HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui

Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html

UFAFANUZI WA TAG ZILIZOTAJWA KATIKA SOMO LA TATU.

Katika somo lililotangulia tumejifunza code tag mbalimbali, sasa katika somo hili tunakwenda kuzifanyia kazitag hizo. Kuna nyingine hatutazigusa katika somo hili. Hivyo taga nyinginezo ambazo hazitatumika katika somo hili tutaziona katika masomo yajayo.

 

 

Kwa wale wa simu Endelea kutumia App ya TrebEdit na kwa wale wa kompyuta tumia text Editor ulio nayo kama notepad, notepad plus, sublimetext na nyinginezo. Katika video hapo nimetumia text Editor ya phpstorm ili kuokoa muda zaidi.

 

Endelea kuzifanyia mazoezi tag hizi. Somo linalofata tutaanglia attributes na namna zinavyoweza kufanya kazi katika uandishi na utengenezaji wa website.

 

 

 

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

    <title>Kicha cha faili</title>

 

</head>

<body> <!-- <body> inaanza hapa -->

<!--     BASIC TAG  ------>

<h1>Heading 1</h1>

<h2>heading 2</h2>

<h3>heading 3</h3>

<h4>heading 4</h4>

<h5>heading5</h5>

<h6>heading 6</h6>

<p>paragraph ya kwanza ya maudhui yako

<br>hapa nimekata msitari<br>nimeanza mpya

    <br><br><br>Nimeruka nafasi 3

 

</p>

<hr>nimepiga msitari,<hr>

 

<BR><BR><BR>

<!-- FORMATIN TAG --->

<abbr title="TAasisis ya Kupambana na Kuzuia Rushwa"> TAKUKURU </abbr>

<BR><BR><BR>

<!-- ANUANI-->

<address>

IT MANAGER<BR>

    BONGOCLASS.COM<BR>

    P.O.BOX 30<br>

    PANGANI

</address>

 

<BR><BR><BR>

<!-- BOLD -->

fano wa ku<B>bold</B>maandishi

 

<BR><BR><BR>

<!-- badili mwelekeo wa maandishi -->

<p>www.bongoclass.com</p>

<bdo dir="rtl">www.bongoclass.com</bdo>

 

<BR><BR><BR>

<!-- kunukuu kifungu cha habari -->

<p>Mwalimu Nyerere alisema</p>

<blockquote>

    Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies

    and gentlemen. I have told you already how I felt when you asked me to come and talk here. And

    then I got the message that you were coming.

</blockquote>

 

<!-- kunukuu kifungu kidogo -->

Mwalimu alisema <q>Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies

    and gentlemen.</q>

<BR><BR><BR>

<!-- maandishi yaliyokatwa -->

<p>maandih haya <del>yamekatwa</del> pia haya nayo <s>yamekatwa</s> na haya <ins>yameingizwa</ins>

na haya <u>yapo underline, yamepigiwa msitari</u> na haya <mark>yamechaguliwa (highlite)</mark>

na haya <strong>yamekolezwa</strong>na haya <em>yamewekewa msisitizo</em> na haya yamefanyiwa <i>italics</i>

na haya ni <small>madogo</small> yaani small</p>

 

 

<BR><BR><BR>

<!-- progress -->

<progress>32</progress><br>

<label>Inapakuwa</label>

<progress id="file" value="70" max="100">90%</progress>

 

<BR><BR><BR>

<!-- kutoa muonekano kama unaouona kwenye code-->

<pre>...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: HTML Main: ICT File: Download PDF Views 453

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

Soma Zaidi...
HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi

Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML

Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.

Soma Zaidi...
HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML

Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML

Soma Zaidi...
HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi

Soma Zaidi...
HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html

Soma Zaidi...
HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html

Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui

Soma Zaidi...
HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML

Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho

Soma Zaidi...
HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo

Soma Zaidi...