HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website
Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment
Karibu kwa mara nyingine tena katika mafunzo yetu ya HTML na namna ya kutengeneza website (tovuti) na blog. Katika somo lililopita tuliona tag 25 muhimu zinazotumika katika kuandika document na ikawa na muonekano mzuri katika blog ama tovuti yako. Hatika somo hili tutakwenda kuona namna ya kuweka staili kwenye document yako.
Somo hili litakwenda kuangalia yafuatayo:-
- Kuweka picha
- Kuweka rangi
- Kuweka linki
- Kupangilia position na alignment ya maandishi
- Kuongeza ukubwa wa herufi
- Kukoment
Hakikisha umeshapitia masomo yetu manne yaliyotangulia kabla ya kuanza somo hili, hii itakupa uwanja mpana sana wa kuelewa zaidi. Kumbuka masomo haya yanaendeshwa kwa kutumia App inayotambulika kama TrebEdit, link yake utaipata kwenye somo la kwanza ama ingia playstore. Kupata masomo manne yaliyotangulia bofya link za hapo chini.
CODE ZITAKAZOTUMIKA KWENYE SOMO:
Kopi code hizi kisha pestu kwenye faili utakalolipatina staili.html. Maelezo zaidi utayapata hapo chini baada ya hizi code:-
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">
<title>kuweka staili</title>
</head>
<body>
<h1>kuweka picha</h1>
<img src="image/P2.JPEG" WIDTH="100%">
<BR></BR>
<H2>KUWEKA RANGI</H2>
<p style="color:red"> mimi mwekundu</p>
<p style="color:green"> mimi mkijani</p>
<H1>KUWEKA LINK</H1>
<a href="tag.html">tag 25, bofya hapa</a><BR></BR>
<a href="index.html">go to home page</a>
<br><br>
<H1>
Kuongeza ukubwa wa maneno</H1>
<b style="font-size:100">mimi niko kawaida 100%</b>
<br>
<b style="font-size:200%">Ukubwa wa 200%</b>
<br>
<b style="font-size:300%">Ukubwa wa 300%</b>
<br>
<b style="font-size:50%">ukubwa wa 50%</b>
<BR><BR></BR></BR>
<p style="text-align:center;">Nipo kati</p>
<br>
<p style="text-align:left;">Nipo kushoto</p>
<br>
<p style="text-align:right;">Nipo kulia</p>
<br>
<p style="text-align:justify;">Nipo Nimejaa</p>
<br><br>
<h1>KUKOMENT</H1>
<!--- WEKA KOMENT HAPA -->
</body>
</html>
MAANDALIZI HA SOMO:
Kama tayari App ya Treb Edit unayo:
- Ingia kwenye App ya Trebedit, nenda menu kisha kwenye project yako bofya kwenye jina hilo, ingia kwenye folda la image, create file, kisha import file, chaguwa picha moja uiclick. Rudi nyuma utaiona picha yako ipo kwenye folda la image. Kama unatumia kompyuta tumia notepad ama text editor yoyote unayotumia kuandika code.
- Kwenye folda kuu la project yako create file kkisha lipe jina la “staili.html”. hivyo kwenye folda lako kuu kutakuwa na mafaili matatu moja ni lile na index.html, jingine ni la tag.html na la mwisho litakuwa hili la staili.html. Huwenda ukawa umeweka mafaili mengine ya html. Hakuna shida.
- Baada ya hapo utakopi code nitakazozileta hapo chini kwenye faili hili la staili.html kisha sevu.
- Utapreview kwa kubofya kitufe cha kuplay.
