HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake
Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML
TAG NA MGAWANYIKO WAKE:
Tga zinawezakugawanywa katika makundi mengi. Kulingana na wavuti ya w3school tag zimegawanyika katika makundi haya:-
1.Basic tag hizi ndio tag msngi znazotumika katika andishi kama vile <html>, <head>, <title> <body>< h1> - <h6> <p> <br>
2.Formating hutumika kwa ajili ya kuweka mipangilio ya maandishi kwenye maandishi
3.Form and input hisi hutumika katika kutengeneza fomu za kuwejaza na kutuma taarifa
4.Frames hizi hutumika katika kutengeneza frame kwa ajili ya kuweka maudhui yaliyo nje ya faili husika
5.Images: hizi ni tag zinazotumika katika picha
6.audio au video tag hizi hutumika katika kuweka video au audio
7.Links hizi ni tag ambazo zinahusika katika kuweka viungo (links)
8.Lists tag hizi huhusika katika kuweka orodha
9.Tables hizi ni tag ambazo huhusika katika kuchora majedwali
10.Style tag hizi hutumika kuweka mbwembwe au stailikwenye maudhui
11.Meta info hutumika kuweka metadata
12.Programming hizi hutumika katika kufanya programming ndani ya html kwa kutumia lugha nyingine kama javascript
Hapo chini nitakuletea orodha ya tag zaidi ya 70.usikose somo la nne ambapo tutakwenda kujifunza namna ambavyo tag hizi zinafanya kazi. Katika somo la nne tutakwenda kupiga code kwa vitendo tuone tag hizo zinabadili vipi muonekano wa faili ;ako.
ORODHA YA TAG ZA HTML:
1.<dt> kuataja jina la vitu ama kitu kwenye orodha ya ufafanuzi
2.<em> kuweka msisitizo kwenye neno ama maneno
3.<html> kuanzisha faili la html katika kuandika code
4.<i> kuweka italics kwenye herufi
5.<iframe> kuweka maudhui ya kutoka nje ya faili husika
6.<img> kuweka picha
7.<ins> kuingiza maneno mengine baada ya kufuta
8.<kbd> kuonyehs keyboard
9.<label> kuandika lebo
10.<li>, <ul> na <ol> katika kuweka orodha ya vitu
11.<link> kuweka maudhui mengine ya yanayohusiana na faili mabayo yapo nje ya faili husika.
12.<main> huweka maudhui makuu ya document
13.<base> kuweka link msingi ya tovuti
14.<bdi> kumadili muelekeo wa maneno katika kikundi cha maneno
15.<bdo> kumadili uelekeo wa herufi
16.<blockquotes> hutumika katikakunukuu kifungu kikubwa cha maneno
17.<body> hutumika kuweka body kwene faili lako.kutamblisha kuwa maudhui ynaanzia hapo
18.<br> kwaajili ya kukata msitari maneno na kuanza kuandika msitari mwingine
19.<button> hutumika kuweka batani
20.<embed> kuweka maudhui kutoka nje ya website faili husika
21.<figure> na <figcaption> hutumika katiaka kuweka kielelezo kwenye picha
22.<footer> na <tfooter>kuweka footer sehemu ya chini ya mwisho ya ukurasa wa wavuti
23.<form> hutumika katika kuweka fomu
24.<h1> hadi <h6> hutumika kuweka heading
...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kufanya Backup ya Simu
Simu ya mkononi imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha yetu ya kila siku. Tunatumia simu kuhifadhi namba za watu tunaowajua, picha za familia, video muhimu, ujumbe, nyaraka, programu na taarifa nyingine nyingi. Lakini tatizo linaweza kutokea wakati wowote. Simu inaweza kupotea, kuharibika, kuibiwa au kufutika taarifa zake kwa bahati mbaya. Hapo ndipo umuhimu wa kufanya backup ya simu unapokuwa mkubwa. Backup ya simu ni njia ya kutengeneza nakala ya taarifa zako muhimu na kuzihifadhi sehemu salama ili uweze kuzirudisha pale unapohitaji. Kwa kufanya backup mara kwa mara, unapunguza hatari ya kupoteza vitu muhimu vilivyokuwa kwenye simu yako. Katika makala hii tutajifunza maana ya backup ya simu, umuhimu wake, njia mbalimbali za kufanya backup kwenye simu za Android na iPhone, vitu vinavyoweza kuhifadhiwa, makosa ya kuepuka na hatua rahisi ambazo kila mtu anaweza kufuata hata kama hana ujuzi mkubwa wa teknolojia.
