HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo

JINSI YA KUHOST PROJECT YAKO YA TOVUTI.

Baada ya kumaliza kutengeneza project yako saa utahitaji iwe live, iweze kuonekana mtandaoni, watu waweze kuipitia, kusoma na kuhabnarika. Huku ndiko kunaitwa kuhost. Kwa faili la HTML unaweza kulihost bure. Yapo makampuni mengi ambayo utaweza kuhost html bure kabisa kwa mfano:-

 

1.Infinityfree

2.00webhosting

3.Digitalocean

4.Google cloud

5.Firebase

 

Katika post hii nitakupa hatuwa kwa hatuwa kuhost project yako ya html. Tafadhali angalia video hii kuona jinsi utakavyofanya hatuwa kwa hatuwa. https://www.youtube.com/watch?v=JyHtRDK7QUI Hapa utajifunza kuhost kwa kutumia infinityfree. Katika masomo yetu mengine tutajifunza kuhost kwa kutumia mitandao mingine iliyotajwa hapo juu.

 

Katika Post hii nitakufundisha tu jinsi ya kuhost website kwenye mtandao wa infinityfree hivyo twende pamoja hadi mwiho. Pia unaweza kuangalia kwa video jinsi ya kuhost kwenye lin hii

 

Kuhost kwenye infinityfree

  1. Kwanza log in ama jisajili kwa link hii

Utahitajika kuwa na email amabo ni active maana watakutumia confirmation link ili uweze kuthibitisha usajili wako. Baada ya kujisajili utalogin kwenye client area.

 

  1. Baada ya kukamilisha usajili utatumiwa link kwenye email yako. Bofya hiyo link kuthibitisha akaunt yako. Moja kwa moja utalogin. Baada ya hapo Utatakiwa kutengeneza akaunt kwa ajili ya kuhost website yako. Utatakiwa kuwa na akaunt mwishho tatu tu. Hivyo basi bofya neno create account.
  2. Ukurasa mpya utakuja. Hpo angalia kuna palipoandikwa subdomaina. Weka jina la website yako unayotaka kutengeneza. kwa mfano androbongo kisha pembeni kulia kuna palipoandikwa domain extension bofya hapo kisha chaguwa .epizy.com baada ya hapo bofya search domain
  3. Utapata ujumbe kuwa success yaani umefanikiwa. Hatuwa inayofuwata weka tiki kwenye im not robot kisha bofya create accoun. Hii itakuwa hatuwa ya mwisho kisha tunakwenda kuhost website yetu.

 

  1. kisha bofya palipoandikwa open control panel. Hii ni hatuwa ya kuthibitisha akaunt yako. Ukurasa mpya utafunguka na utakuhitaki kukubali ama kukataa. Bofya palipoandikwa I Aprove. Baada ya hapo utapelekwa kwenye control panel.

 

 

  1. Hatua inayofuata rudi nyuma kwenye ukurasa wa mwanzo wa client area amba bofya link hii Hapo utaonyeshwa taarifa muhimu kuhusu akaunt yako. Bofya palipoandikwa manage account. 

 

  1. Katika hizo taarifa anngalia palipoandikwa domains and subdomain. Hapo utaona lile jina la akaunt ulioliweka likiwa na rangi ya buluu ikifuatiwa na .epizy.com hiyo itakuwa ndio link ya wensite yako.

  1. Sasa hatuwa inayofuata ni kuweka mafaili ya website yetu. Katika somo lililotangaulia tulitengeneza faili la html ambalo ndio website yetu. Sasa faili hilo kwanza tutaliita index..html kisha tutakwenda kuli upload. Kama bado hunalo nitakupestia code zake hapa chini.

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

  <head>

    <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">

 &n">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: HTML Main: ICT File: Download PDF Views 1657

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

Soma Zaidi...
HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html

Soma Zaidi...
HTML - somo la 7: Vitu vya kuzingatia unapoandika HTML

Katika somo hili utajifunza sehemu muhimu katika faili la HTML kama vile tag, attribute na element

Soma Zaidi...
HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

Katika somo hili utajifunza maana ya HTML na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake

Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML

Soma Zaidi...
HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa.

Soma Zaidi...
HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi

Soma Zaidi...
HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML

Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML

Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.

Soma Zaidi...