: View kwenye Database
Database somo la 23: View kwenye Database

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Soma Zaidi...
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Soma Zaidi...