Menu



SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

TYPE OF DATA IN MySQL:

Somo hili linakwenda kukufundisha aina za taarifa ambazo unaweza kuzihifadhi kwenye database (type of data). Ili kuelewa maana ya hili somo, chukulia database kama storage yako au memori kadi. Sasa kwenye memori kadi utaweza kuhifadhi video, miziki, document na nyinginezo. Ila sasa kwa upande wa database huwezi kuhifadhi video, ama mziki au document kama pdf kama ilivyo kwenye memory card. Katika database kuna namna yake ya kuweza kuhifadhi hizi media file..

 

Hivyo ili kujuwa ni taarifa zipi sasa unaweza kuzihifadhi kwenye database? Kama video inaweza kukaa kwenye database na umejifunza kuwa blog zinatumia database vipi post ya blog itaweza kuwa na image ama video? Haya yote utajifunza katika mlolongo wa somo hili na yanayofata.

 

Aina za data kwenye MySQL database:

1. CHAR

2. VARCHAR

3. BINARY

4. VARBINARY

5. TINYBLOB

6. TINYTEXT

7. TEXT

8. MEDIUMTEXT

9. MEDIUMBLOB

10. LONGTEXT

11. LONGBLOB

12. ENUM

13. SET

14. BIT

15. TINYINT

16. BOOL

17. BOOLEAN

18. SMALLINT

19. MEDIUMINT

20. INT

21. INTEGER

22. BIGINT

23. FLOAT

24. DOUBLE

25. DECIMAL

26. DEC

27. DATE

28. DATETIME

29. TIMESTAMP

30. TIME

31. YEAR

 

 

Kabla hatujaziona data hizi na jinsi zinavyofanya kazi kwanza kuna mbambo hapa tunatakiwa tuyaweke wazi. Kwanza tunatakiwa tielewe maana ya charcter, utf, text, letter, unicode, non-unicode.

 

Katika uandishi jumla ya herufi, namba na alama za kiuandishi kama emoji, visitari, vinukta , alama za koma na kadhalika, jumla ya yote haya yanaitwa character. Mfano neno “hallo bongoclass!!!” hapa kuna jumla ya mane mawili ambayo ni halo na neno bongoclass. Lakini haya maneno mawili yana jumala ya character 21 ukijumlisha na hizo funga semi na fungua na space moja. Hivyo ukisikia character zipo hivi.

 

Sasa wanaposema character set ni seti maalumu ya hizo character ambayo hutumika katika kifaa cha kielectrinic ili kupeleka taarifa kutoka kifaa kwenda kingine. Kwa mfano unapoandika code. Kwa mfano katika visimu vya batani kama mtu akikutumia emoj haitaonyesha lakini utaona kuna viduara duara na vijialama. Hii ni kwa sababu character set inayotumika kwenye simu ya batani haiwezi kutafasiri baadhi ya character zilizotoka kwenye simu ya smart phone.

 

Hizi set zi">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 346

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Soma Zaidi...
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

Soma Zaidi...
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias

Soma Zaidi...
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake

Soma Zaidi...
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Soma Zaidi...
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.

Soma Zaidi...