HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo
JINSI YA KUHOST PROJECT YAKO YA TOVUTI.
Baada ya kumaliza kutengeneza project yako saa utahitaji iwe live, iweze kuonekana mtandaoni, watu waweze kuipitia, kusoma na kuhabnarika. Huku ndiko kunaitwa kuhost. Kwa faili la HTML unaweza kulihost bure. Yapo makampuni mengi ambayo utaweza kuhost html bure kabisa kwa mfano:-
1.Infinityfree
2.00webhosting
3.Digitalocean
4.Google cloud
5.Firebase
Katika post hii nitakupa hatuwa kwa hatuwa kuhost project yako ya html. Tafadhali angalia video hii kuona jinsi utakavyofanya hatuwa kwa hatuwa. https://www.youtube.com/watch?v=JyHtRDK7QUI Hapa utajifunza kuhost kwa kutumia infinityfree. Katika masomo yetu mengine tutajifunza kuhost kwa kutumia mitandao mingine iliyotajwa hapo juu.
Katika Post hii nitakufundisha tu jinsi ya kuhost website kwenye mtandao wa infinityfree hivyo twende pamoja hadi mwiho. Pia unaweza kuangalia kwa video jinsi ya kuhost kwenye lin hii
Kuhost kwenye infinityfree
- Kwanza log in ama jisajili kwa link hii
Utahitajika kuwa na email amabo ni active maana watakutumia confirmation link ili uweze kuthibitisha usajili wako. Baada ya kujisajili utalogin kwenye client area.
- Baada ya kukamilisha usajili utatumiwa link kwenye email yako. Bofya hiyo link kuthibitisha akaunt yako. Moja kwa moja utalogin. Baada ya hapo Utatakiwa kutengeneza akaunt kwa ajili ya kuhost website yako. Utatakiwa kuwa na akaunt mwishho tatu tu. Hivyo basi bofya neno create account.
- Ukurasa mpya utakuja. Hpo angalia kuna palipoandikwa subdomaina. Weka jina la website yako unayotaka kutengeneza. kwa mfano androbongo kisha pembeni kulia kuna palipoandikwa domain extension bofya hapo kisha chaguwa .epizy.com baada ya hapo bofya search domain
- Utapata ujumbe kuwa success yaani umefanikiwa. Hatuwa inayofuwata weka tiki kwenye im not robot kisha bofya create accoun. Hii itakuwa hatuwa ya mwisho kisha tunakwenda kuhost website yetu.
- kisha bofya palipoandikwa open control panel. Hii ni hatuwa ya kuthibitisha akaunt yako. Ukurasa mpya utafunguka na utakuhitaki kukubali ama kukataa. Bofya palipoandikwa I Aprove. Baada ya hapo utapelekwa kwenye control panel.
- Hatua inayofuata rudi nyuma kwenye ukurasa wa mwanzo wa client area amba bofya link hii Hapo utaonyeshwa taarifa muhimu kuhusu akaunt yako. Bofya palipoandikwa manage account.
- Katika hizo taarifa anngalia palipoandikwa domains and subdomain. Hapo utaona lile jina la akaunt ulioliweka likiwa na rangi ya buluu ikifuatiwa na .epizy.com hiyo itakuwa ndio link ya wensite yako.
- Sasa hatuwa inayofuata ni kuweka mafaili ya website yetu. Katika somo lililotangaulia tulitengeneza faili la html ambalo ndio website yetu. Sasa faili hilo kwanza tutaliita index..html kisha tutakwenda kuli upload. Kama bado hunalo nitakupestia code zake hapa chini.