- Endelea na somo sasa kuona namna ambavyo code zinavyofanya kazi
UFAFANUZI WA CODE ZILIZOTUMIKA:
- Kuweka Picha
Kuweka picha kwenye faili la html tunatumiatag hii <img kisha unaweka source yaani chanzo ambacho hiyopicha itakuwepo. Utafanya hivi kwa kutumia src=” ” ndani ya hizo fungasemi na funguwa semiutaweka jina la faili au picha na jina la folda lilipo kwa mfano picha niliotumiamimi itaitwa P2 na ipokatika fomati ya jpeg, hivyo inasomoka kama P2.jpeg. Ukiweka na jina la folda ilipo utapata image/P2.pjeg. Hivyo tag nzima itasomeka hivi
<img src=”image/P2.jpeg”>
Hiyo tupu inatosha kuweka icha yako na ikaonekana. Utaona kuna code nimeziongeza kwa ajili ya kupunguza upana wa picha na...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kutuma Faili Bila Intaneti
Kutuma faili bila kutumia intaneti ni njia rahisi ya kuhamisha picha, video, nyaraka, programu au aina nyingine za taarifa kutoka kifaa kimoja kwenda kingine bila kutumia data ya simu au Wi-Fi. Watu wengi wanafikiri kuwa lazima uwe na intaneti ili kutuma faili, lakini ukweli ni kwamba kuna njia mbalimbali zinazokuwezesha kufanya hivyo kwa kutumia teknolojia zilizopo kwenye simu, kompyuta au vifaa vingine. Njia hizi zinaweza kusaidia sana pale ambapo hakuna mtandao, data imeisha, au unataka kutuma faili kwa haraka bila kusubiri kupakua kupitia huduma za mtandaoni. Katika makala hii tutajifunza njia mbalimbali za kutuma faili bila intaneti, jinsi zinavyofanya kazi, faida zake, changamoto zake, na mambo muhimu ya kuzingatia ili kuhakikisha faili zako zinatumwa salama.
Soma Zaidi...HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake
Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutatua Tatizo la SMS Kutotumwa
Kushindwa kutuma ujumbe wa kawaida wa maandishi (SMS) ni tatizo linalowakera watu wengi kila siku. Makala hii inakueleza kwa lugha rahisi kabisa sababu zinazosababisha ujumbe wako usiende na inakupa hatua 8 rahisi za kurekebisha tatizo hili mwenyewe. Utafiti unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya matatizo haya yanatokana na mambo madogo kama kukosa salio, mtandao dhaifu, au namba za vituo vya ujumbe (SMSC) kukosewa kwenye simu yako. Kusoma mwongozo huu kutakusaidia kuokoa muda na pesa bila kulazimika kwenda kwa fundi.
Soma Zaidi...Je, Kuchaji Simu Usiku Kucha Ni Salama?
Je, ni salama kuacha simu kwenye chaji usiku kucha unapolala? Watu wengi wanaamini kuwa tabia hii inalipua simu au kuharibu betri kabisa. Katika makala hii, utajifunza ukweli wa kisayansi kuhusu simu za kisasa, jinsi mifumo ya usalama inavyofanya kazi, na mbinu rahisi za kurefusha maisha ya betri yako bila hofu. Soma ujue jinsi ya kulinda simu yako leo!
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuhifadhi Namba za Simu
Kuhifadhi namba za simu ni hatua muhimu inayomsaidia mtu kulinda mawasiliano yake na kuepuka usumbufu unaoweza kutokea wakati simu inapopotea, kuharibika au kubadilishwa. Namba za simu za familia, marafiki, wateja na watu muhimu zina thamani kubwa kwa sababu zinatusaidia kuendelea kuwasiliana na kufanya shughuli zetu za kila siku. Katika makala hii tutajifunza njia mbalimbali za kuhifadhi namba za simu kwa usalama, jinsi ya kupanga majina ya watu kwenye simu, namna ya kuhamisha namba kwenda kwenye simu mpya, pamoja na makosa ambayo watu wengi hufanya wakati wa kuhifadhi mawasiliano yao. Maelezo haya yameandikwa kwa lugha rahisi ili kila mtu aweze kuelewa na kutumia njia hizi bila kuwa na ujuzi mkubwa wa teknolojia.
Soma Zaidi...HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html
Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui
Soma Zaidi...