picha

HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake

Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML

TAG NA MGAWANYIKO WAKE:
Tga zinawezakugawanywa katika makundi mengi. Kulingana na wavuti ya w3school  tag zimegawanyika katika makundi haya:-


1.Basic tag hizi ndio tag msngi znazotumika katika andishi kama vile <html>, <head>, <title> <body>< h1> - <h6> <p> <br> 
2.Formating hutumika kwa ajili ya kuweka mipangilio ya maandishi kwenye maandishi
3.Form and input hisi hutumika katika kutengeneza fomu za kuwejaza na kutuma taarifa
4.Frames hizi hutumika katika kutengeneza frame kwa ajili ya kuweka maudhui yaliyo nje ya faili husika
5.Images: hizi ni tag zinazotumika katika picha
6.audio au video tag hizi hutumika katika kuweka video au audio
7.Links hizi ni tag ambazo zinahusika katika kuweka viungo (links)
8.Lists tag hizi huhusika katika kuweka orodha
9.Tables hizi ni tag ambazo huhusika katika kuchora majedwali
10.Style tag hizi hutumika kuweka mbwembwe au stailikwenye maudhui
11.Meta info hutumika kuweka metadata
12.Programming hizi hutumika katika kufanya programming ndani ya html kwa kutumia lugha nyingine kama javascript

Hapo chini nitakuletea orodha ya tag zaidi ya 70.usikose somo la nne ambapo tutakwenda kujifunza namna ambavyo tag hizi zinafanya kazi. Katika somo la nne tutakwenda kupiga code kwa vitendo tuone tag hizo zinabadili vipi muonekano wa faili ;ako.

 


ORODHA YA TAG ZA HTML:
1.<dt> kuataja jina la vitu ama kitu kwenye orodha ya ufafanuzi
2.<em> kuweka msisitizo kwenye neno ama maneno
3.<html> kuanzisha faili la html katika kuandika code
4.<i> kuweka italics kwenye herufi
5.<iframe> kuweka maudhui ya kutoka nje ya faili husika
6.<img> kuweka picha
7.<ins> kuingiza maneno mengine baada ya kufuta 
8.<kbd> kuonyehs keyboard
9.<label> kuandika lebo
10.<li>, <ul> na <ol> katika kuweka orodha ya vitu
11.<link> kuweka maudhui mengine ya  yanayohusiana na faili mabayo yapo nje ya faili husika.
12.<main> huweka maudhui makuu ya document
13.<base> kuweka link msingi ya tovuti
14.<bdi> kumadili muelekeo wa maneno katika kikundi cha maneno
15.<bdo> kumadili uelekeo wa herufi
16.<blockquotes> hutumika katikakunukuu kifungu kikubwa cha maneno
17.<body> hutumika kuweka body kwene faili lako.kutamblisha kuwa maudhui ynaanzia hapo
18.<br> kwaajili ya kukata msitari maneno na kuanza kuandika msitari mwingine
19.<button> hutumika kuweka batani
20.<embed> kuweka maudhui kutoka nje ya website faili husika
21.<figure> na <figcaption> hutumika katiaka kuweka kielelezo kwenye picha
22.<footer>  na <tfooter>kuweka footer sehemu ya chini ya mwisho ya ukurasa wa wavuti
23.<form> hutumika katika kuweka fomu
24.<h1> hadi <h6> hutumika kuweka heading
...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Masomo File: Download PDF Views 1086

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Jinsi ya Kujua Kama Simu Yako Ina Virusi

Simu za kisasa zimekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Tunazitumia kuwasiliana, kufanya malipo, kuhifadhi picha, kuendesha biashara, kusoma taarifa mbalimbali na hata kufanya kazi. Kwa sababu simu zetu zina taarifa nyingi muhimu, wahalifu wa mtandao hutafuta njia za kuziathiri kwa kutumia programu hatari zinazojulikana kama virusi vya simu. Virusi kwenye simu vinaweza kusababisha matatizo mbalimbali kama simu kuwa polepole, betri kuisha haraka, matangazo yasiyoeleweka kujitokeza, matumizi makubwa ya intaneti, au hata kupotea kwa taarifa zako binafsi. Kujua dalili za simu yenye virusi mapema kunaweza kukusaidia kulinda taarifa zako na kuendelea kutumia simu yako kwa usalama. Katika makala hii utaelewa maana ya virusi vya simu, dalili zinazoonyesha kuwa simu yako inaweza kuwa imeambukizwa, sababu zinazoweza kusababisha virusi kuingia kwenye simu, na hatua unazoweza kuchukua kuiondoa na kuilinda.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kuhamisha Mawasiliano (Contacts)

