HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo
JINSI YA KUHOST PROJECT YAKO YA TOVUTI.
Baada ya kumaliza kutengeneza project yako saa utahitaji iwe live, iweze kuonekana mtandaoni, watu waweze kuipitia, kusoma na kuhabnarika. Huku ndiko kunaitwa kuhost. Kwa faili la HTML unaweza kulihost bure. Yapo makampuni mengi ambayo utaweza kuhost html bure kabisa kwa mfano:-
1.Infinityfree
2.00webhosting
3.Digitalocean
4.Google cloud
5.Firebase
Katika post hii nitakupa hatuwa kwa hatuwa kuhost project yako ya html. Tafadhali angalia video hii kuona jinsi utakavyofanya hatuwa kwa hatuwa. https://www.youtube.com/watch?v=JyHtRDK7QUI Hapa utajifunza kuhost kwa kutumia infinityfree. Katika masomo yetu mengine tutajifunza kuhost kwa kutumia mitandao mingine iliyotajwa hapo juu.
Katika Post hii nitakufundisha tu jinsi ya kuhost website kwenye mtandao wa infinityfree hivyo twende pamoja hadi mwiho. Pia unaweza kuangalia kwa video jinsi ya kuhost kwenye lin hii
Kuhost kwenye infinityfree
- Kwanza log in ama jisajili kwa link hii
Utahitajika kuwa na email amabo ni active maana watakutumia confirmation link ili uweze kuthibitisha usajili wako. Baada ya kujisajili utalogin kwenye client area.
- Baada ya kukamilisha usajili utatumiwa link kwenye email yako. Bofya hiyo link kuthibitisha akaunt yako. Moja kwa moja utalogin. Baada ya hapo Utatakiwa kutengeneza akaunt kwa ajili ya kuhost website yako. Utatakiwa kuwa na akaunt mwishho tatu tu. Hivyo basi bofya neno create account.
- Ukurasa mpya utakuja. Hpo angalia kuna palipoandikwa subdomaina. Weka jina la website yako unayotaka kutengeneza. kwa mfano androbongo kisha pembeni kulia kuna palipoandikwa domain extension bofya hapo kisha chaguwa .epizy.com baada ya hapo bofya search domain
- Utapata ujumbe kuwa success yaani umefanikiwa. Hatuwa inayofuwata weka tiki kwenye im not robot kisha bofya create accoun. Hii itakuwa hatuwa ya mwisho kisha tunakwenda kuhost website yetu.
- kisha bofya palipoandikwa open control panel. Hii ni hatuwa ya kuthibitisha akaunt yako. Ukurasa mpya utafunguka na utakuhitaki kukubali ama kukataa. Bofya palipoandikwa I Aprove. Baada ya hapo utapelekwa kwenye control panel.
- Hatua inayofuata rudi nyuma kwenye ukurasa wa mwanzo wa client area amba bofya link hii Hapo utaonyeshwa taarifa muhimu kuhusu akaunt yako. Bofya palipoandikwa manage account.
- Katika hizo taarifa anngalia palipoandikwa domains and subdomain. Hapo utaona lile jina la akaunt ulioliweka likiwa na rangi ya buluu ikifuatiwa na .epizy.com hiyo itakuwa ndio link ya wensite yako.
- Sasa hatuwa inayofuata ni kuweka mafaili ya website yetu. Katika somo lililotangaulia tulitengeneza faili la html ambalo ndio website yetu. Sasa faili hilo kwanza tutaliita index..html kisha tutakwenda kuli upload. Kama bado hunalo nitakupestia code zake hapa chini.
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<meta charset="UTF-8">
<title>Home Page</title>
</head>
<body>
<body style="background-color:lightblue">
<menu style="background-color:violet">
<a href="android.html">
<button>Android</button>
</a>
<a href="html.html">
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 ai web app 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kutatua Tatizo la SMS Kutotumwa
Kushindwa kutuma ujumbe wa kawaida wa maandishi (SMS) ni tatizo linalowakera watu wengi kila siku. Makala hii inakueleza kwa lugha rahisi kabisa sababu zinazosababisha ujumbe wako usiende na inakupa hatua 8 rahisi za kurekebisha tatizo hili mwenyewe. Utafiti unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya matatizo haya yanatokana na mambo madogo kama kukosa salio, mtandao dhaifu, au namba za vituo vya ujumbe (SMSC) kukosewa kwenye simu yako. Kusoma mwongozo huu kutakusaidia kuokoa muda na pesa bila kulazimika kwenda kwa fundi.
Soma Zaidi...HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuzima Matangazo Yanayojitokeza Kwenye Simu
Je, umechoka kuona matangazo yanayojitokeza ghafla (pop-ups) na kukuvuruga unapotumia simu yako ya mkononi? Makala hii inakupa mwongozo rahisi sana, wa hatua kwa hatua, kuhusu jinsi ya kuzima matangazo hayo yote yanayokera kwenye simu za Android na iPhone. Mwongozo huu umeandikwa kwa lugha rahisi sana ya Kiswahili ili kila mtu, hata wale ambao hawana kabisa elimu ya shule au ujuzi mkubwa wa mambo ya teknolojia, aweze kuelewa vizuri na kusafisha simu yake leo bila msaada wa fundi. Ukisoma somo hili, utajifunza mbinu za kufunga matangazo kwenye Google Chrome, kupitia mipangilio ya ndani ya simu (Settings), na jinsi ya kung'oa programu zote za siri zinazoleta usumbufu huu.
Soma Zaidi...HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake
Somo hili linakufundisha maana ya HTML, kwa nini inatumika, na jinsi ya kuandaa simu au kompyuta yako kwa ajili ya kuanza kutengeneza tovuti. Pia tutatengeneza ukurasa wetu wa kwanza wa HTML hatua kwa hatua.
Soma Zaidi...HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.
Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML
Soma Zaidi...