picha

HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

Karibu kwa mara nyingine tena katika mafunzo yetu ya HTML na namna ya kutengeneza website (tovuti) na blog. Katika somo lililopita tuliona tag 25 muhimu zinazotumika katika kuandika document na ikawa na muonekano mzuri katika blog ama tovuti yako. Hatika somo hili tutakwenda kuona namna ya kuweka staili kwenye document yako.

 

Somo hili litakwenda kuangalia yafuatayo:-

  1. Kuweka picha
  2. Kuweka rangi
  3. Kuweka linki
  4. Kupangilia position na alignment ya maandishi
  5. Kuongeza ukubwa wa herufi
  6. Kukoment

 

Hakikisha umeshapitia masomo yetu manne yaliyotangulia kabla ya kuanza somo hili, hii itakupa uwanja mpana sana wa kuelewa zaidi. Kumbuka masomo haya yanaendeshwa kwa kutumia App inayotambulika kama TrebEdit, link yake utaipata kwenye somo la kwanza ama ingia playstore. Kupata masomo manne yaliyotangulia bofya link za hapo chini.
 

CODE ZITAKAZOTUMIKA KWENYE SOMO:

Kopi code hizi kisha pestu kwenye faili utakalolipatina staili.html. Maelezo zaidi utayapata hapo chini baada ya hizi code:-
 

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

<meta charset="UTF-8">

<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">

<title>kuweka staili</title>

</head>

<body>

<h1>kuweka picha</h1>

<img src="image/P2.JPEG" WIDTH="100%">

 

<BR></BR>

<H2>KUWEKA RANGI</H2>

<p style="color:red"> mimi mwekundu</p>

 

<p style="color:green"> mimi mkijani</p>

 

<H1>KUWEKA LINK</H1>

 

<a href="tag.html">tag 25, bofya hapa</a><BR></BR>

<a href="index.html">go to home page</a>

 

<br><br>

<H1>

Kuongeza ukubwa wa maneno</H1>

<b style="font-size:100">mimi niko kawaida 100%</b>

<br>

<b style="font-size:200%">Ukubwa wa 200%</b>

<br>

<b style="font-size:300%">Ukubwa wa 300%</b>

<br>

<b style="font-size:50%">ukubwa wa 50%</b>




 

<BR><BR></BR></BR>

<p style="text-align:center;">Nipo kati</p>

<br>

<p style="text-align:left;">Nipo kushoto</p>

<br>

<p style="text-align:right;">Nipo kulia</p>

<br>

<p style="text-align:justify;">Nipo Nimejaa</p>


 

<br><br>


 

<h1>KUKOMENT</H1>

<!--- WEKA KOMENT HAPA -->

 

</body>

</html>




 

MAANDALIZI HA SOMO:

Kama tayari App ya Treb Edit unayo:

  1. Ingia kwenye App ya Trebedit, nenda menu kisha kwenye project yako bofya kwenye jina hilo, ingia kwenye folda la image, create file, kisha import file, chaguwa picha moja uiclick. Rudi nyuma utaiona picha yako ipo kwenye folda la image. Kama unatumia kompyuta tumia notepad ama text editor yoyote unayotumia kuandika code.
  2. Kwenye folda kuu la project yako create file kkisha lipe jina la “staili.html”. hivyo kwenye folda lako kuu kutakuwa na mafaili matatu moja ni lile na index.html, jingine ni la tag.html na la mwisho litakuwa hili la staili.html. Huwenda ukawa umeweka mafaili mengine ya html. Hakuna shida.
  3. Baada ya hapo utakopi code nitakazozileta hapo chini kwenye faili hili la staili.html kisha sevu.
  4. Utapreview kwa kubofya kitufe cha kuplay.
  5. Endelea na somo sasa kuona namna ambavyo code zinavyofanya kazi


 

UFAFANUZI WA CODE ZILIZOTUMIKA:

  1. Kuweka Picha

Kuweka picha kwenye faili la html tunatumiatag hii <img kisha unaweka source yaani chanzo ambacho hiyopicha itakuwepo. Utafanya hivi kwa kutumia src=” ” ndani ya hizo fungasemi na funguwa semiutaweka jina la faili au  picha na jina la folda lilipo kwa mfano picha niliotumiamimi itaitwa P2 na ipokatika fomati ya jpeg, hivyo inasomoka kama P2.jpeg. Ukiweka na jina la folda ilipo utapata image/P2.pjeg. Hivyo tag nzima itasomeka hivi

 

<img src=”image/P2.jpeg”> 

 

Hiyo tupu inatosha kuweka icha yako na ikaonekana. Utaona kuna code nimeziongeza kwa ajili ya kupunguza upana wa picha na...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Masomo File: Download PDF Views 1429

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 ai web app     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Jinsi ya Kuhifadhi Namba za Simu

