HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa
HATUWA ZA KUTENGENEZA WEBSITE AMA BLOG
Unapotaka kutengeneza website ama blog kuna mambo mengi unatakiwa uyawaze hata kabla ya kuanza. Blog ama website ni kitambulisho cha biashara ama kampuni ama taasisi husika. Ni kitambulisho ambacho kitawafikia watu dunia nzima, watu wa jinsia zote kwa malengo tofauti tofauti. Hivyo basi unatakiwa ufikiri kwa makini.
Haya ni mawazo unatakiwa ujiulize kabla ya kudizaidi tovuti yako:
1.Itahusu nini
2.Kina nani watakuwa wateja wako
3.Ni aina gani tovuti yako
4.Kwa nini watu watembelee tovuti yako na si nyinginezo
5.Nini wanufaika kwako ambacho kwa wengine hawatakipata.
6.Kwa nini unahitaji tovuti
7.Je ni gharama kiasi gani itahitajika
baada ya kuyapata majibu ya maswali hayo unatakiwa uwaze kabisa jinsi watu watakavyokupata kwenye hito tovuti yako. Tambuwa kuwa kuna zaidi ya tovuti bilioni tatau. Na karibia tovuti milioni 400 zipo active. Hivyo unatakiwa ufikiri vyema vipi watu watakupata.
1.Tafuta jina la tofuti yako liendane na malengo yako
2.Jina liwe fupi na lennye maana
3.Jinaliwe lenye kukaririka vyema
4.Lisiwe lipo wazi
5.Jina liwe la kipekee
6.Lugha yako iendane na watu uliowatageti
Baada ya kuwaza namna ambavyo watu watakavyokupata sasa ni wakati wa wewe kuanza kunihusisha moja kwa moja katika utengenezaji. Haijalishi uwe unatengenezewa ama unatengeneza wewe mwenyewe, kuna mambo unatakiwa uyafanye:-
1.Gharama kiasi gani nitatumia
2.Muda gani utahitajika
3.Chanzo cha maudhui ya tovuti yako.
4.Je web yako itakuwa static ama dynamic
5.Nani anatengeneza ni wewe ama unatengenezewa.
Kuna aina kuu mbili za tovutii ambzo ni static ana dynamic. Static ni ile ambayo inatumia html, css na javascript. Yaani static inakuwa haibadiliki. Dynamic ni zile ambazo taarifa zake hubadilika badilika. Yaan...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 ai web app 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutumia Face Unlock kwa Usalama
Teknolojia ya Face Unlock imekuwa sehemu muhimu katika simu nyingi za kisasa. Kipengele hiki humwezesha mtumiaji kufungua simu yake kwa kutumia uso badala ya kutumia nenosiri, mchoro wa kufungua simu au alama ya kidole. Ingawa Face Unlock hurahisisha matumizi ya simu na kuongeza kasi ya kufungua kifaa, ni muhimu kujua namna ya kuitumia kwa usalama ili kulinda taarifa binafsi. Katika dunia ya sasa ambapo simu huhifadhi taarifa nyingi kama picha, ujumbe, akaunti za mitandao ya kijamii, taarifa za benki na nyaraka muhimu, usalama wa simu ni jambo la msingi. Kutumia Face Unlock bila kuelewa mipangilio yake kunaweza kuweka taarifa zako katika hatari. Makala hii inaelezea maana ya Face Unlock, jinsi inavyofanya kazi, faida zake, changamoto zake na hatua muhimu za kuitumia kwa usalama zaidi.
Soma Zaidi...HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html
Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui
Soma Zaidi...HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML
Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho
Soma Zaidi...Jinsi ya Kujua Kama Simu Yako Ina Virusi
Simu za kisasa zimekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Tunazitumia kuwasiliana, kufanya malipo, kuhifadhi picha, kuendesha biashara, kusoma taarifa mbalimbali na hata kufanya kazi. Kwa sababu simu zetu zina taarifa nyingi muhimu, wahalifu wa mtandao hutafuta njia za kuziathiri kwa kutumia programu hatari zinazojulikana kama virusi vya simu. Virusi kwenye simu vinaweza kusababisha matatizo mbalimbali kama simu kuwa polepole, betri kuisha haraka, matangazo yasiyoeleweka kujitokeza, matumizi makubwa ya intaneti, au hata kupotea kwa taarifa zako binafsi. Kujua dalili za simu yenye virusi mapema kunaweza kukusaidia kulinda taarifa zako na kuendelea kutumia simu yako kwa usalama. Katika makala hii utaelewa maana ya virusi vya simu, dalili zinazoonyesha kuwa simu yako inaweza kuwa imeambukizwa, sababu zinazoweza kusababisha virusi kuingia kwenye simu, na hatua unazoweza kuchukua kuiondoa na kuilinda.
Soma Zaidi...HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake
Somo hili linakufundisha maana ya HTML, kwa nini inatumika, na jinsi ya kuandaa simu au kompyuta yako kwa ajili ya kuanza kutengeneza tovuti. Pia tutatengeneza ukurasa wetu wa kwanza wa HTML hatua kwa hatua.
Soma Zaidi...