HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui
Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html
UFAFANUZI WA TAG ZILIZOTAJWA KATIKA SOMO LA TATU.
Katika somo lililotangulia tumejifunza code tag mbalimbali, sasa katika somo hili tunakwenda kuzifanyia kazitag hizo. Kuna nyingine hatutazigusa katika somo hili. Hivyo taga nyinginezo ambazo hazitatumika katika somo hili tutaziona katika masomo yajayo.
Kwa wale wa simu Endelea kutumia App ya TrebEdit na kwa wale wa kompyuta tumia text Editor ulio nayo kama notepad, notepad plus, sublimetext na nyinginezo. Katika video hapo nimetumia text Editor ya phpstorm ili kuokoa muda zaidi.
Endelea kuzifanyia mazoezi tag hizi. Somo linalofata tutaanglia attributes na namna zinavyoweza kufanya kazi katika uandishi na utengenezaji wa website.
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<title>Kicha cha faili</title>
</head>
<body> <!-- <body> inaanza hapa -->
<!-- BASIC TAG ------>
<h1>Heading 1</h1>
<h2>heading 2</h2>
<h3>heading 3</h3>
<h4>heading 4</h4>
<h5>heading5</h5>
<h6>heading 6</h6>
<p>paragraph ya kwanza ya maudhui yako
<br>hapa nimekata msitari<br>nimeanza mpya
<br><br><br>Nimeruka nafasi 3
</p>
<hr>nimepiga msitari,<hr>
<BR><BR><BR>
<!-- FORMATIN TAG --->
<abbr title="TAasisis ya Kupambana na Kuzuia Rushwa"> TAKUKURU </abbr>
<BR><BR><BR>
<!-- ANUANI-->
<address>
IT MANAGER<BR>
BONGOCLASS.COM<BR>
P.O.BOX 30<br>
PANGANI
</address>
<BR><BR><BR>
<!-- BOLD -->
fano wa ku<B>bold</B>maandishi
<BR><BR><BR>
<!-- badili mwelekeo wa maandishi -->
<p>www.bongoclass.com</p>
<bdo dir="rtl">www.bongoclass.com</bdo>
<BR><BR><BR>
<!-- kunukuu kifungu cha habari -->
<p>Mwalimu Nyerere alisema</p>
<blockquote>
Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies
and gentlemen. I have told you already how I felt when you asked me to come and talk here. And
then I got the message that you were coming.
</blockquote>
<!-- kunukuu kifungu kidogo -->
Mwalimu alisema <q>Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies
and gentlemen.</q>
<BR><BR><BR>
<!-- maandishi yaliyokatwa -->
<p>maandih haya <del>yamekatwa</del> pia haya nayo <s>yamekatwa</s> na haya <ins>yameingizwa</ins>
na haya <u>yapo underline, yamepigiwa msitari</u> na haya <mark>yamechaguliwa (highlite)</mark>
na haya <strong>yamekolezwa</strong>na haya <em>yamewekewa msisitizo</em> na haya yamefanyiwa <i>italics</i>
na haya ni <small>madogo</small> yaani small</p>
<BR><BR><BR>
<!-- progress -->
<progress>32</progress><br>
<label>Inapakuwa</label>
<progress id="file" value="70" max="100">90%</progress>
<BR><BR><BR>
<!-- kutoa muonekano kama unaouona kwenye code-->
<pre>
sungura afahamika ujanja kajijazia
wenzake ana w...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo
Soma Zaidi...Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutatua Tatizo la Mtandao wa Simu
Posti hii inatoa mwongozo rahisi na wa hatua kwa hatua kuhusu jinsi ya kurekebisha matatizo ya mtandao kwenye simu yako ya mkononi. Umejifunza njia za haraka kama kuwasha ‘Upepo’ (Flight Mode), kuwasha upya simu, na kuangalia kadi ya SIM ili kurudisha mawasiliano haraka bila kuhitaji fundi.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kujua Kama Wi-Fi Ni Salama
Wi-Fi imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Tunaitumia kuingia kwenye mitandao ya kijamii, kutuma ujumbe, kufanya biashara mtandaoni, kusoma, kutazama video na hata kufanya malipo. Lakini pamoja na faida zake nyingi, Wi-Fi inaweza kuwa hatari ikiwa haijalindwa vizuri. Mtandao wa Wi-Fi usio salama unaweza kuruhusu watu wasiohusika kuona taarifa zako binafsi, kuiba nywila zako au kutumia intaneti yako bila ruhusa. Kujua kama Wi-Fi ni salama ni jambo muhimu kwa kila mtu anayemiliki simu, kompyuta au kifaa kingine kinachounganishwa na intaneti. Makala hii inaeleza kwa lugha rahisi jinsi ya kutambua Wi-Fi salama, dalili za Wi-Fi hatari, hatua za kulinda mtandao wako na mambo muhimu ya kuzingatia ili kutumia intaneti kwa usalama
Soma Zaidi...HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa
Soma Zaidi...