Soma Zaidi...Je, Kuchaji Simu Usiku Kucha Ni Salama?
Je, ni salama kuacha simu kwenye chaji usiku kucha unapolala? Watu wengi wanaamini kuwa tabia hii inalipua simu au kuharibu betri kabisa. Katika makala hii, utajifunza ukweli wa kisayansi kuhusu simu za kisasa, jinsi mifumo ya usalama inavyofanya kazi, na mbinu rahisi za kurefusha maisha ya betri yako bila hofu. Soma ujue jinsi ya kulinda simu yako leo!
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutatua Tatizo la SMS Kutotumwa
Kushindwa kutuma ujumbe wa kawaida wa maandishi (SMS) ni tatizo linalowakera watu wengi kila siku. Makala hii inakueleza kwa lugha rahisi kabisa sababu zinazosababisha ujumbe wako usiende na inakupa hatua 8 rahisi za kurekebisha tatizo hili mwenyewe. Utafiti unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya matatizo haya yanatokana na mambo madogo kama kukosa salio, mtandao dhaifu, au namba za vituo vya ujumbe (SMSC) kukosewa kwenye simu yako. Kusoma mwongozo huu kutakusaidia kuokoa muda na pesa bila kulazimika kwenda kwa fundi.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kujua Kama Wi-Fi Ni Salama
Wi-Fi imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Tunaitumia kuingia kwenye mitandao ya kijamii, kutuma ujumbe, kufanya biashara mtandaoni, kusoma, kutazama video na hata kufanya malipo. Lakini pamoja na faida zake nyingi, Wi-Fi inaweza kuwa hatari ikiwa haijalindwa vizuri. Mtandao wa Wi-Fi usio salama unaweza kuruhusu watu wasiohusika kuona taarifa zako binafsi, kuiba nywila zako au kutumia intaneti yako bila ruhusa. Kujua kama Wi-Fi ni salama ni jambo muhimu kwa kila mtu anayemiliki simu, kompyuta au kifaa kingine kinachounganishwa na intaneti. Makala hii inaeleza kwa lugha rahisi jinsi ya kutambua Wi-Fi salama, dalili za Wi-Fi hatari, hatua za kulinda mtandao wako na mambo muhimu ya kuzingatia ili kutumia intaneti kwa usalama
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuunganisha Simu na Wi-Fi
Wi-Fi ni njia rahisi inayowezesha simu kuunganishwa na intaneti bila kutumia bando la kawaida la simu. Kwa kutumia Wi-Fi, mtu anaweza kutumia intaneti kwa gharama ndogo au wakati mwingine bila gharama yoyote, hasa anapokuwa sehemu yenye mtandao wa Wi-Fi kama nyumbani, kazini, shuleni, hotelini au sehemu nyingine za umma. Kuunganisha simu na Wi-Fi ni jambo rahisi ambalo mtu yeyote anaweza kufanya hata kama hajawahi kutumia teknolojia sana. Unachohitaji ni simu yenye uwezo wa kutumia Wi-Fi, jina la mtandao wa Wi-Fi, na nenosiri kama mtandao huo umefungwa. Makala hii inaelezea hatua kwa hatua jinsi ya kuunganisha simu na Wi-Fi, mambo ya kuzingatia wakati wa kutumia Wi-Fi, sababu zinazoweza kufanya simu ishindwe kuunganishwa, pamoja na faida za kutumia mtandao wa Wi-Fi.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuhamisha Data Kati ya Simu Mbili
Kubadilisha simu mpya ni jambo la kufurahisha, lakini watu wengi hupata changamoto wanapofikiria jinsi ya kuhamisha taarifa zao kutoka simu ya zamani kwenda simu mpya. Data muhimu kama picha, video, namba za simu, ujumbe, nyaraka, programu na mipangilio inaweza kuonekana kuwa ngumu kuhamisha, hasa kwa mtu ambaye hajawahi kufanya zoezi hilo. Habari njema ni kwamba leo kuna njia rahisi na salama za kuhamisha data kati ya simu mbili bila kupoteza taarifa muhimu. Unaweza kutumia intaneti, huduma za kuhifadhi taarifa mtandaoni, kebo maalumu, Bluetooth au programu zinazosaidia kufanya uhamishaji huo kwa haraka. Makala hii inaelezea hatua kwa hatua jinsi ya kuhamisha data kati ya simu mbili kwa njia rahisi ambayo kila mtu anaweza kuelewa, hata kama hana elimu kubwa ya teknolojia.
Soma Zaidi...