HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo
JINSI YA KUHOST PROJECT YAKO YA TOVUTI.
Baada ya kumaliza kutengeneza project yako saa utahitaji iwe live, iweze kuonekana mtandaoni, watu waweze kuipitia, kusoma na kuhabnarika. Huku ndiko kunaitwa kuhost. Kwa faili la HTML unaweza kulihost bure. Yapo makampuni mengi ambayo utaweza kuhost html bure kabisa kwa mfano:-
1.Infinityfree
2.00webhosting
3.Digitalocean
4.Google cloud
5.Firebase
Katika post hii nitakupa hatuwa kwa hatuwa kuhost project yako ya html. Tafadhali angalia video hii kuona jinsi utakavyofanya hatuwa kwa hatuwa. https://www.youtube.com/watch?v=JyHtRDK7QUI Hapa utajifunza kuhost kwa kutumia infinityfree. Katika masomo yetu mengine tutajifunza kuhost kwa kutumia mitandao mingine iliyotajwa hapo juu.
Katika Post hii nitakufundisha tu jinsi ya kuhost website kwenye mtandao wa infinityfree hivyo twende pamoja hadi mwiho. Pia unaweza kuangalia kwa video jinsi ya kuhost kwenye lin hii
Kuhost kwenye infinityfree
- Kwanza log in ama jisajili kwa link hii
Utahitajika kuwa na email amabo ni active maana watakutumia confirmation link ili uweze kuthibitisha usajili wako. Baada ya kujisajili utalogin kwenye client area.
- Baada ya kukamilisha usajili utatumiwa link kwenye email yako. Bofya hiyo link kuthibitisha akaunt yako. Moja kwa moja utalogin. Baada ya hapo Utatakiwa kutengeneza akaunt kwa ajili ya kuhost website yako. Utatakiwa kuwa na akaunt mwishho tatu tu. Hivyo basi bofya neno create account.
- Ukurasa mpya utakuja. Hpo angalia kuna palipoandikwa subdomaina. Weka jina la website yako unayotaka kutengeneza. kwa mfano androbongo kisha pembeni kulia kuna palipoandikwa domain extension bofya hapo kisha chaguwa .epizy.com baada ya hapo bofya search domain
- Utapata ujumbe kuwa success yaani umefanikiwa. Hatuwa inayofuwata weka tiki kwenye im not robot kisha bofya create accoun. Hii itakuwa hatuwa ya mwisho kisha tunakwenda kuhost website yetu.
- kisha bofya palipoandikwa open control panel. Hii ni hatuwa ya kuthibitisha akaunt yako. Ukurasa mpya utafunguka na utakuhitaki kukubali ama kukataa. Bofya palipoandikwa I Aprove. Baada ya hapo utapelekwa kwenye control panel.
- Hatua inayofuata rudi nyuma kwenye ukurasa wa mwanzo wa client area amba bofya link hii Hapo utaonyeshwa taarifa muhimu kuhusu akaunt yako. Bofya palipoandikwa manage account.
- Katika hizo taarifa anngalia palipoandikwa domains and subdomain. Hapo utaona lile jina la akaunt ulioliweka likiwa na rangi ya buluu ikifuatiwa na .epizy.com hiyo itakuwa ndio link ya wensite yako.
- Sasa hatuwa inayofuata ni kuweka mafaili ya website yetu. Katika somo lililotangaulia tulitengeneza faili la html ambalo ndio website yetu. Sasa faili hilo kwanza tutaliita index..html kisha tutakwenda kuli upload. Kama bado hunalo nitakupestia code zake hapa chini.
