HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui
Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html
UFAFANUZI WA TAG ZILIZOTAJWA KATIKA SOMO LA TATU.
Katika somo lililotangulia tumejifunza code tag mbalimbali, sasa katika somo hili tunakwenda kuzifanyia kazitag hizo. Kuna nyingine hatutazigusa katika somo hili. Hivyo taga nyinginezo ambazo hazitatumika katika somo hili tutaziona katika masomo yajayo.
Kwa wale wa simu Endelea kutumia App ya TrebEdit na kwa wale wa kompyuta tumia text Editor ulio nayo kama notepad, notepad plus, sublimetext na nyinginezo. Katika video hapo nimetumia text Editor ya phpstorm ili kuokoa muda zaidi.
Endelea kuzifanyia mazoezi tag hizi. Somo linalofata tutaanglia attributes na namna zinavyoweza kufanya kazi katika uandishi na utengenezaji wa website.
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<title>Kicha cha faili</title>
</head>
<body> <!-- <body> inaanza hapa -->
<!-- BASIC TAG ------>
<h1>Heading 1</h1>
<h2>heading 2</h2>
<h3>heading 3</h3>
<h4>heading 4</h4>
<h5>heading5</h5>
<h6>heading 6</h6>
<p>paragraph ya kwanza ya maudhui yako
<br>hapa nimekata msitari<br>nimeanza mpya
<br><br><br>Nimeruka nafasi 3
</p>
<hr>nimepiga msitari,<hr>
<BR><BR><BR>
<!-- FORMATIN TAG --->
<abbr title="TAasisis ya Kupambana na Kuzuia Rushwa"> TAKUKURU </abbr>
<BR><BR><BR>
<!-- ANUANI-->
<address>
IT MANAGER<BR>
BONGOCLASS.COM<BR>
P.O.BOX 30<br>
PANGANI
</address>
<BR><BR><BR>
<!-- BOLD -->
fano wa ku<B>bold</B>maandishi
<BR><BR><BR>
<!-- badili mwelekeo wa maandishi -->
<p>www.bongoclass.com</p>
<bdo dir="rtl">www.bongoclass.com</bdo>
<BR><BR><BR>
<!-- kunukuu kifungu cha habari -->
<p>Mwalimu Nyerere alisema</p>
<blockquote>
Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies
and gentlemen. I have told you already how I felt when you asked me to come and talk here. And
then I got the message that you were coming.
</blockquote>
<!-- kunukuu kifungu kidogo -->
Mwalimu alisema <q>Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies
and gentlemen.</q>
<BR><BR><BR>
<!-- maandishi yaliyokatwa -->
<p>maandih haya <del>yamekatwa</del> pia haya nayo <s>yamekatwa</s> na haya <ins>yameingizwa</ins>
na haya <u>yapo underline, yamepigiwa msitari</u> na haya <mark>yamechaguliwa (highlite)</mark>
na haya <strong>yamekolezwa</strong>na haya <em>yamewekewa msisitizo</em> na haya yamefanyiwa <i>italics</i>
na haya ni <small>madogo</small> yaani small</p>
<BR><BR><BR>
<!-- progress -->
<progress>32</progress><br>
<label>Inapakuwa</label>
<progress id="file" value="70" max="100">90%</progress>
<BR><BR><BR>
<!-- kutoa muonekano kama unaouona kwenye code-->
<pre>
sungura afahamika ujanja kajijazia
wenzake ana w...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website
Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment
Soma Zaidi...HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake
Somo hili linakufundisha maana ya HTML, kwa nini inatumika, na jinsi ya kuandaa simu au kompyuta yako kwa ajili ya kuanza kutengeneza tovuti. Pia tutatengeneza ukurasa wetu wa kwanza wa HTML hatua kwa hatua.
Soma Zaidi...HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi
Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.
Soma Zaidi...HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column
Soma Zaidi...HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML
Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho
Soma Zaidi...Njia za kupambana na saratani
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na saratani
Soma Zaidi...