picha

HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi

ATTRIBUTES NA NAMNA AMBAVYO ZINAFANYA KAZI:
Kama tulivyoona katika somo lililopita tulijifunzakuwa Attributes zina kazi ya kuongeza taarifa nyinginezo kwenye tag. Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kluhusu attributes, sifa zake, kanuni zake na zinavyofanya kazi. Kwa ufupi attributes zinawza:-

 

1.Kuwa katika element yoyote ya HTML
2.ATTRIBUE HUPATIKANA KWENYE TAG YA KUANZIA NA SI YA KUFUNGIA
3.HUONGEZA TAARIFA ZA ZIADA KWENYE ELEMENT
4.Attributes zinakuwa katika kanuni hii jina=”” naani unaanza kutaja jina la attribute kisha unaweka alama ya sawasawa kisha thamani ya attribute inawekwa ndani ya alama za funga semi.

 

MIFANO YA ATTRIBUTES
1.Attribute wakati wa kuweka link. Hii hukaa kwenye tag ya <a> pale unapotaka kuweka link ya ukurasa mwingine wa wavuti.

 

Kwanza utaweka tag ya <a kisha itafatiwa na jina la attribute href (hhypertext referrence) kisha itafatiwa na alama ya = na thamani ya attribute itawekwa kwenye alama za “”. 
Mfano
<a href=”www.bongoclass.com”>weka jina la link hapa</a> katika mfano huu <a ndio tag na href ni jina la attribute na “www.bongoclass.com” ndio thamani ya attribute.

 

2.ATTRIBUTE ZINAZOTUMIKA KUWEKA PICHA
Attribute hizi hukaa kwenye tag ya <img lengo la attribute hii ni kuweka chanzo cha picha na jina la picha. Chanzo cha picha huwekwa kwa src=” ” na jina la picha huwekwa kwa alt=” ”

 

Mfano:
<img src=”bongo.png” alt=”picha”> katika mfano huu <img ndio tag na src ndio jina la attribute na “bongo.png” ndio thamani ya attribute. Pia katika mfano huu una attribute mbili. Attribute nyingine jina lake ni alt na thamani yake ni “picha”. attribute hii hu...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Masomo File: Download PDF Views 1107

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 web hosting     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi

Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutatua Tatizo la SMS Kutotumwa

Kushindwa kutuma ujumbe wa kawaida wa maandishi (SMS) ni tatizo linalowakera watu wengi kila siku. Makala hii inakueleza kwa lugha rahisi kabisa sababu zinazosababisha ujumbe wako usiende na inakupa hatua 8 rahisi za kurekebisha tatizo hili mwenyewe. Utafiti unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya matatizo haya yanatokana na mambo madogo kama kukosa salio, mtandao dhaifu, au namba za vituo vya ujumbe (SMSC) kukosewa kwenye simu yako. Kusoma mwongozo huu kutakusaidia kuokoa muda na pesa bila kulazimika kwenda kwa fundi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kuhamisha Mawasiliano (Contacts)

Mawasiliano (Contacts) ni sehemu muhimu sana katika simu zetu kwa sababu huhifadhi majina na namba za simu za watu tunaowasiliana nao kama vile familia, marafiki, wateja na wafanyakazi wenzetu. Watu wengi hubadilisha simu mpya au hupoteza simu zao bila kujua namna ya kuhifadhi na kuhamisha mawasiliano yao. Hali hii inaweza kusababisha kupoteza namba muhimu na kuleta usumbufu mkubwa. Katika makala hii tutajifunza jinsi ya kuhamisha mawasiliano kutoka simu moja kwenda nyingine kwa njia rahisi. Tutaeleza njia mbalimbali zinazoweza kutumiwa kama vile kutumia akaunti ya Google, kuhifadhi kwenye SIM kadi, kutumia Bluetooth, programu maalum na njia nyingine salama. Maelezo haya yameandikwa kwa lugha rahisi ili hata mtu asiye na ujuzi mkubwa wa teknolojia aweze kuelewa na kufuata hatua bila shida.

Soma Zaidi...
HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column

Soma Zaidi...
HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kuzima Matangazo Yanayojitokeza Kwenye Simu

Je, umechoka kuona matangazo yanayojitokeza ghafla (pop-ups) na kukuvuruga unapotumia simu yako ya mkononi? Makala hii inakupa mwongozo rahisi sana, wa hatua kwa hatua, kuhusu jinsi ya kuzima matangazo hayo yote yanayokera kwenye simu za Android na iPhone. Mwongozo huu umeandikwa kwa lugha rahisi sana ya Kiswahili ili kila mtu, hata wale ambao hawana kabisa elimu ya shule au ujuzi mkubwa wa mambo ya teknolojia, aweze kuelewa vizuri na kusafisha simu yake leo bila msaada wa fundi. Ukisoma somo hili, utajifunza mbinu za kufunga matangazo kwenye Google Chrome, kupitia mipangilio ya ndani ya simu (Settings), na jinsi ya kung'oa programu zote za siri zinazoleta usumbufu huu.

Soma Zaidi...