HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column
KUGAWA UKURASA WA HTML
Kwa kutumia HTML unaweza kugawa ukurasa katia row. Kwa wale ambao wanatumia microsoft word hapa utaweza kunielewaa. Mfano unatye taarifa yako. Kisha ukataka kugawa doc katika sehemu tatu yaani kuli, katu na kushoto. Hiki ndio kitu ninachokizungumzia hapa. Katika kugawa huku tutatumia tag section ambayo ni <div>
Ili kufanikisha lengo letu kwa urahisi tutatumia baadhi ya element za CSS. Tutatumia class. Class itakuwa ndio attribute, div itakuwa tag na value itakuwa ni section tunazokwenda kuweka. Hapa unatakiwa pia ufanye hesabu. Kama ukurasa mzima una upana wa 100%, je nikiugawa sehemu tatu kwa upana kila kisehemu kitakuwa na upana gani? (100/3 = 33.3).
Unaweza kutumia style za nje ama ya ndani.ni vyema kutumia style ya nje ili kupunguza msongamano wa tag. Tunatumia style ili kuweza kupangilia muonekano wa sehemu zetu tutakazogawa.tunatumia class ili kuweza kubeba maudhui ya kila kisehemu, na dutatumia div iwe kama chombo cha kubebea maudhui (tag na content).
Kuweza kufgawa ukurasa fanya hivi:-
1.Tumia stayle ya nje
<style>
</style>
2.Weka alama za kutambulisha visehemu utakavyogawa ndani ya style. Anza na kuweka kidoto kabla ya kuweka hiyo alama. Kidoto ndio kitajulisha kuwa hiyo ni value kwenye attribute ya class. Mfano .left .right .middle
3.Iki kupangilia vigawany hivyo inatakiwa kimoja kiwe kulia, kingine kushoto na kingine kati. Kufanya hivi ndani ya kila kigawanyo unatakiwa ueleze kikae upande gani. Hivyo utatumia float. Hii ni kama vile tulivyoifanyia picha kwenye masomo yaliopita. Tuliona namna ya kuifanya picha ikae upande unaotaka. Mfano utafanya
<style>
.left {float: left; }
.middle {float: left; }
.right {float: right;}
</style>
Hapo utakuwa tayari umegawa ukurasa wako, kushoto, kati na kulia. Sasa ili kufanya kila sehemu ikae sawa mahala pale tunatakiwa tugawanye kihisabu, ili kila kimoja kikae mahala pake bila ya kuathiri vingine.
4.Kwa kuwa contente zote zitakaa ndani ya div section hivyo tutakwenda kuigawa div. Fanya hivi weka style ya div ndani ya tag ya style, kisha width iwe ni 33.3%. kwa maana kuwa 100% ukiigwa sehemu tatu tunapata 33.3%.
<style>
.left {float: left; }
.middle {float: left; }
.right {float: right;}
div { width: 33.3%;}
</style>
5.Baada ya hapo sasa tunakwenda kutumia style zetu kwenye section ya div.badala ya kutumia style attribute sasa tunatumia class. Na kanuni ni ileile ya kuweka alama ya = ikifuatiwa na funga semi na kuweka value kisha funga semi. Kwa sharti kuwa haya yote yafanyike kwenye tag ya kufungulia.
