HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo
JINSI YA KUHOST PROJECT YAKO YA TOVUTI.
Baada ya kumaliza kutengeneza project yako saa utahitaji iwe live, iweze kuonekana mtandaoni, watu waweze kuipitia, kusoma na kuhabnarika. Huku ndiko kunaitwa kuhost. Kwa faili la HTML unaweza kulihost bure. Yapo makampuni mengi ambayo utaweza kuhost html bure kabisa kwa mfano:-
1.Infinityfree
2.00webhosting
3.Digitalocean
4.Google cloud
5.Firebase
Katika post hii nitakupa hatuwa kwa hatuwa kuhost project yako ya html. Tafadhali angalia video hii kuona jinsi utakavyofanya hatuwa kwa hatuwa. https://www.youtube.com/watch?v=JyHtRDK7QUI Hapa utajifunza kuhost kwa kutumia infinityfree. Katika masomo yetu mengine tutajifunza kuhost kwa kutumia mitandao mingine iliyotajwa hapo juu.
Katika Post hii nitakufundisha tu jinsi ya kuhost website kwenye mtandao wa infinityfree hivyo twende pamoja hadi mwiho. Pia unaweza kuangalia kwa video jinsi ya kuhost kwenye lin hii
Kuhost kwenye infinityfree
- Kwanza log in ama jisajili kwa link hii
Utahitajika kuwa na email amabo ni active maana watakutumia confirmation link ili uweze kuthibitisha usajili wako. Baada ya kujisajili utalogin kwenye client area.
- Baada ya kukamilisha usajili utatumiwa link kwenye email yako. Bofya hiyo link kuthibitisha akaunt yako. Moja kwa moja utalogin. Baada ya hapo Utatakiwa kutengeneza akaunt kwa ajili ya kuhost website yako. Utatakiwa kuwa na akaunt mwishho tatu tu. Hivyo basi bofya neno create account.
- Ukurasa mpya utakuja. Hpo angalia kuna palipoandikwa subdomaina. Weka jina la website yako unayotaka kutengeneza. kwa mfano androbongo kisha pembeni kulia kuna palipoandikwa domain extension bofya hapo kisha chaguwa .epizy.com baada ya hapo bofya search domain
- Utapata ujumbe kuwa success yaani umefanikiwa. Hatuwa inayofuwata weka tiki kwenye im not robot kisha bofya create accoun. Hii itakuwa hatuwa ya mwisho kisha tunakwenda kuhost website yetu.
- kisha bofya palipoandikwa open control panel. Hii ni hatuwa ya kuthibitisha akaunt yako. Ukurasa mpya utafunguka na utakuhitaki kukubali ama kukataa. Bofya palipoandikwa I Aprove. Baada ya hapo utapelekwa kwenye control panel.
- Hatua inayofuata rudi nyuma kwenye ukurasa wa mwanzo wa client area amba bofya link hii Hapo utaonyeshwa taarifa muhimu kuhusu akaunt yako. Bofya palipoandikwa manage account.
- Katika hizo taarifa anngalia palipoandikwa domains and subdomain. Hapo utaona lile jina la akaunt ulioliweka likiwa na rangi ya buluu ikifuatiwa na .epizy.com hiyo itakuwa ndio link ya wensite yako.
- Sasa hatuwa inayofuata ni kuweka mafaili ya website yetu. Katika somo lililotangaulia tulitengeneza faili la html ambalo ndio website yetu. Sasa faili hilo kwanza tutaliita index..html kisha tutakwenda kuli upload. Kama bado hunalo nitakupestia code zake hapa chini.
