picha

Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.

Utangulizi wa SQLite na PHP

Malengo ya Somo

  1. Kuelewa SQLite ni nini na tofauti yake na database nyingine.
  2. Kujifunza jinsi ya kusanidi SQLite kwenye kompyuta yako.
  3. Kujifunza kutumia User Interface ya SQLite (DB Browser).
  4. Kuelewa jinsi SQLite inavyofanya kazi na PHP.

1. SQLite ni Nini?

SQLite ni mfumo wa usimamizi wa database ambao:

SQLite inatumia SQL kama lugha yake ya kuuliza data (Query Language), sawa na MySQL. Hii ina maana kuwa utaandika maswali ya SQL kwa muundo uleule wa MySQL, kama vile:


2. Faida za SQLite


3. Jinsi ya Kusakinisha SQLite

SQLite inaweza kusimamiwa kwa kutumia programu inayoitwa DB Browser for SQLite. Programu hii ni rahisi kutumia na hutoa muonekano wa picha (GUI) kama phpMyAdmin kwa MySQL.

Hatua za Kusakinisha SQLite
  1. Tembelea tovuti rasmi ya SQLite Browser: https://sqlitebrowser.org/.
  2. Pakua toleo linalolingana na mfumo wako wa uendeshaji (Windo">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2025-01-19 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 778

    Share On:

    Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
    Sponsored links
    👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 ai web app    👉4 web hosting    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

    Post zinazofanana:

    SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

    Soma Zaidi...
    SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja

    Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.

    Soma Zaidi...
    SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database

    Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.

    Soma Zaidi...
    Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

    Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

    Soma Zaidi...
    SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

    katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface

    Soma Zaidi...
    SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

    Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

    Soma Zaidi...