Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo
JINSI YA KUHOST PROJECT YAKO YA TOVUTI.
Baada ya kumaliza kutengeneza project yako saa utahitaji iwe live, iweze kuonekana mtandaoni, watu waweze kuipitia, kusoma na kuhabnarika. Huku ndiko kunaitwa kuhost. Kwa faili la HTML unaweza kulihost bure. Yapo makampuni mengi ambayo utaweza kuhost html bure kabisa kwa mfano:-
1.Infinityfree
2.00webhosting
3.Digitalocean
4.Google cloud
5.Firebase
Katika post hii nitakupa hatuwa kwa hatuwa kuhost project yako ya html. Tafadhali angalia video hii kuona jinsi utakavyofanya hatuwa kwa hatuwa. https://www.youtube.com/watch?v=JyHtRDK7QUI Hapa utajifunza kuhost kwa kutumia infinityfree. Katika masomo yetu mengine tutajifunza kuhost kwa kutumia mitandao mingine iliyotajwa hapo juu.
Katika Post hii nitakufundisha tu jinsi ya kuhost website kwenye mtandao wa infinityfree hivyo twende pamoja hadi mwiho. Pia unaweza kuangalia kwa video jinsi ya kuhost kwenye lin hii
Kuhost kwenye infinityfree
Utahitajika kuwa na email amabo ni active maana watakutumia confirmation link ili uweze kuthibitisha usajili wako. Baada ya kujisajili utalogin kwenye client area.
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<meta charset=">...
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML
Main: Project
File: Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Views 1026
Sponsored links
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css. Soma Zaidi...
HTML - somo la 7: Vitu vya kuzingatia unapoandika HTML
Katika somo hili utajifunza sehemu muhimu katika faili la HTML kama vile tag, attribute na element Soma Zaidi...
HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi
Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi. Soma Zaidi...
HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website
Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment Soma Zaidi...
HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html Soma Zaidi...
HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi Soma Zaidi...
HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa Soma Zaidi...
HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML
Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho Soma Zaidi...
HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui
Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html Soma Zaidi...
HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column Soma Zaidi...