picha

HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui

Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html

UFAFANUZI WA TAG ZILIZOTAJWA KATIKA SOMO LA TATU.

Katika somo lililotangulia tumejifunza code tag mbalimbali, sasa katika somo hili tunakwenda kuzifanyia kazitag hizo. Kuna nyingine hatutazigusa katika somo hili. Hivyo taga nyinginezo ambazo hazitatumika katika somo hili tutaziona katika masomo yajayo.

 

 

Kwa wale wa simu Endelea kutumia App ya TrebEdit na kwa wale wa kompyuta tumia text Editor ulio nayo kama notepad, notepad plus, sublimetext na nyinginezo. Katika video hapo nimetumia text Editor ya phpstorm ili kuokoa muda zaidi.

 

Endelea kuzifanyia mazoezi tag hizi. Somo linalofata tutaanglia attributes na namna zinavyoweza kufanya kazi katika uandishi na utengenezaji wa website.

 

 

 

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

    <title>Kicha cha faili</title>

 

</head>

<body> <!-- <body> inaanza hapa -->

<!--     BASIC TAG  ------>

<h1>Heading 1</h1>

<h2>heading 2</h2>

<h3>heading 3</h3>

<h4>heading 4</h4>

<h5>heading5</h5>

<h6>heading 6</h6>

<p>paragraph ya kwanza ya maudhui yako

<br>hapa nimekata msitari<br>nimeanza mpya

    <br><br><br>Nimeruka nafasi 3

 

</p>

<hr>nimepiga msitari,<hr>

 

<BR><BR><BR>

<!-- FORMATIN TAG --->

<abbr title="TAasisis ya Kupambana na Kuzuia Rushwa"> TAKUKURU </abbr>

<BR><BR><BR>

<!-- ANUANI-->

<address>

IT MANAGER<BR>

    BONGOCLASS.COM<BR>

    P.O.BOX 30<br>

    PANGANI

</address>

 

<BR><BR><BR>

<!-- BOLD -->

fano wa ku<B>bold</B>maandishi

 

<BR><BR><BR>

<!-- badili mwelekeo wa maandishi -->

<p>www.bongoclass.com</p>

<bdo dir="rtl">www.bongoclass.com</bdo>

 

<BR><BR><BR>

<!-- kunukuu kifungu cha habari -->

<p>Mwalimu Nyerere alisema</p>

<blockquote>

    Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies

    and gentlemen. I have told you already how I felt when you asked me to come and talk here. And

    then I got the message that you were coming.

</blockquote>

 

<!-- kunukuu kifungu kidogo -->

Mwalimu alisema <q>Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies

    and gentlemen.</q>

<BR><BR><BR>

<!-- maandishi yaliyokatwa -->

<p>maandih haya <del>yamekatwa</del> pia haya nayo <s>yamekatwa</s> na haya <ins>yameingizwa</ins>

na haya <u>yapo underline, yamepigiwa msitari</u> na haya <mark>yamechaguliwa (highlite)</mark>

na haya <strong>yamekolezwa</strong>na haya <em>yamewekewa msisitizo</em> na haya yamefanyiwa <i>italics</i>

na haya ni <small>madogo</small> yaani small</p>

 

 

<BR><BR><BR>

<!-- progress -->

<progress>32</progress><br>

<label>Inapakuwa</label>

<progress id="file" value="70" max="100">90%</progress>

 

<BR><BR><BR>

<!-- kutoa muonekano kama unaouona kwenye code-->

<pre>

    sungura afahamika    ujanja kajijazia

    wenzake ana w...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Masomo File: Download PDF Views 1038

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake

Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML

Soma Zaidi...
HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML

Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML

Soma Zaidi...
HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi

Soma Zaidi...
HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa.

Soma Zaidi...
HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

Soma Zaidi...