picha

HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui

Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html

UFAFANUZI WA TAG ZILIZOTAJWA KATIKA SOMO LA TATU.

Katika somo lililotangulia tumejifunza code tag mbalimbali, sasa katika somo hili tunakwenda kuzifanyia kazitag hizo. Kuna nyingine hatutazigusa katika somo hili. Hivyo taga nyinginezo ambazo hazitatumika katika somo hili tutaziona katika masomo yajayo.

 

 

Kwa wale wa simu Endelea kutumia App ya TrebEdit na kwa wale wa kompyuta tumia text Editor ulio nayo kama notepad, notepad plus, sublimetext na nyinginezo. Katika video hapo nimetumia text Editor ya phpstorm ili kuokoa muda zaidi.

 

Endelea kuzifanyia mazoezi tag hizi. Somo linalofata tutaanglia attributes na namna zinavyoweza kufanya kazi katika uandishi na utengenezaji wa website.

 

 

 

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

    <title>Kicha cha faili</title>

 

</head>

<body> <!-- <body> inaanza hapa -->

<!--     BASIC TAG  ------>

<h1>Heading 1</h1>

<h2>heading 2</h2>

<h3>heading 3</h3>

<h4>heading 4</h4>

<h5>heading5</h5>

<h6>heading 6</h6>

<p>paragraph ya kwanza ya maudhui yako

<br>hapa nimekata msitari<br>nimeanza mpya

    <br><br><br>Nimeruka nafasi 3

 

</p>

<hr>nimepiga msitari,<hr>

 

<BR><BR><BR>

<!-- FORMATIN TAG --->

<abbr title="TAasisis ya Kupambana na Kuzuia Rushwa"> TAKUKURU </abbr>

<BR><BR><BR>

<!-- ANUANI-->

<address>

IT MANAGER<BR>

    BONGOCLASS.COM<BR>

    P.O.BOX 30<br>

    PANGANI

</address>

 

<BR><BR><BR>

<!-- BOLD -->

fano wa ku<B>bold</B>maandishi

 

<BR><BR><BR>

<!-- badili mwelekeo wa maandishi -->

<p>www.bongoclass.com</p>

<bdo dir="rtl">www.bongoclass.com</bdo>

 

<BR><BR><BR>

<!-- kunukuu kifungu cha habari -->

<p>Mwalimu Nyerere alisema</p>

<blockquote>

    Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies

    and gentlemen. I have told you already how I felt when you asked me to come and talk here. And

    then I got the message that you were coming.

</blockquote>

 

<!-- kunukuu kifungu kidogo -->

Mwalimu alisema <q>Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies

    and gentlemen.</q>

<BR><BR><BR>

<!-- maandishi yaliyokatwa -->

<p>maandih haya <del>yamekatwa</del> pia haya nayo <s>yamekatwa</s> na haya <ins>yameingizwa</ins>

na haya <u>yapo underline, yamepigiwa msitari</u> na haya <mark>yamechaguliwa (highlite)</mark>

na haya <strong>yamekolezwa</strong>na haya <em>yamewekewa msisitizo</em> na haya yamefanyiwa <i>italics</i>

na haya ni <small>madogo</small> yaani small</p>

 

 

<BR><BR><BR>

<!-- progress -->

<progress>32</progress><br>

<label>Inapakuwa</label>

<progress id="file" value="70" max="100">90%</progress>

 

<BR><BR><BR>

<!-- kutoa muonekano kama unaouona kwenye code-->

<pre>

    sungura afahamika    ujanja kajijazia

    wenzake ana w...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Masomo File: Download PDF Views 1143

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Jinsi ya Kuzima Matangazo Yanayojitokeza Kwenye Simu

Je, umechoka kuona matangazo yanayojitokeza ghafla (pop-ups) na kukuvuruga unapotumia simu yako ya mkononi? Makala hii inakupa mwongozo rahisi sana, wa hatua kwa hatua, kuhusu jinsi ya kuzima matangazo hayo yote yanayokera kwenye simu za Android na iPhone. Mwongozo huu umeandikwa kwa lugha rahisi sana ya Kiswahili ili kila mtu, hata wale ambao hawana kabisa elimu ya shule au ujuzi mkubwa wa mambo ya teknolojia, aweze kuelewa vizuri na kusafisha simu yake leo bila msaada wa fundi. Ukisoma somo hili, utajifunza mbinu za kufunga matangazo kwenye Google Chrome, kupitia mipangilio ya ndani ya simu (Settings), na jinsi ya kung'oa programu zote za siri zinazoleta usumbufu huu.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kuhifadhi Namba za Simu