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<meta charset="UTF-8">
<title>Home Page</title>
</head>
<body>
<body style="background-color:lightblue">
<menu style="background-color:violet">
<a href="android.html">
<button>Android</button>
</a>
<a href="html.html">
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kutumia Face Unlock kwa Usalama
Teknolojia ya Face Unlock imekuwa sehemu muhimu katika simu nyingi za kisasa. Kipengele hiki humwezesha mtumiaji kufungua simu yake kwa kutumia uso badala ya kutumia nenosiri, mchoro wa kufungua simu au alama ya kidole. Ingawa Face Unlock hurahisisha matumizi ya simu na kuongeza kasi ya kufungua kifaa, ni muhimu kujua namna ya kuitumia kwa usalama ili kulinda taarifa binafsi. Katika dunia ya sasa ambapo simu huhifadhi taarifa nyingi kama picha, ujumbe, akaunti za mitandao ya kijamii, taarifa za benki na nyaraka muhimu, usalama wa simu ni jambo la msingi. Kutumia Face Unlock bila kuelewa mipangilio yake kunaweza kuweka taarifa zako katika hatari. Makala hii inaelezea maana ya Face Unlock, jinsi inavyofanya kazi, faida zake, changamoto zake na hatua muhimu za kuitumia kwa usalama zaidi.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kufanya Backup ya Simu
Simu ya mkononi imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha yetu ya kila siku. Tunatumia simu kuhifadhi namba za watu tunaowajua, picha za familia, video muhimu, ujumbe, nyaraka, programu na taarifa nyingine nyingi. Lakini tatizo linaweza kutokea wakati wowote. Simu inaweza kupotea, kuharibika, kuibiwa au kufutika taarifa zake kwa bahati mbaya. Hapo ndipo umuhimu wa kufanya backup ya simu unapokuwa mkubwa. Backup ya simu ni njia ya kutengeneza nakala ya taarifa zako muhimu na kuzihifadhi sehemu salama ili uweze kuzirudisha pale unapohitaji. Kwa kufanya backup mara kwa mara, unapunguza hatari ya kupoteza vitu muhimu vilivyokuwa kwenye simu yako. Katika makala hii tutajifunza maana ya backup ya simu, umuhimu wake, njia mbalimbali za kufanya backup kwenye simu za Android na iPhone, vitu vinavyoweza kuhifadhiwa, makosa ya kuepuka na hatua rahisi ambazo kila mtu anaweza kufuata hata kama hana ujuzi mkubwa wa teknolojia.
Soma Zaidi...Sababu Zinazofanya Betri Iishe Haraka
Betri ni sehemu muhimu sana ya simu, kompyuta mpakato, saa janja na vifaa vingine vya kielektroniki. Hata hivyo, watu wengi hukutana na tatizo la betri kuisha haraka bila kujua chanzo chake. Wakati mwingine tatizo halitokani na ubora wa simu au betri, bali hutokana na namna kifaa kinavyotumika kila siku. Katika makala hii utajifunza sababu kuu zinazofanya betri iishe haraka, jinsi ya kutambua tatizo, pamoja na njia rahisi za kuongeza muda wa matumizi ya betri. Maelezo haya yameandikwa kwa lugha rahisi ili kila mtu ayaelewe, hata kama hana ujuzi wa teknolojia.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutatua Tatizo la Speaker
Spika ni kifaa kinachobadilisha mawimbi ya umeme kuwa sauti tunayosikia. Ndani ya spika kuna sumaku na utando laini unaotikisika ili kutoa sauti. Spika inapogoma kufanya kazi, vyanzo vikuu huwa ni vitatu: matatizo ya kiufundi (waya/uchafu), matatizo ya mipangilio (settings), au hitilafu za mfumo wa kompyuta/simu.Uzuri ni kwamba, matatizo mengi yanayotokea kila siku unaweza kuyatatua mwenyewe kwa kufuata hatua rahisi tulizokuandalia hapa chini
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuweka Password Imara
Katika maisha ya kisasa, matumizi ya simu janja na intaneti yamekuwa sehemu muhimu ya shughuli zetu za kila siku. Watu hutumia akaunti za mtandaoni kwa mawasiliano, biashara, masomo, huduma za kifedha na kuhifadhi taarifa binafsi. Kila akaunti inahitaji ulinzi, na njia ya kwanza ya ulinzi ni kutumia password au nenosiri imara. Password imara husaidia kuzuia watu wasio na ruhusa kuingia kwenye akaunti zako na kutumia taarifa zako vibaya. Hata hivyo, watu wengi bado hutumia password rahisi kama majina yao, tarehe za kuzaliwa au namba zinazofuatana kama 123456. Aina hii ya password ni rahisi kugunduliwa na inaweza kuweka taarifa zako katika hatari. Makala hii inaeleza kwa lugha rahisi jinsi ya kuweka password imara, umuhimu wa kuwa na nenosiri salama, makosa ya kuepuka na njia bora za kulinda akaunti zako mtandaoni. Lengo ni kumsaidia kila mtu, hata asiye na ujuzi mkubwa wa teknolojia, kuelewa na kutumia njia rahisi za kuongeza usalama wa taarifa zake
Soma Zaidi...HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi
Soma Zaidi...