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<meta charset="UTF-8">
<title>Home Page</title>
</head>
<body>
<body style="background-color:lightblue">
<menu style="background-color:violet">
<a href="android.html">
<button>Android</button>
</a>
<a href="html.html">
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kufuta Data za Simu Ukiwa Mbali
Kupoteza simu au kuibiwa kwa simu ni jambo linaloweza kumpata mtu yeyote. Simu zetu siku hizi hazitumiki tu kupiga simu na kutuma ujumbe, bali pia huhifadhi taarifa nyingi muhimu kama picha, video, namba za simu, akaunti za mitandao ya kijamii, taarifa za benki, barua pepe na nyaraka binafsi. Ikiwa simu itaangukia mikononi mwa mtu asiye mwaminifu, taarifa hizo zinaweza kutumiwa vibaya. Njia moja ya kujilinda ni kujifunza jinsi ya kufuta data za simu ukiwa mbali. Hii ina maana kwamba unaweza kuondoa taarifa zote zilizomo kwenye simu yako hata kama simu hiyo haipo karibu nawe. Njia hii husaidia kulinda faragha yako na kuzuia watu wengine kuona au kutumia taarifa zako binafsi. Katika makala hii tutajifunza maana ya kufuta data za simu ukiwa mbali, sababu za kufanya hivyo, hatua za kufuata, mambo muhimu ya kuzingatia kabla ya kufuta taarifa, pamoja na ukweli muhimu kuhusu usalama wa simu
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutatua Tatizo la Simu Kutopiga Simu
Kama simu yako haipigi au haipokei simu, usipaniki. Mara nyingi tatizo hili linasababishwa na mambo madogo unayoweza kuyarekebisha mwenyewe nyumbani. Angalia salio na bando lako, washa na uzime mfumo wa ndege (Airplane Mode), au zima simu na kuiwasha tena. Kama hayo hayajasaidia, hakikisha laini yako (SIM card) imekaa vizuri au wasiliana na kampuni yako ya simu. Kwenye makala hii, tutaenda hatua kwa hatua kwa lugha rahisi kabisa ili urudishe simu yako kwenye hali ya kawaida haraka
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuhamisha Data Kati ya Simu Mbili
Kubadilisha simu mpya ni jambo la kufurahisha, lakini watu wengi hupata changamoto wanapofikiria jinsi ya kuhamisha taarifa zao kutoka simu ya zamani kwenda simu mpya. Data muhimu kama picha, video, namba za simu, ujumbe, nyaraka, programu na mipangilio inaweza kuonekana kuwa ngumu kuhamisha, hasa kwa mtu ambaye hajawahi kufanya zoezi hilo. Habari njema ni kwamba leo kuna njia rahisi na salama za kuhamisha data kati ya simu mbili bila kupoteza taarifa muhimu. Unaweza kutumia intaneti, huduma za kuhifadhi taarifa mtandaoni, kebo maalumu, Bluetooth au programu zinazosaidia kufanya uhamishaji huo kwa haraka. Makala hii inaelezea hatua kwa hatua jinsi ya kuhamisha data kati ya simu mbili kwa njia rahisi ambayo kila mtu anaweza kuelewa, hata kama hana elimu kubwa ya teknolojia.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kuhifadhi Namba za Simu
Kuhifadhi namba za simu ni hatua muhimu inayomsaidia mtu kulinda mawasiliano yake na kuepuka usumbufu unaoweza kutokea wakati simu inapopotea, kuharibika au kubadilishwa. Namba za simu za familia, marafiki, wateja na watu muhimu zina thamani kubwa kwa sababu zinatusaidia kuendelea kuwasiliana na kufanya shughuli zetu za kila siku. Katika makala hii tutajifunza njia mbalimbali za kuhifadhi namba za simu kwa usalama, jinsi ya kupanga majina ya watu kwenye simu, namna ya kuhamisha namba kwenda kwenye simu mpya, pamoja na makosa ambayo watu wengi hufanya wakati wa kuhifadhi mawasiliano yao. Maelezo haya yameandikwa kwa lugha rahisi ili kila mtu aweze kuelewa na kutumia njia hizi bila kuwa na ujuzi mkubwa wa teknolojia.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kujua Kama Wi-Fi Ni Salama
Wi-Fi imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Tunaitumia kuingia kwenye mitandao ya kijamii, kutuma ujumbe, kufanya biashara mtandaoni, kusoma, kutazama video na hata kufanya malipo. Lakini pamoja na faida zake nyingi, Wi-Fi inaweza kuwa hatari ikiwa haijalindwa vizuri. Mtandao wa Wi-Fi usio salama unaweza kuruhusu watu wasiohusika kuona taarifa zako binafsi, kuiba nywila zako au kutumia intaneti yako bila ruhusa. Kujua kama Wi-Fi ni salama ni jambo muhimu kwa kila mtu anayemiliki simu, kompyuta au kifaa kingine kinachounganishwa na intaneti. Makala hii inaeleza kwa lugha rahisi jinsi ya kutambua Wi-Fi salama, dalili za Wi-Fi hatari, hatua za kulinda mtandao wako na mambo muhimu ya kuzingatia ili kutumia intaneti kwa usalama
Soma Zaidi...Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.
Soma Zaidi...