Kuhifadhi namba za simu ni hatua muhimu inayomsaidia mtu kulinda mawasiliano yake na kuepuka usumbufu unaoweza kutokea wakati simu inapopotea, kuharibika au kubadilishwa. Namba za simu za familia, marafiki, wateja na watu muhimu zina thamani kubwa kwa sababu zinatusaidia kuendelea kuwasiliana na kufanya shughuli zetu za kila siku. Katika makala hii tutajifunza njia mbalimbali za kuhifadhi namba za simu kwa usalama, jinsi ya kupanga majina ya watu kwenye simu, namna ya kuhamisha namba kwenda kwenye simu mpya, pamoja na makosa ambayo watu wengi hufanya wakati wa kuhifadhi mawasiliano yao. Maelezo haya yameandikwa kwa lugha rahisi ili kila mtu aweze kuelewa na kutumia njia hizi bila kuwa na ujuzi mkubwa wa teknolojia.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutatua Tatizo la SMS Kutotumwa

Kushindwa kutuma ujumbe wa kawaida wa maandishi (SMS) ni tatizo linalowakera watu wengi kila siku. Makala hii inakueleza kwa lugha rahisi kabisa sababu zinazosababisha ujumbe wako usiende na inakupa hatua 8 rahisi za kurekebisha tatizo hili mwenyewe. Utafiti unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya matatizo haya yanatokana na mambo madogo kama kukosa salio, mtandao dhaifu, au namba za vituo vya ujumbe (SMSC) kukosewa kwenye simu yako. Kusoma mwongozo huu kutakusaidia kuokoa muda na pesa bila kulazimika kwenda kwa fundi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutatua Tatizo la Sim Card Kutosomeka

Laini ya simu (SIM card) isiposomwa, tatizo linaweza kuwa uchafu kwenye laini, kuwekwa vibaya, au mtandao kuzima. Kusafisha laini kwa mpira wa kufutia penseli (vifutio), kuwasha na kuzima simu, au kuweka upya laini kunaweza kutatua tatizo hili kwa dakika chache bila gharama yoyote.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutumia Face Unlock kwa Usalama

Teknolojia ya Face Unlock imekuwa sehemu muhimu katika simu nyingi za kisasa. Kipengele hiki humwezesha mtumiaji kufungua simu yake kwa kutumia uso badala ya kutumia nenosiri, mchoro wa kufungua simu au alama ya kidole. Ingawa Face Unlock hurahisisha matumizi ya simu na kuongeza kasi ya kufungua kifaa, ni muhimu kujua namna ya kuitumia kwa usalama ili kulinda taarifa binafsi. Katika dunia ya sasa ambapo simu huhifadhi taarifa nyingi kama picha, ujumbe, akaunti za mitandao ya kijamii, taarifa za benki na nyaraka muhimu, usalama wa simu ni jambo la msingi. Kutumia Face Unlock bila kuelewa mipangilio yake kunaweza kuweka taarifa zako katika hatari. Makala hii inaelezea maana ya Face Unlock, jinsi inavyofanya kazi, faida zake, changamoto zake na hatua muhimu za kuitumia kwa usalama zaidi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kujua Kama Wi-Fi Ni Salama

Wi-Fi imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Tunaitumia kuingia kwenye mitandao ya kijamii, kutuma ujumbe, kufanya biashara mtandaoni, kusoma, kutazama video na hata kufanya malipo. Lakini pamoja na faida zake nyingi, Wi-Fi inaweza kuwa hatari ikiwa haijalindwa vizuri. Mtandao wa Wi-Fi usio salama unaweza kuruhusu watu wasiohusika kuona taarifa zako binafsi, kuiba nywila zako au kutumia intaneti yako bila ruhusa. Kujua kama Wi-Fi ni salama ni jambo muhimu kwa kila mtu anayemiliki simu, kompyuta au kifaa kingine kinachounganishwa na intaneti. Makala hii inaeleza kwa lugha rahisi jinsi ya kutambua Wi-Fi salama, dalili za Wi-Fi hatari, hatua za kulinda mtandao wako na mambo muhimu ya kuzingatia ili kutumia intaneti kwa usalama

Soma Zaidi...