Mawasiliano (Contacts) ni sehemu muhimu sana katika simu zetu kwa sababu huhifadhi majina na namba za simu za watu tunaowasiliana nao kama vile familia, marafiki, wateja na wafanyakazi wenzetu. Watu wengi hubadilisha simu mpya au hupoteza simu zao bila kujua namna ya kuhifadhi na kuhamisha mawasiliano yao. Hali hii inaweza kusababisha kupoteza namba muhimu na kuleta usumbufu mkubwa. Katika makala hii tutajifunza jinsi ya kuhamisha mawasiliano kutoka simu moja kwenda nyingine kwa njia rahisi. Tutaeleza njia mbalimbali zinazoweza kutumiwa kama vile kutumia akaunti ya Google, kuhifadhi kwenye SIM kadi, kutumia Bluetooth, programu maalum na njia nyingine salama. Maelezo haya yameandikwa kwa lugha rahisi ili hata mtu asiye na ujuzi mkubwa wa teknolojia aweze kuelewa na kufuata hatua bila shida.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kurejesha Backup ya Simu

Umewahi kupoteza picha, video, majina ya watu, au mazungumzo muhimu baada ya simu kuharibika, kuibiwa, au kufanya factory reset? Hali hii huwatokea watu wengi, lakini habari njema ni kwamba unaweza kuvirejesha ikiwa uliwahi kutengeneza backup ya simu yako. Katika makala hii utajifunza backup ya simu ni nini, kwa nini ni muhimu, jinsi ya kurejesha backup kwenye simu za Android na iPhone, matatizo yanayoweza kujitokeza wakati wa kurejesha backup, pamoja na njia za kuyatatua. Mwisho wa makala hii utakuwa na uelewa wa kutosha wa jinsi ya kurudisha taarifa zako kwa usalama na kwa urahisi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kuweka Password Imara

Katika maisha ya kisasa, matumizi ya simu janja na intaneti yamekuwa sehemu muhimu ya shughuli zetu za kila siku. Watu hutumia akaunti za mtandaoni kwa mawasiliano, biashara, masomo, huduma za kifedha na kuhifadhi taarifa binafsi. Kila akaunti inahitaji ulinzi, na njia ya kwanza ya ulinzi ni kutumia password au nenosiri imara. Password imara husaidia kuzuia watu wasio na ruhusa kuingia kwenye akaunti zako na kutumia taarifa zako vibaya. Hata hivyo, watu wengi bado hutumia password rahisi kama majina yao, tarehe za kuzaliwa au namba zinazofuatana kama 123456. Aina hii ya password ni rahisi kugunduliwa na inaweza kuweka taarifa zako katika hatari. Makala hii inaeleza kwa lugha rahisi jinsi ya kuweka password imara, umuhimu wa kuwa na nenosiri salama, makosa ya kuepuka na njia bora za kulinda akaunti zako mtandaoni. Lengo ni kumsaidia kila mtu, hata asiye na ujuzi mkubwa wa teknolojia, kuelewa na kutumia njia rahisi za kuongeza usalama wa taarifa zake

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kufuta Data za Simu Ukiwa Mbali

Kupoteza simu au kuibiwa kwa simu ni jambo linaloweza kumpata mtu yeyote. Simu zetu siku hizi hazitumiki tu kupiga simu na kutuma ujumbe, bali pia huhifadhi taarifa nyingi muhimu kama picha, video, namba za simu, akaunti za mitandao ya kijamii, taarifa za benki, barua pepe na nyaraka binafsi. Ikiwa simu itaangukia mikononi mwa mtu asiye mwaminifu, taarifa hizo zinaweza kutumiwa vibaya. Njia moja ya kujilinda ni kujifunza jinsi ya kufuta data za simu ukiwa mbali. Hii ina maana kwamba unaweza kuondoa taarifa zote zilizomo kwenye simu yako hata kama simu hiyo haipo karibu nawe. Njia hii husaidia kulinda faragha yako na kuzuia watu wengine kuona au kutumia taarifa zako binafsi. Katika makala hii tutajifunza maana ya kufuta data za simu ukiwa mbali, sababu za kufanya hivyo, hatua za kufuata, mambo muhimu ya kuzingatia kabla ya kufuta taarifa, pamoja na ukweli muhimu kuhusu usalama wa simu

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kuunganisha Simu na Wi-Fi

Wi-Fi ni njia rahisi inayowezesha simu kuunganishwa na intaneti bila kutumia bando la kawaida la simu. Kwa kutumia Wi-Fi, mtu anaweza kutumia intaneti kwa gharama ndogo au wakati mwingine bila gharama yoyote, hasa anapokuwa sehemu yenye mtandao wa Wi-Fi kama nyumbani, kazini, shuleni, hotelini au sehemu nyingine za umma. Kuunganisha simu na Wi-Fi ni jambo rahisi ambalo mtu yeyote anaweza kufanya hata kama hajawahi kutumia teknolojia sana. Unachohitaji ni simu yenye uwezo wa kutumia Wi-Fi, jina la mtandao wa Wi-Fi, na nenosiri kama mtandao huo umefungwa. Makala hii inaelezea hatua kwa hatua jinsi ya kuunganisha simu na Wi-Fi, mambo ya kuzingatia wakati wa kutumia Wi-Fi, sababu zinazoweza kufanya simu ishindwe kuunganishwa, pamoja na faida za kutumia mtandao wa Wi-Fi.

Soma Zaidi...