image

HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

Karibu kwa mara nyingine tena katika mafunzo yetu ya HTML na namna ya kutengeneza website (tovuti) na blog. Katika somo lililopita tuliona tag 25 muhimu zinazotumika katika kuandika document na ikawa na muonekano mzuri katika blog ama tovuti yako. Hatika somo hili tutakwenda kuona namna ya kuweka staili kwenye document yako.

 

Somo hili litakwenda kuangalia yafuatayo:-

  1. Kuweka picha
  2. Kuweka rangi
  3. Kuweka linki
  4. Kupangilia position na alignment ya maandishi
  5. Kuongeza ukubwa wa herufi
  6. Kukoment

 

Hakikisha umeshapitia masomo yetu manne yaliyotangulia kabla ya kuanza somo hili, hii itakupa uwanja mpana sana wa kuelewa zaidi. Kumbuka masomo haya yanaendeshwa kwa kutumia App inayotambulika kama TrebEdit, link yake utaipata kwenye somo la kwanza ama ingia playstore. Kupata masomo manne yaliyotangulia bofya link za hapo chini.
 

CODE ZITAKAZOTUMIKA KWENYE SOMO:

Kopi code hizi kisha pestu kwenye faili utakalolipatina staili.html. Maelezo zaidi utayapata hapo chini baada ya hizi code:-
 

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

<meta charset="UTF-8">

<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">

<title>kuweka staili</title>

</head>

<body>

<h1>kuweka picha</h1>

<img src="image/P2.JPEG" WIDTH="100%">

 

<BR></BR>

<H2>KUWEKA RANGI</H2>

<p style="color:red"> mimi mwekundu</p>

 

<p style="color:green"> mimi mkijani</p>

 

<H1>KUWEKA LINK</H1>

 

<a href="tag.html">tag 25, bofya hapa</a><BR></BR>

<a href="index.html">go to home page</a>

 

<br><br>

<H1>

Kuongeza ukubwa wa maneno</H1>

<b style="font-size:100">mimi niko kawaida 100%</b>

<br>

<b style="font-size:200%">Ukubwa wa 200%</b>

<br>

<b style="font-size:300%">Ukubwa wa 300%</b>

<br>

<b style="font-size:50%">ukubwa wa 50%</b>




 

<BR><BR></BR></BR>

<p style="text-align:center;">Nipo kati</p>

<br>

<p style="text-align:left;">Nipo kushoto</p>

<br>

<p style="text-align:right;">Nipo kulia</p>

<br>

<p style="text-align:justify;">Nipo Nimejaa</p>


 

<br><br>


 

<h1>KUKOMENT</H1>

<!--- WEKA KOMENT HAPA -->

 

</body>

</html>




 

MAANDALIZI HA SOMO:

Kama tayari App ya Treb Edit unayo:

  1. Ingia kwenye App ya Trebedit, nenda menu kisha kwenye project yako bofya kwenye jina hilo, ingia kwenye folda la image, create file, kisha import file, chaguwa picha moja uiclick. Rudi nyuma utaiona picha yako ipo kwenye folda la image. Kama unatumia kompyuta tumia notepad ama text editor yoyote unayotumia kuandika code.
  2. Kwenye folda kuu la project yako create file kkisha lipe jina la “staili.html”. hivyo kwenye folda lako kuu kutakuwa na mafaili matatu moja ni lile na index.html, jingine ni la tag.html na la mwisho litakuwa hili la staili.html. Huwenda ukawa umeweka mafaili mengine ya html. Hakuna shida.
  3. Baada ya hapo utakopi code nitakazozileta hapo chini kwenye faili hili la staili.html kisha sevu.
  4. Utapreview kwa kubofya kitufe cha kuplay.
  5. Endelea na somo sasa kuona namna ambavyo code zinavyofanya kazi


 

UFAFANUZI WA CODE ZILIZOTUMIKA:

  1. Kuweka Picha

Kuweka picha kwenye faili la html tunatumiatag hii <img kisha unaweka source yaani chanzo ambacho hiyopicha itakuwepo. Utafanya hivi kwa kutumia src=” ” ndani ya hizo fungasemi na funguwa semiutaweka jina la faili au  picha na jina la folda lilipo kwa mfano picha niliotumiamimi itaitwa P2 na ipokatika fomati ya jpeg, hivyo inasomoka kama P2.jpeg. Ukiweka na jina la fold">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 282


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi
Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi. Soma Zaidi...

HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui
Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html Soma Zaidi...

HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa. Soma Zaidi...

HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa Soma Zaidi...

HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.
Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML Soma Zaidi...

HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column Soma Zaidi...

haloo word
all haloo Soma Zaidi...

HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo Soma Zaidi...

HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake
Katika somo hili utajifunza maana ya HTML na jinsi inavyofanya kazi Soma Zaidi...

HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi Soma Zaidi...

Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css. Soma Zaidi...

HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML
Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho Soma Zaidi...