Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.

Utangulizi wa SQLite na PHP

Malengo ya Somo

  1. Kuelewa SQLite ni nini na tofauti yake na database nyingine.
  2. Kujifunza jinsi ya kusanidi SQLite kwenye kompyuta yako.
  3. Kujifunza kutumia User Interface ya SQLite (DB Browser).
  4. Kuelewa jinsi SQLite inavyofanya kazi na PHP.

1. SQLite ni Nini?

SQLite ni mfumo wa usimamizi wa database ambao:

SQLite inatumia SQL kama lugha yake ya kuuliza data (Query Language), sawa na MySQL. Hii ina maana kuwa utaandika maswali ya SQL kwa muundo uleule wa MySQL, kama vile:


2. Faida za SQLite


3. Jinsi ya Kusakinisha SQLite

SQLite inaweza kusimamiwa kwa kutumia programu inayoitwa DB Browser for SQLite. Programu hii ni rahisi kutumia na hutoa muonekano wa picha (GUI) kama phpMyAdmin kwa MySQL.

Hatua za Kusakinisha SQLite
  1. Tembelea tovuti rasmi ya SQLite Browser: https://sqlitebrowser.org/.
  2. Pakua toleo linalolingana na mfumo wako wa uendeshaji (Windo">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 190

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

    Post zinazofanana:

    SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.

    Soma Zaidi...
    Database somo la 23: View kwenye Database

    Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

    Soma Zaidi...
    Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

    Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

    Soma Zaidi...
    SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

    Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

    Soma Zaidi...
    SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

    Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

    Soma Zaidi...