Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML
TAG NA MGAWANYIKO WAKE:
Tga zinawezakugawanywa katika makundi mengi. Kulingana na wavuti ya w3school tag zimegawanyika katika makundi haya:-
1.Basic tag hizi ndio tag msngi znazotumika katika andishi kama vile <html>, <head>, <title> <body>< h1> - <h6> <p> <br>
2.Formating hutumika kwa ajili ya kuweka mipangilio ya maandishi kwenye maandishi
3.Form and input hisi hutumika katika kutengeneza fomu za kuwejaza na kutuma taarifa
4.Frames hizi hutumika katika kutengeneza frame kwa ajili ya kuweka maudhui yaliyo nje ya faili husika
5.Images: hizi ni tag zinazotumika katika picha
6.audio au video tag hizi hutumika katika kuweka video au audio
7.Links hizi ni tag ambazo zinahusika katika kuweka viungo (links)
8.Lists tag hizi huhusika katika kuweka orodha
9.Tables hizi ni tag ambazo huhusika katika kuchora majedwali
10.Style tag hizi hutumika kuweka mbwembwe au stailikwenye maudhui
11.Meta info hutumika kuweka metadata
12.Programming hizi hutumika katika kufanya programming ndani ya html kwa kutumia lugha nyingine kama javascript
Hapo chini nitakuletea orodha ya tag zaidi ya 70.usikose somo la nne ambapo tutakwenda kujifunza namna ambavyo tag hizi zinafanya kazi. Katika somo la nne tutakwenda kupiga code kwa vitendo tuone tag hizo zinabadili vipi muonekano wa faili ;ako.
ORODHA YA TAG ZA HTML:
1.<dt> kuataja jina la vitu ama kitu kwenye orodha ya ufafanuzi
2.<em> kuweka msisitizo kwenye neno ama maneno
3.<html> kuanzisha faili la html katika kuandika code
4.<i> kuweka italics kwenye herufi
5.<iframe> kuweka maudhui ya kutoka nje ya faili husika
6.<img> kuweka picha
7.<ins> kuingiza maneno mengine baada ya kufuta
8.<kbd> kuonyehs keyboard
9.<label> kuandika lebo
10.<li>, <ul> na <ol> katika kuweka orodha ya vitu
11.<link> kuweka maudhui mengine ya yanayohusiana na faili mabayo yapo nje ya faili husika.
12.<main> huweka maudhui makuu ya document
13.<base> kuweka link msingi ya tovuti
14.<bdi> kumadili muelekeo wa maneno katika kikundi cha maneno
15.<bdo> kumadili uelekeo wa herufi
16.<blockquotes> hutumika katikakunukuu kifungu kikubwa cha maneno
17.<body> hutumika kuweka body kwene faili lako.kutamblisha kuwa maudhui ynaanzia hapo
18.<br> kwaajili ya kukata msitari maneno na kuanza kuandika msitari mwingine
19.<button> hutumika kuweka batani
20.<embed> kuweka maudhui kutoka nje ya website faili husika
21.<figure> na <figcaption> hutumika katiaka kuweka kielelezo kwenye picha
22.<footer> na <tfooter>kuweka footer sehemu ya chini ya mwisho ya ukurasa wa wavuti
23.<form> hutumika katika kuwek">...
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Masomo File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 311
Sponsored links
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Kitau cha Fiqh
HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo Soma Zaidi...
HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html Soma Zaidi...
HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.
Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML Soma Zaidi...
HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML
Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho Soma Zaidi...
HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML
Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML Soma Zaidi...
HTML - somo la 7: Vitu vya kuzingatia unapoandika HTML
Katika somo hili utajifunza sehemu muhimu katika faili la HTML kama vile tag, attribute na element Soma Zaidi...
HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa Soma Zaidi...
HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi Soma Zaidi...
HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake
Katika somo hili utajifunza maana ya HTML na jinsi inavyofanya kazi Soma Zaidi...
HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website
Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment Soma Zaidi...