HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui
Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html
UFAFANUZI WA TAG ZILIZOTAJWA KATIKA SOMO LA TATU.
Katika somo lililotangulia tumejifunza code tag mbalimbali, sasa katika somo hili tunakwenda kuzifanyia kazitag hizo. Kuna nyingine hatutazigusa katika somo hili. Hivyo taga nyinginezo ambazo hazitatumika katika somo hili tutaziona katika masomo yajayo.
Kwa wale wa simu Endelea kutumia App ya TrebEdit na kwa wale wa kompyuta tumia text Editor ulio nayo kama notepad, notepad plus, sublimetext na nyinginezo. Katika video hapo nimetumia text Editor ya phpstorm ili kuokoa muda zaidi.
Endelea kuzifanyia mazoezi tag hizi. Somo linalofata tutaanglia attributes na namna zinavyoweza kufanya kazi katika uandishi na utengenezaji wa website.
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<title>Kicha cha faili</title>
</head>
<body> <!-- <body> inaanza hapa -->
<!-- BASIC TAG ------>
<h1>Heading 1</h1>
<h2>heading 2</h2>
<h3>heading 3</h3>
<h4>heading 4</h4>
<h5>heading5</h5>
<h6>heading 6</h6>
<p>paragraph ya kwanza ya maudhui yako
<br>hapa nimekata msitari<br>nimeanza mpya
<br><br><br>Nimeruka nafasi 3
</p>
<hr>nimepiga msitari,<hr>
<BR><BR><BR>
<!-- FORMATIN TAG --->
<abbr title="TAasisis ya Kupambana na Kuzuia Rushwa"> TAKUKURU </abbr>
<BR><BR><BR>
<!-- ANUANI-->
<address>
IT MANAGER<BR>
BONGOCLASS.COM<BR>
P.O.BOX 30<br>
PANGANI
</address>
<BR><BR><BR>
<!-- BOLD -->
fano wa ku<B>bold</B>maandishi
<BR><BR><BR>
<!-- badili mwelekeo wa maandishi -->
<p>www.bongoclass.com</p>
<bdo dir="rtl">www.bongoclass.com</bdo>
<BR><BR><BR>
<!-- kunukuu kifungu cha habari -->
<p>Mwalimu Nyerere alisema</p>
<blockquote>
Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies
and gentlemen. I have told you already how I felt when you asked me to come and talk here. And
then I got the message that you were coming.
</blockquote>
<!-- kunukuu kifungu kidogo -->
Mwalimu alisema <q>Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies
and gentlemen.</q>
<BR><BR><BR>
<!-- maandishi yaliyokatwa -->
<p>maandih haya <del>yamekatwa</del> pia haya nayo <s>yamekatwa</s> na haya <ins>yameingizwa</ins>
na haya <u>yapo underline, yamepigiwa msitari</u> na haya <mark>yamechaguliwa (highlite)</mark>
na haya <strong>yamekolezwa</strong>na haya <em>yamewekewa msisitizo</em> na haya yamefanyiwa <i>italics</i>
na haya ni <small>madogo</small> yaani small</p>
<BR><BR><BR>
<!-- progress -->
<progress>32</progress><br>
<label>Inapakuwa</label>
<progress id="file" value="70" max="100">90%</progress>
<BR><BR><BR>
<!-- kutoa muonekano kama unaouona kwenye code-->
<pre>
sungura afahamika ujanja kajijazia
wenzake ana w...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 web hosting 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html
Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui
Soma Zaidi...HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website
Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment
Soma Zaidi...HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa.
Soma Zaidi...HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake
Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML
Soma Zaidi...HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column
Soma Zaidi...HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo
Soma Zaidi...