HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

Karibu kwa mara nyingine tena katika mafunzo yetu ya HTML na namna ya kutengeneza website (tovuti) na blog. Katika somo lililopita tuliona tag 25 muhimu zinazotumika katika kuandika document na ikawa na muonekano mzuri katika blog ama tovuti yako. Hatika somo hili tutakwenda kuona namna ya kuweka staili kwenye document yako.

 

Somo hili litakwenda kuangalia yafuatayo:-

  1. Kuweka picha
  2. Kuweka rangi
  3. Kuweka linki
  4. Kupangilia position na alignment ya maandishi
  5. Kuongeza ukubwa wa herufi
  6. Kukoment

 

Hakikisha umeshapitia masomo yetu manne yaliyotangulia kabla ya kuanza somo hili, hii itakupa uwanja mpana sana wa kuelewa zaidi. Kumbuka masomo haya yanaendeshwa kwa kutumia App inayotambulika kama TrebEdit, link yake utaipata kwenye somo la kwanza ama ingia playstore. Kupata masomo manne yaliyotangulia bofya link za hapo chini.
 

CODE ZITAKAZOTUMIKA KWENYE SOMO:

Kopi code hizi kisha pestu kwenye faili utakalolipatina staili.html. Maelezo zaidi utayapata hapo chini baada ya hizi code:-
 

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

<meta charset="UTF-8">

<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">

<title>kuweka staili</title>

</head>

<body>

<h1>kuweka picha</h1>

<img src="image/P2.JPEG" WIDTH="100%">

 

<BR></BR>

<H2>KUWEKA RANGI</H2>

<p style="color:red"> mimi mwekundu</p>

 

<p style="color:green"> mimi mkijani</p>

 

<H1>KUWEKA LINK</H1>

 

<a href="tag.html">tag 25, bofya hapa</a><BR></BR>

<a href="index.html">go to home page</a>

 

<br><br>

<H1>

Kuongeza ukubwa wa maneno</H1>

<b style="font-size:100">mimi niko kawaida 100%</b>

<br>

<b style="font-size:200%">Ukubwa wa 200%</b>

<br>

<b style="font-size:300%">Ukubwa wa 300%</b>

<br>

<b style="font-size:50%">ukubwa wa 50%</b>




 

<BR><BR></BR></BR>

<p style="text-align:center;">Nipo kati</p>

<br>

<p style="text-align:left;">Nipo kushoto</p>

<br>

<p style="text-align:right;">Nipo kulia</p>

<br>

<p style="text-align:justify;">Nipo Nimejaa</p>


 

<br><br>


 

<h1>KUKOMENT</H1>

<!--- WEKA KOMENT HAPA -->

 

</body>

</html>




 

MAANDALIZI HA SOMO:

Kama tayari App ya Treb Edit unayo:

  1. Ingia kwenye App ya Trebedit, nenda menu kisha kwenye project yako bofya kwenye jina hilo, ingia kwenye folda la image, create file, kisha import file, chaguwa picha moja uiclick. Rudi nyuma utaiona picha yako ipo kwenye folda la image. Kama unatumia kompyuta tumia notepad ama text editor yoyote unayotumia kuandika code.
  2. Kwenye folda kuu la project yako create file kkisha lipe jina la “staili.html”. hivyo kwenye folda lako kuu kutakuwa na mafaili matatu moja ni lile na index.html, jingine ni la tag.html na la mwisho litakuwa hili la staili.html. Huwenda ukawa umeweka mafaili mengine ya html. Hakuna shida.
  3. Baada ya hapo utakopi code nitakazozileta hapo chini kwenye faili hili la staili.html kisha sevu.
  4. Utapreview kwa kubofya kitufe cha kuplay.
  5. Endelea na somo sasa kuona namna ambavyo code zinavyofanya kazi


 

UFAFANUZI WA CODE ZILIZOTUMIKA:

  1. Kuweka Picha

Kuweka picha kwenye faili la html tunatumiatag hii <img kisha unaweka source yaani chanzo ambacho hiyopicha itakuwepo. Utafanya hivi kwa kutumia src=” ” ndani ya hizo fungasemi na funguwa semiutaweka jina la faili au  picha na jina la folda lilipo kwa mfano picha niliotumiamimi itaitwa P2 na ipokatika fomati ya jpeg, hivyo inasomoka">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: HTML Main: ICT File: Download PDF Views 534

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa

Soma Zaidi...
HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi

Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.

Soma Zaidi...
HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML

Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho

Soma Zaidi...
HATML - somo la 4: Jinsi ya kutumia tag za html

Katka somo hi utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia tag za html ili kupangilia muonekano wa maudhui

Soma Zaidi...
HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake

Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML

Soma Zaidi...
HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi

Soma Zaidi...
HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui

Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html

Soma Zaidi...
HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column

Soma Zaidi...
HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa.

Soma Zaidi...
HTML somo la 17: Jinsi ya kuunganisha HTML na CSS au JavaScript

Katika somo hili utakwend akujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya Kuunganisha HTML na CSS au JavaScript

Soma Zaidi...