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<meta charset="UTF-8">
<title>Home Page</title>
</head>
<body>
<body style="background-color:lightblue">
<menu style="background-color:violet">
<a href="android.html">
<button>Android</button>
</a>
<a href="html.html">
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kujua Kama Simu Yako Ina Virusi
Simu za kisasa zimekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Tunazitumia kuwasiliana, kufanya malipo, kuhifadhi picha, kuendesha biashara, kusoma taarifa mbalimbali na hata kufanya kazi. Kwa sababu simu zetu zina taarifa nyingi muhimu, wahalifu wa mtandao hutafuta njia za kuziathiri kwa kutumia programu hatari zinazojulikana kama virusi vya simu. Virusi kwenye simu vinaweza kusababisha matatizo mbalimbali kama simu kuwa polepole, betri kuisha haraka, matangazo yasiyoeleweka kujitokeza, matumizi makubwa ya intaneti, au hata kupotea kwa taarifa zako binafsi. Kujua dalili za simu yenye virusi mapema kunaweza kukusaidia kulinda taarifa zako na kuendelea kutumia simu yako kwa usalama. Katika makala hii utaelewa maana ya virusi vya simu, dalili zinazoonyesha kuwa simu yako inaweza kuwa imeambukizwa, sababu zinazoweza kusababisha virusi kuingia kwenye simu, na hatua unazoweza kuchukua kuiondoa na kuilinda.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kufuta Data za Simu Ukiwa Mbali
Kupoteza simu au kuibiwa kwa simu ni jambo linaloweza kumpata mtu yeyote. Simu zetu siku hizi hazitumiki tu kupiga simu na kutuma ujumbe, bali pia huhifadhi taarifa nyingi muhimu kama picha, video, namba za simu, akaunti za mitandao ya kijamii, taarifa za benki, barua pepe na nyaraka binafsi. Ikiwa simu itaangukia mikononi mwa mtu asiye mwaminifu, taarifa hizo zinaweza kutumiwa vibaya. Njia moja ya kujilinda ni kujifunza jinsi ya kufuta data za simu ukiwa mbali. Hii ina maana kwamba unaweza kuondoa taarifa zote zilizomo kwenye simu yako hata kama simu hiyo haipo karibu nawe. Njia hii husaidia kulinda faragha yako na kuzuia watu wengine kuona au kutumia taarifa zako binafsi. Katika makala hii tutajifunza maana ya kufuta data za simu ukiwa mbali, sababu za kufanya hivyo, hatua za kufuata, mambo muhimu ya kuzingatia kabla ya kufuta taarifa, pamoja na ukweli muhimu kuhusu usalama wa simu
Soma Zaidi...HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.
Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutatua Tatizo la Speaker
Spika ni kifaa kinachobadilisha mawimbi ya umeme kuwa sauti tunayosikia. Ndani ya spika kuna sumaku na utando laini unaotikisika ili kutoa sauti. Spika inapogoma kufanya kazi, vyanzo vikuu huwa ni vitatu: matatizo ya kiufundi (waya/uchafu), matatizo ya mipangilio (settings), au hitilafu za mfumo wa kompyuta/simu.Uzuri ni kwamba, matatizo mengi yanayotokea kila siku unaweza kuyatatua mwenyewe kwa kufuata hatua rahisi tulizokuandalia hapa chini
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutatua Tatizo la Mikrofoni
Je, unajaribu kupiga simu, kurekodi sauti, au kuingia kwenye mkutano wa mtandaoni lakini mikrofoni yako haifanyi kazi? Huu ni mwongozo rahisi na wa hatua kwa hatua unaoelezea jinsi ya kutatua matatizo yote ya mikrofoni kwenye simu au kompyuta yako. Tumeandika mwongozo huu kwa lugha rahisi ya Kiswahili ili kila mtu, hata asiye na ujuzi wa teknolojia, aweze kuelewa na kurekebisha kifaa chake mara moja bila kuhitaji fundi.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutatua Simu Isiyochaji
Simu yako ikikataa kuingiza umeme (kuchaji), usipaniki. Tatizo hili mara nyingi husababishwa na vitu vidogo kama uchafu kwenye tundu la chaji, kebo mbovu, au mfumo wa simu kukwama. Makala hii inakupa hatua rahisi na za haraka unazoweza kufanya nyumbani ili kutatua tatizo hili bila kulipia fundi. Utafiti unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya simu zinazodhaniwa zimekufa, hufufuliwa kwa kusafisha tundu la chaji au kubadili kifaa cha kuchajia.
Soma Zaidi...