Mfano: <div class="left"> utaweza maudhui yako unayotaka kuweka upande wa kushoto ,kisha kati, kwa ajili ya kuweka maudhui ya kati <div class="middle"> kisha ya kulia ili kuweka maudhui ya upande wa kulia <div class="right">
<div class="left">
<h1>HEADING ONE</h1>
<p>hellow this is paragraph</p>
</div>
<div class="middle">
<h1>HEADING TWO</h1>
<p>hellow this is paragraph</p>
</div>
<div class="right">
<h1>HEADING THREE</h1>
<p>hellow this is paragraph</p>
</div>
Kwa kufanya hivi utakuwa umeweza kuugawa ukurasa wako katika pande tatu zilizo sawa. Kwa kufanya hivi kama unataka pande nyin...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kuhamisha Mawasiliano (Contacts)
Mawasiliano (Contacts) ni sehemu muhimu sana katika simu zetu kwa sababu huhifadhi majina na namba za simu za watu tunaowasiliana nao kama vile familia, marafiki, wateja na wafanyakazi wenzetu. Watu wengi hubadilisha simu mpya au hupoteza simu zao bila kujua namna ya kuhifadhi na kuhamisha mawasiliano yao. Hali hii inaweza kusababisha kupoteza namba muhimu na kuleta usumbufu mkubwa. Katika makala hii tutajifunza jinsi ya kuhamisha mawasiliano kutoka simu moja kwenda nyingine kwa njia rahisi. Tutaeleza njia mbalimbali zinazoweza kutumiwa kama vile kutumia akaunti ya Google, kuhifadhi kwenye SIM kadi, kutumia Bluetooth, programu maalum na njia nyingine salama. Maelezo haya yameandikwa kwa lugha rahisi ili hata mtu asiye na ujuzi mkubwa wa teknolojia aweze kuelewa na kufuata hatua bila shida.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutatua Tatizo la Kamera Kutofanya Kazi
Kamera ya simu au kompyuta yako imegoma kufanya kazi? Usipaniki. Tatizo hili hutokea mara kwa mara na mara nyingi halihitaji ufundi mkubwa. Makala hii inakupa suluhisho la haraka na rahisi kuanzia kusafisha lenzi, kuwasha upya vifaa, hadi kuangalia mipangilio ya ndani (permissions). Utafanya kamera yako ianze kazi tena ndani ya dakika chache bila kutumia gharama yoyote.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuweka Password Imara
Katika maisha ya kisasa, matumizi ya simu janja na intaneti yamekuwa sehemu muhimu ya shughuli zetu za kila siku. Watu hutumia akaunti za mtandaoni kwa mawasiliano, biashara, masomo, huduma za kifedha na kuhifadhi taarifa binafsi. Kila akaunti inahitaji ulinzi, na njia ya kwanza ya ulinzi ni kutumia password au nenosiri imara. Password imara husaidia kuzuia watu wasio na ruhusa kuingia kwenye akaunti zako na kutumia taarifa zako vibaya. Hata hivyo, watu wengi bado hutumia password rahisi kama majina yao, tarehe za kuzaliwa au namba zinazofuatana kama 123456. Aina hii ya password ni rahisi kugunduliwa na inaweza kuweka taarifa zako katika hatari. Makala hii inaeleza kwa lugha rahisi jinsi ya kuweka password imara, umuhimu wa kuwa na nenosiri salama, makosa ya kuepuka na njia bora za kulinda akaunti zako mtandaoni. Lengo ni kumsaidia kila mtu, hata asiye na ujuzi mkubwa wa teknolojia, kuelewa na kutumia njia rahisi za kuongeza usalama wa taarifa zake
Soma Zaidi...Jinsi ya Kurejesha Backup ya Simu
Umewahi kupoteza picha, video, majina ya watu, au mazungumzo muhimu baada ya simu kuharibika, kuibiwa, au kufanya factory reset? Hali hii huwatokea watu wengi, lakini habari njema ni kwamba unaweza kuvirejesha ikiwa uliwahi kutengeneza backup ya simu yako. Katika makala hii utajifunza backup ya simu ni nini, kwa nini ni muhimu, jinsi ya kurejesha backup kwenye simu za Android na iPhone, matatizo yanayoweza kujitokeza wakati wa kurejesha backup, pamoja na njia za kuyatatua. Mwisho wa makala hii utakuwa na uelewa wa kutosha wa jinsi ya kurudisha taarifa zako kwa usalama na kwa urahisi.
Soma Zaidi...Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.
Soma Zaidi...