Kuhifadhi namba za simu ni hatua muhimu inayomsaidia mtu kulinda mawasiliano yake na kuepuka usumbufu unaoweza kutokea wakati simu inapopotea, kuharibika au kubadilishwa. Namba za simu za familia, marafiki, wateja na watu muhimu zina thamani kubwa kwa sababu zinatusaidia kuendelea kuwasiliana na kufanya shughuli zetu za kila siku. Katika makala hii tutajifunza njia mbalimbali za kuhifadhi namba za simu kwa usalama, jinsi ya kupanga majina ya watu kwenye simu, namna ya kuhamisha namba kwenda kwenye simu mpya, pamoja na makosa ambayo watu wengi hufanya wakati wa kuhifadhi mawasiliano yao. Maelezo haya yameandikwa kwa lugha rahisi ili kila mtu aweze kuelewa na kutumia njia hizi bila kuwa na ujuzi mkubwa wa teknolojia.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutatua Tatizo la Simu Kutopiga Simu

Kama simu yako haipigi au haipokei simu, usipaniki. Mara nyingi tatizo hili linasababishwa na mambo madogo unayoweza kuyarekebisha mwenyewe nyumbani. Angalia salio na bando lako, washa na uzime mfumo wa ndege (Airplane Mode), au zima simu na kuiwasha tena. Kama hayo hayajasaidia, hakikisha laini yako (SIM card) imekaa vizuri au wasiliana na kampuni yako ya simu. Kwenye makala hii, tutaenda hatua kwa hatua kwa lugha rahisi kabisa ili urudishe simu yako kwenye hali ya kawaida haraka

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutatua Tatizo la SMS Kutotumwa

Kushindwa kutuma ujumbe wa kawaida wa maandishi (SMS) ni tatizo linalowakera watu wengi kila siku. Makala hii inakueleza kwa lugha rahisi kabisa sababu zinazosababisha ujumbe wako usiende na inakupa hatua 8 rahisi za kurekebisha tatizo hili mwenyewe. Utafiti unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya matatizo haya yanatokana na mambo madogo kama kukosa salio, mtandao dhaifu, au namba za vituo vya ujumbe (SMSC) kukosewa kwenye simu yako. Kusoma mwongozo huu kutakusaidia kuokoa muda na pesa bila kulazimika kwenda kwa fundi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kuhamisha Data Kati ya Simu Mbili

Kubadilisha simu mpya ni jambo la kufurahisha, lakini watu wengi hupata changamoto wanapofikiria jinsi ya kuhamisha taarifa zao kutoka simu ya zamani kwenda simu mpya. Data muhimu kama picha, video, namba za simu, ujumbe, nyaraka, programu na mipangilio inaweza kuonekana kuwa ngumu kuhamisha, hasa kwa mtu ambaye hajawahi kufanya zoezi hilo. Habari njema ni kwamba leo kuna njia rahisi na salama za kuhamisha data kati ya simu mbili bila kupoteza taarifa muhimu. Unaweza kutumia intaneti, huduma za kuhifadhi taarifa mtandaoni, kebo maalumu, Bluetooth au programu zinazosaidia kufanya uhamishaji huo kwa haraka. Makala hii inaelezea hatua kwa hatua jinsi ya kuhamisha data kati ya simu mbili kwa njia rahisi ambayo kila mtu anaweza kuelewa, hata kama hana elimu kubwa ya teknolojia.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutumia Fingerprint Kwenye Simu

Fingerprint ni teknolojia inayokuwezesha kufungua simu yako kwa kutumia alama ya kidole badala ya kuandika namba ya siri au mchoro (Pattern). Mfumo huu umeifanya matumizi ya simu kuwa rahisi, ya haraka na salama zaidi. Mbali na kufungua simu, fingerprint pia inaweza kutumika kuthibitisha malipo, kufungua programu mbalimbali na kulinda taarifa binafsi zilizopo kwenye simu. Katika makala hii utajifunza fingerprint ni nini, jinsi inavyofanya kazi, namna ya kuiweka kwenye simu, jinsi ya kuitumia kwa usahihi, faida zake, changamoto zinazoweza kujitokeza pamoja na njia za kuzitatua. Pia utapata ukweli muhimu katika sehemu ya "Je! Wajua?" ambao unaweza kukusaidia kutumia fingerprint kwa ufanisi zaidi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kusakinisha (Install) App kwa Usalama

Siku hizi simu za mkononi zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku. Tunazitumia kuwasiliana, kufanya biashara, kusoma, kulipa bili, kutazama video, kusikiliza muziki na hata kuhifadhi taarifa muhimu. Ili simu iweze kufanya kazi hizi, tunahitaji kusakinisha (install) programu mbalimbali zinazojulikana kama app. Lakini si kila app ni salama. Baadhi ya app zinaweza kuiba taarifa zako binafsi, kuharibu simu, kuonyesha matangazo mengi yasiyofaa au hata kusababisha akaunti zako kuporwa. Ndiyo maana ni muhimu kujifunza jinsi ya kusakinisha app kwa usalama. Katika makala hii utajifunza hatua zote muhimu za kusakinisha app kwa usalama, namna ya kutambua app halisi, mambo ya kuzingatia kabla na baada ya kusakinisha app, pamoja na makosa ambayo watu wengi hufanya bila kujua.

Soma Zaidi...