picha

HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake

Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML

TAG NA MGAWANYIKO WAKE:
Tga zinawezakugawanywa katika makundi mengi. Kulingana na wavuti ya w3school  tag zimegawanyika katika makundi haya:-


1.Basic tag hizi ndio tag msngi znazotumika katika andishi kama vile <html>, <head>, <title> <body>< h1> - <h6> <p> <br> 
2.Formating hutumika kwa ajili ya kuweka mipangilio ya maandishi kwenye maandishi
3.Form and input hisi hutumika katika kutengeneza fomu za kuwejaza na kutuma taarifa
4.Frames hizi hutumika katika kutengeneza frame kwa ajili ya kuweka maudhui yaliyo nje ya faili husika
5.Images: hizi ni tag zinazotumika katika picha
6.audio au video tag hizi hutumika katika kuweka video au audio
7.Links hizi ni tag ambazo zinahusika katika kuweka viungo (links)
8.Lists tag hizi huhusika katika kuweka orodha
9.Tables hizi ni tag ambazo huhusika katika kuchora majedwali
10.Style tag hizi hutumika kuweka mbwembwe au stailikwenye maudhui
11.Meta info hutumika kuweka metadata
12.Programming hizi hutumika katika kufanya programming ndani ya html kwa kutumia lugha nyingine kama javascript

Hapo chini nitakuletea orodha ya tag zaidi ya 70.usikose somo la nne ambapo tutakwenda kujifunza namna ambavyo tag hizi zinafanya kazi. Katika somo la nne tutakwenda kupiga code kwa vitendo tuone tag hizo zinabadili vipi muonekano wa faili ;ako.

 


ORODHA YA TAG ZA HTML:
1.<dt> kuataja jina la vitu ama kitu kwenye orodha ya ufafanuzi
2.<em> kuweka msisitizo kwenye neno ama maneno
3.<html> kuanzisha faili la html katika kuandika code
4.<i> kuweka italics kwenye herufi
5.<iframe> kuweka maudhui ya kutoka nje ya faili husika
6.<img> kuweka picha
7.<ins> kuingiza maneno mengine baada ya kufuta 
8.<kbd> kuonyehs keyboard
9.<label> kuandika lebo
10.<li>, <ul> na <ol> katika kuweka orodha ya vitu
11.<link> kuweka maudhui mengine ya  yanayohusiana na faili mabayo yapo nje ya faili husika.
12.<main> huweka maudhui makuu ya document
13.<base> kuweka link msingi ya tovuti
14.<bdi> kumadili muelekeo wa maneno katika kikundi cha maneno
15.<bdo> kumadili uelekeo wa herufi
16.<blockquotes> hutumika katikakunukuu kifungu kikubwa cha maneno
17.<body> hutumika kuweka body kwene faili lako.kutamblisha kuwa maudhui ynaanzia hapo
18.<br> kwaajili ya kukata msitari maneno na kuanza kuandika msitari mwingine
19.<button> hutumika kuweka batani
20.<embed> kuweka maudhui kutoka nje ya website faili husika
21.<figure> na <figcaption> hutumika katiaka kuweka kielelezo kwenye picha
22.<footer>  na <tfooter>kuweka footer sehemu ya chini ya mwisho ya ukurasa wa wavuti
23.<form> hutumika katika kuweka fomu
24.<h1> hadi <h6> hutumika kuweka heading
...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Masomo File: Download PDF Views 983

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 ai web app     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

Somo hili linakufundisha maana ya HTML, kwa nini inatumika, na jinsi ya kuandaa simu au kompyuta yako kwa ajili ya kuanza kutengeneza tovuti. Pia tutatengeneza ukurasa wetu wa kwanza wa HTML hatua kwa hatua.

Soma Zaidi...
Njia za kupambana na saratani

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na saratani

Soma Zaidi...
HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.

Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML

Soma Zaidi...
HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi

Soma Zaidi...
HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui

Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html

Soma Zaidi...