HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

Karibu kwa mara nyingine tena katika mafunzo yetu ya HTML na namna ya kutengeneza website (tovuti) na blog. Katika somo lililopita tuliona tag 25 muhimu zinazotumika katika kuandika document na ikawa na muonekano mzuri katika blog ama tovuti yako. Hatika somo hili tutakwenda kuona namna ya kuweka staili kwenye document yako.

 

Somo hili litakwenda kuangalia yafuatayo:-

  1. Kuweka picha
  2. Kuweka rangi
  3. Kuweka linki
  4. Kupangilia position na alignment ya maandishi
  5. Kuongeza ukubwa wa herufi
  6. Kukoment

 

Hakikisha umeshapitia masomo yetu manne yaliyotangulia kabla ya kuanza somo hili, hii itakupa uwanja mpana sana wa kuelewa zaidi. Kumbuka masomo haya yanaendeshwa kwa kutumia App inayotambulika kama TrebEdit, link yake utaipata kwenye somo la kwanza ama ingia playstore. Kupata masomo manne yaliyotangulia bofya link za hapo chini.
 

CODE ZITAKAZOTUMIKA KWENYE SOMO:

Kopi code hizi kisha pestu kwenye faili utakalolipatina staili.html. Maelezo zaidi utayapata hapo chini baada ya hizi code:-
 

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

<meta charset="UTF-8">

<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">

<title>kuweka staili</title>

</head>

<body>

<h1>kuweka picha</h1>

<img src="image/P2.JPEG" WIDTH="100%">

 

<BR></BR>

<H2>KUWEKA RANGI</H2>

<p style="color:red"> mimi mwekundu</p>

 

<p style="color:green"> mimi mkijani</p>

 

<H1>KUWEKA LINK</H1>

 

<a href="tag.html">tag 25, bofya hapa</a><BR></BR>

<a href="index.html">go to home page</a>

 

<br><br>

<H1>

Kuongeza ukubwa wa maneno</H1>

<b style="font-size:100">mimi niko kawaida 100%</b>

<br>

<b style="font-size:200%">Ukubwa wa 200%</b>

<br>

<b style="font-size:300%">Ukubwa wa 300%</b>

<br>

<b style="font-size:50%">ukubwa wa 50%</b>




 

<BR><BR></BR></BR>

<p style="text-align:center;">Nipo kati</p>

<br>

<p style="text-align:left;">Nipo kushoto</p>

<br>

<p style="text-align:right;">Nipo kulia</p>

<br>

<p style="text-align:justify;">Nipo Nimejaa</p>


 

<br><br>


 

<h1>KUKOMENT</H1>

<!--- WEKA KOMENT HAPA -->

 

</body>

</html>




 

MAANDALIZI HA SOMO:

Kama tayari App ya Treb Edit unayo:

  1. Ingia kwenye App ya Trebedit, nenda menu kisha kwenye project yako bofya kwenye jina hilo, ingia kwenye folda la image, create file, kisha import file, chaguwa picha moja uiclick. Rudi nyuma utaiona picha yako ipo kwenye folda la image. Kama unatumia kompyuta tumia notepad ama text editor yoyote unayotumia kuandika code.
  2. Kwenye folda kuu la project yako create file kkisha lipe jina la “staili.html”. hivyo kwenye folda lako kuu kutakuwa na mafaili matatu moja ni lile na index.html, jingine ni la tag.html na la mwisho litakuwa hili la staili.html. Huwenda ukawa umeweka mafaili mengine ya html. Hakuna shida.
  3. Baada ya hapo utakopi code nitakazozileta hapo chini kwenye faili hili la staili.html kisha sevu.
  4. Utapreview kwa kubofya kitufe cha kuplay.
  5. Endelea na somo sasa kuona namna ambavyo code zinavyofanya kazi


 

UFAFANUZI WA CODE ZILIZOTUMIKA:

  1. Kuweka Picha

Kuweka picha kwenye faili la html tunatumiatag hii <img kisha unaweka source yaani chanzo ambacho hiyopicha itakuwepo. Utafanya hivi kwa kutumia src=” ” ndani ya hizo fungasemi na funguwa semiutaweka jina la faili au  picha na jina la folda lilipo kwa mfano picha niliotumiamimi itaitwa P2 na ipokatika fomati ya jpeg, hivyo inasomoka">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: HTML Main: ICT File: Download PDF Views 665

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.

Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML

Soma Zaidi...
HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML

Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML

Soma Zaidi...
HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi

Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.

Soma Zaidi...
HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi

Soma Zaidi...
HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column

Soma Zaidi...
HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake

Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML

Soma Zaidi...
HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html

Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui

Soma Zaidi...
HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo

Soma Zaidi...
HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

Katika somo hili utajifunza maana ya HTML na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa

Soma Zaidi...