picha

HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo

JINSI YA KUHOST PROJECT YAKO YA TOVUTI.

Baada ya kumaliza kutengeneza project yako saa utahitaji iwe live, iweze kuonekana mtandaoni, watu waweze kuipitia, kusoma na kuhabnarika. Huku ndiko kunaitwa kuhost. Kwa faili la HTML unaweza kulihost bure. Yapo makampuni mengi ambayo utaweza kuhost html bure kabisa kwa mfano:-

 

1.Infinityfree

2.00webhosting

3.Digitalocean

4.Google cloud

5.Firebase

 

Katika post hii nitakupa hatuwa kwa hatuwa kuhost project yako ya html. Tafadhali angalia video hii kuona jinsi utakavyofanya hatuwa kwa hatuwa. https://www.youtube.com/watch?v=JyHtRDK7QUI Hapa utajifunza kuhost kwa kutumia infinityfree. Katika masomo yetu mengine tutajifunza kuhost kwa kutumia mitandao mingine iliyotajwa hapo juu.

 

Katika Post hii nitakufundisha tu jinsi ya kuhost website kwenye mtandao wa infinityfree hivyo twende pamoja hadi mwiho. Pia unaweza kuangalia kwa video jinsi ya kuhost kwenye lin hii

 

Kuhost kwenye infinityfree

  1. Kwanza log in ama jisajili kwa link hii

Utahitajika kuwa na email amabo ni active maana watakutumia confirmation link ili uweze kuthibitisha usajili wako. Baada ya kujisajili utalogin kwenye client area.

 

  1. Baada ya kukamilisha usajili utatumiwa link kwenye email yako. Bofya hiyo link kuthibitisha akaunt yako. Moja kwa moja utalogin. Baada ya hapo Utatakiwa kutengeneza akaunt kwa ajili ya kuhost website yako. Utatakiwa kuwa na akaunt mwishho tatu tu. Hivyo basi bofya neno create account.
  2. Ukurasa mpya utakuja. Hpo angalia kuna palipoandikwa subdomaina. Weka jina la website yako unayotaka kutengeneza. kwa mfano androbongo kisha pembeni kulia kuna palipoandikwa domain extension bofya hapo kisha chaguwa .epizy.com baada ya hapo bofya search domain
  3. Utapata ujumbe kuwa success yaani umefanikiwa. Hatuwa inayofuwata weka tiki kwenye im not robot kisha bofya create accoun. Hii itakuwa hatuwa ya mwisho kisha tunakwenda kuhost website yetu.

 

  1. kisha bofya palipoandikwa open control panel. Hii ni hatuwa ya kuthibitisha akaunt yako. Ukurasa mpya utafunguka na utakuhitaki kukubali ama kukataa. Bofya palipoandikwa I Aprove. Baada ya hapo utapelekwa kwenye control panel.

 

 

  1. Hatua inayofuata rudi nyuma kwenye ukurasa wa mwanzo wa client area amba bofya link hii Hapo utaonyeshwa taarifa muhimu kuhusu akaunt yako. Bofya palipoandikwa manage account. 

 

  1. Katika hizo taarifa anngalia palipoandikwa domains and subdomain. Hapo utaona lile jina la akaunt ulioliweka likiwa na rangi ya buluu ikifuatiwa na .epizy.com hiyo itakuwa ndio link ya wensite yako.

  1. Sasa hatuwa inayofuata ni kuweka mafaili ya website yetu. Katika somo lililotangaulia tulitengeneza faili la html ambalo ndio website yetu. Sasa faili hilo kwanza tutaliita index..html kisha tutakwenda kuli upload. Kama bado hunalo nitakupestia code zake hapa chini.

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

  <head>

    <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">

    <meta charset="UTF-8">

    <title>Home Page</title>

  </head>

  <body>

    <body style="background-color:lightblue">

      <menu style="background-color:violet">

        <a href="android.html">

          <button>Android</button>

        </a>

        <a href="html.html">

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Project File: Download PDF Views 2819

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML

Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML

Soma Zaidi...
HTML - somo la 7: Vitu vya kuzingatia unapoandika HTML

Katika somo hili utajifunza sehemu muhimu katika faili la HTML kama vile tag, attribute na element

Soma Zaidi...
HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column

Soma Zaidi...
HTML somo la 17: Jinsi ya kuunganisha HTML na CSS au JavaScript

Katika somo hili utakwend akujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya Kuunganisha HTML na CSS au JavaScript

Soma Zaidi...
HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

Soma Zaidi...
HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML

Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho

Soma Zaidi...