image

HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui

Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html

UFAFANUZI WA TAG ZILIZOTAJWA KATIKA SOMO LA TATU.

Katika somo lililotangulia tumejifunza code tag mbalimbali, sasa katika somo hili tunakwenda kuzifanyia kazitag hizo. Kuna nyingine hatutazigusa katika somo hili. Hivyo taga nyinginezo ambazo hazitatumika katika somo hili tutaziona katika masomo yajayo.

 

 

Kwa wale wa simu Endelea kutumia App ya TrebEdit na kwa wale wa kompyuta tumia text Editor ulio nayo kama notepad, notepad plus, sublimetext na nyinginezo. Katika video hapo nimetumia text Editor ya phpstorm ili kuokoa muda zaidi.

 

Endelea kuzifanyia mazoezi tag hizi. Somo linalofata tutaanglia attributes na namna zinavyoweza kufanya kazi katika uandishi na utengenezaji wa website.

 

 

 

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

    <title>Kicha cha faili</title>

 

</head>

<body> <!-- <body> inaanza hapa -->

<!--     BASIC TAG  ------>

<h1>Heading 1</h1>

<h2>heading 2</h2>

<h3>heading 3</h3>

<h4>heading 4</h4>

<h5>heading5</h5>

<h6>heading 6</h6>

<p>paragraph ya kwanza ya maudhui yako

<br>hapa nimekata msitari<br>nimeanza mpya

    <br><br><br>Nimeruka nafasi 3

 

</p>

<hr>nimepiga msitari,<hr>

 

<BR><BR><BR>

<!-- FORMATIN TAG --->

<abbr title="TAasisis ya Kupambana na Kuzuia Rushwa"> TAKUKURU </abbr>

<BR><BR><BR>

<!-- ANUANI-->

<address>

IT MANAGER<BR>

    BONGOCLASS.COM<BR>

    P.O.BOX 30<br>

    PANGANI

</address>

 

<BR><BR><BR>

<!-- BOLD -->

fano wa ku<B>bold</B>maandishi

 

<BR><BR><BR>

<!-- badili mwelekeo wa maandishi -->

<p>www.bongoclass.com</p>

<bdo dir="rtl">www.bongoclass.com</bdo>

 

<BR><BR><BR>

<!-- kunukuu kifungu cha habari -->

<p>Mwalimu Nyerere alisema</p>

<blockquote>

    Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies

    and gentlemen. I have told you already how I felt when you asked me to come and talk here. And

    then I got the message that you were coming.

</blockquote>

 

<!-- kunukuu kifungu kidogo -->

Mwalimu alisema <q>Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies

    and gentlemen.</q>

<BR><BR><BR>

<!-- maandishi yaliyokatwa -->

<p>maandih haya <del>yamekatwa</del> pia haya nayo <s>yamekatwa</s> na haya <ins>yameingizwa</ins>

na haya <u>yapo underline, yamepigiwa msitari</u> na haya <mark>yamechaguliwa (highlite)</mark>

na haya <strong>yamekolezwa</strong>na haya <em>yamewekewa msisitizo</em> na haya yamefanyiwa <i>italics</i>

na haya ni <small>madogo</small> yaani small</p>

 

 

<BR><BR><BR>

<!-- progress -->

<progress>32</progress><br>

<label>Inapakuwa</label>

<progress id="file" value="70" max="100">90%</progress>

 

<BR><BR><BR>

<!-- kutoa muonekano kama unaouona kwenye code-->

<pre>

    sungura af">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 222


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi Soma Zaidi...

HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website
Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment Soma Zaidi...

haloo word
all haloo Soma Zaidi...

Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css. Soma Zaidi...

HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column Soma Zaidi...

HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo Soma Zaidi...

HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html Soma Zaidi...

HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html
Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui Soma Zaidi...

HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui
Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html Soma Zaidi...

HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi
Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi. Soma Zaidi...

HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake
Katika somo hili utajifunza maana ya HTML na jinsi inavyofanya kazi Soma Zaidi...

HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa Soma Zaidi...