HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML

HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML

Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML

Download Post hii hapa

SEHEMU KUU ZA FAILI LA HTML
<head>, <header> na <footer>
Katika website sehemu hizi zina kazi ya kuweza kutambulisha zaidi website na mahusiano kati ya ukurasa na ukurasa. Sehemu hizi ni muhimu kwa SEO na wanaotaka kuichunguza blog ama website. Katika somo hili tutakwenda kuangalia sehemu hizi, na jinsi ya kuzitengeneza ama kuziwekea maudhui.

1.<head>
Shemehu hii inakaa taarifa muhimu kuhusu ukurasa. Taarifa hizi unawezakuziita metadata. Kwa mfano hapa unaweza kuweka taarifa hizi:-
A.Jina la faili kulingana na maudhui
B.Jina la mwandishi
C.Muhtasari kuhusu maudui
D.Character set
E.Viungo vingine muhimu kama link za style za nje
F.Taarifa kuhusu ukubwa wa kifaa kitakachofunguwa faili husika.
G.Icon n.k

Kwa mfano unaweza kuweka taarifa hizo 
<head>
<meta charset="utf-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">
<meta name="author" content="jina la mwandishi">
<meta name="description" content="weka muhtasari hapa">
<title>weka Title hapa</title>
</head>

2.<header> hii ni sehemu ya juu kabisa ama ya mwanzo. Sehemu hii ndio ambapo menu hukaa. Sehemu hii ndio inatakiwa ikae mwanza tu ndani ya tag ya <body> . tag ya <menu> inatakiwa ikae hapa ndani ya <header>. kwa ufupi <header> ni kama section ambazo hubeba tag nyingine ndani ake. Kama tulivyoona matumizi ya <div> katika masomo yaliyotangulia.

Kuweka menu tunatumia tag ya <menu> tag hii tutaiweka kwenye section ya <header> tunaweza kutumia style ili kubresha muonekano wa menu yetu. Tunaweza kutumia batanina link ili kuunganisha ukurasa mmoja na mwingine. Kwa mfano:-
<html>
<style>
menu {background-color: black;}
a {color: red;
 text-decoration: none;
 }
 button {font-size: x-large;}
</style>
<heade>
 <menu>
        <button><a href="#">PHP&l">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: HTML Main: ICT File: Download PDF Views 442

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column

Soma Zaidi...
HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi
HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML

Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.

Soma Zaidi...
HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi
HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi

Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.

Soma Zaidi...
HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML
HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML

Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho

Soma Zaidi...
HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo

Soma Zaidi...
HTML somo la 17: Jinsi ya kuunganisha HTML na CSS au JavaScript
HTML somo la 17: Jinsi ya kuunganisha HTML na CSS au JavaScript

Katika somo hili utakwend akujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya Kuunganisha HTML na CSS au JavaScript

Soma Zaidi...
HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html
HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html

Soma Zaidi...
HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake
HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

Katika somo hili utajifunza maana ya HTML na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake
HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake

Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML

Soma Zaidi...