Menu



HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake

Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML

TAG NA MGAWANYIKO WAKE:
Tga zinawezakugawanywa katika makundi mengi. Kulingana na wavuti ya w3school  tag zimegawanyika katika makundi haya:-


1.Basic tag hizi ndio tag msngi znazotumika katika andishi kama vile <html>, <head>, <title> <body>< h1> - <h6> <p> <br> 
2.Formating hutumika kwa ajili ya kuweka mipangilio ya maandishi kwenye maandishi
3.Form and input hisi hutumika katika kutengeneza fomu za kuwejaza na kutuma taarifa
4.Frames hizi hutumika katika kutengeneza frame kwa ajili ya kuweka maudhui yaliyo nje ya faili husika
5.Images: hizi ni tag zinazotumika katika picha
6.audio au video tag hizi hutumika katika kuweka video au audio
7.Links hizi ni tag ambazo zinahusika katika kuweka viungo (links)
8.Lists tag hizi huhusika katika kuweka orodha
9.Tables hizi ni tag ambazo huhusika katika kuchora majedwali
10.Style tag hizi hutumika kuweka mbwembwe au stailikwenye maudhui
11.Meta info hutumika kuweka metadata
12.Programming hizi hutumika katika kufanya programming ndani ya html kwa kutumia lugha nyingine kama javascript

Hapo chini nitakuletea orodha ya tag zaidi ya 70.usikose somo la nne ambapo tutakwenda kujifunza namna ambavyo tag hizi zinafanya kazi. Katika somo la nne tutakwenda kupiga code kwa vitendo tuone tag hizo zinabadili vipi muonekano wa faili ;ako.

 


ORODHA YA TAG ZA HTML:
1.<dt> kuataja jina la vitu ama kitu kwenye orodha ya ufafanuzi
2.<em> kuweka msisitizo kwenye neno ama maneno
3.<html> kuanzisha faili la html katika kuandika code
4.<i> kuweka italics kwenye herufi
5.<iframe> kuweka maudhui ya kutoka nje ya faili husika
6.<img> kuweka picha
7.<ins> kuingiza maneno mengine baada ya kufuta 
8.<kbd> kuonyehs keyboard
9.<label> kuandika lebo
10.<li>, <ul> na <ol> katika kuweka orodha ya vitu
11.<link> kuweka maudhui mengine ya  yanayohusiana na faili mabayo yapo nje ya faili husika.
12.<main> huweka maudhui makuu ya document
13.<base> kuweka link msingi ya tovuti
14.<bdi> kumadili muelekeo wa maneno katika kikundi cha maneno
15.<bdo> kumadili uelekeo wa herufi
16.<blockquotes> hutumika katikakunukuu kifungu kikubwa cha maneno
17.<body> hutumika kuweka body kwene faili lako.kutamblisha kuwa maudhui ynaanzia hapo
18.<br> kwaajili ya kukata msitari maneno na kuanza kuandika msitari mwingine
19.<button> hutumika kuweka batani
20.<embed> kuweka maudhui kutoka nje ya website faili husika
21.<figure> na <figcaption> hutumika katiaka kuweka kielelezo kwenye picha
22.<footer>  na <tfooter>kuweka footer sehemu ya chini ya mwisho ya ukurasa wa wavuti
23.<form> hutumika katika kuwek">...

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Masomo File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 322


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML
Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho Soma Zaidi...

HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website
Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment Soma Zaidi...

HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi
Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi. Soma Zaidi...

HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake
Katika somo hili utajifunza maana ya HTML na jinsi inavyofanya kazi Soma Zaidi...

HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui
Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html Soma Zaidi...

HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html
Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui Soma Zaidi...

HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column Soma Zaidi...

haloo word
all haloo Soma Zaidi...

HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html Soma Zaidi...

HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML
Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML Soma Zaidi...