HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui
Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html
UFAFANUZI WA TAG ZILIZOTAJWA KATIKA SOMO LA TATU.
Katika somo lililotangulia tumejifunza code tag mbalimbali, sasa katika somo hili tunakwenda kuzifanyia kazitag hizo. Kuna nyingine hatutazigusa katika somo hili. Hivyo taga nyinginezo ambazo hazitatumika katika somo hili tutaziona katika masomo yajayo.
Kwa wale wa simu Endelea kutumia App ya TrebEdit na kwa wale wa kompyuta tumia text Editor ulio nayo kama notepad, notepad plus, sublimetext na nyinginezo. Katika video hapo nimetumia text Editor ya phpstorm ili kuokoa muda zaidi.
Endelea kuzifanyia mazoezi tag hizi. Somo linalofata tutaanglia attributes na namna zinavyoweza kufanya kazi katika uandishi na utengenezaji wa website.
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<title>Kicha cha faili</title>
</head>
<body> <!-- <body> inaanza hapa -->
<!-- BASIC TAG ------>
<h1>Heading 1</h1>
<h2>heading 2</h2>
<h3>heading 3</h3>
<h4>heading 4</h4>
<h5>heading5</h5>
<h6>heading 6</h6>
<p>paragraph ya kwanza ya maudhui yako
<br>hapa nimekata msitari<br>nimeanza mpya
<br><br><br>Nimeruka nafasi 3
</p>
<hr>nimepiga msitari,<hr>
<BR><BR><BR>
<!-- FORMATIN TAG --->
<abbr title="TAasisis ya Kupambana na Kuzuia Rushwa"> TAKUKURU </abbr>
<BR><BR><BR>
<!-- ANUANI-->
<address>
IT MANAGER<BR>
BONGOCLASS.COM<BR>
P.O.BOX 30<br>
PANGANI
</address>
<BR><BR><BR>
<!-- BOLD -->
fano wa ku<B>bold</B>maandishi
<BR><BR><BR>
<!-- badili mwelekeo wa maandishi -->
<p>www.bongoclass.com</p>
<bdo dir="rtl">www.bongoclass.com</bdo>
<BR><BR><BR>
<!-- kunukuu kifungu cha habari -->
<p>Mwalimu Nyerere alisema</p>
<blockquote>
Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies
and gentlemen. I have told you already how I felt when you asked me to come and talk here. And
then I got the message that you were coming.
</blockquote>
<!-- kunukuu kifungu kidogo -->
Mwalimu alisema <q>Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies
and gentlemen.</q>
<BR><BR><BR>
<!-- maandishi yaliyokatwa -->
<p>maandih haya <del>yamekatwa</del> pia haya nayo <s>yamekatwa</s> na haya <ins>yameingizwa</ins>
na haya <u>yapo underline, yamepigiwa msitari</u> na haya <mark>yamechaguliwa (highlite)</mark>
na haya <strong>yamekolezwa</strong>na haya <em>yamewekewa msisitizo</em> na haya yamefanyiwa <i>italics</i>
na haya ni <small>madogo</small> yaani small</p>
<BR><BR><BR>
<!-- progress -->
<progress>32</progress><br>
<label>Inapakuwa</label>
<progress id="file" value="70" max="100">90%</progress>
<BR><BR><BR>
<!-- kutoa muonekano kama unaouona kwenye code-->
<pre>
sungura afahamika ujanja kajijazia
wenzake ana w...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 web hosting 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML
Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho
Soma Zaidi...HTML somo la 17: Jinsi ya kuunganisha HTML na CSS au JavaScript
Katika somo hili utakwend akujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya Kuunganisha HTML na CSS au JavaScript
Soma Zaidi...HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column
Soma Zaidi...HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi
Soma Zaidi...HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML
Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML
Soma Zaidi...