Katika somo hili utakwend akujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya Kuunganisha HTML na CSS au JavaScript
Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo
Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column
Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html
Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi
Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html
Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML
Katika somo hili utajifunza sehemu muhimu katika faili la HTML kama vile tag, attribute na element
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa.
Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment
Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui
Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.
Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML
Katika somo hili utajifunza maana ya HTML na jinsi inavyofanya kazi