Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite

Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Utangulizi wa SQLite na PHP

Malengo ya Somo

  1. Kuelewa SQLite ni nini na tofauti yake na database nyingine.
  2. Kujifunza jinsi ya kusanidi SQLite kwenye kompyuta yako.
  3. Kujifunza kutumia User Interface ya SQLite (DB Browser).
  4. Kuelewa jinsi SQLite inavyofanya kazi na PHP.

1. SQLite ni Nini?

SQLite ni mfumo wa usimamizi wa database ambao:

SQLite inatumia SQL kama lugha yake ya kuuliza data (Query Language), sawa na MySQL. Hii ina maana kuwa utaandika maswali ya SQL kwa muundo uleule wa MySQL, kama vile:


2. Faida za SQLite


3. Jinsi ya Kusakinisha SQLite

SQLite inaweza kusimamiwa kwa kutumia programu inayoitwa DB Browser for SQLite. Programu hii ni rahisi kutumia na hutoa muonekano wa picha (GUI) kama phpMyAdmin kwa MySQL.

Hatua za Kusakinisha SQLite
  1. Tembelea tovuti rasmi ya SQLite Browser: https://sqlitebrowser.org/.
  2. Pakua toleo linalolingana na mfumo wako wa uendeshaji (Windo">...

    Download Post hii hapa

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 175

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

    Post zinazofanana:

    Database somo la 23: View kwenye Database
    Database somo la 23: View kwenye Database

    Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

    Soma Zaidi...
    SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql
    SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.
    SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.

    Soma Zaidi...
    SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql  function kwenye mysql
    SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

    Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

    Soma Zaidi...
    SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
    SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

    Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database
    SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani

    Soma Zaidi...
    SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database
    SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

    Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database
    SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge

    Soma Zaidi...
    SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
    SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

    Soma Zaidi...
    Database seomo la 21: Constraints kwenye Database
    Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

    Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

    Soma Zaidi...