Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.
SQLite ni mfumo wa usimamizi wa database ambao:
SQLite inatumia SQL kama lugha yake ya kuuliza data (Query Language), sawa na MySQL. Hii ina maana kuwa utaandika maswali ya SQL kwa muundo uleule wa MySQL, kama vile:
CREATE TABLE).INSERT INTO).SELECT).UPDATE).DELETE).SQLite inaweza kusimamiwa kwa kutumia programu inayoitwa DB Browser for SQLite. Programu hii ni rahisi kutumia na hutoa muonekano wa picha (GUI) kama phpMyAdmin kwa MySQL.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.
Soma Zaidi...Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge
Soma Zaidi...