HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML
Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML
SEHEMU KUU ZA FAILI LA HTML
<head>, <header> na <footer>
Katika website sehemu hizi zina kazi ya kuweza kutambulisha zaidi website na mahusiano kati ya ukurasa na ukurasa. Sehemu hizi ni muhimu kwa SEO na wanaotaka kuichunguza blog ama website. Katika somo hili tutakwenda kuangalia sehemu hizi, na jinsi ya kuzitengeneza ama kuziwekea maudhui.
1.<head>
Shemehu hii inakaa taarifa muhimu kuhusu ukurasa. Taarifa hizi unawezakuziita metadata. Kwa mfano hapa unaweza kuweka taarifa hizi:-
A.Jina la faili kulingana na maudhui
B.Jina la mwandishi
C.Muhtasari kuhusu maudui
D.Character set
E.Viungo vingine muhimu kama link za style za nje
F.Taarifa kuhusu ukubwa wa kifaa kitakachofunguwa faili husika.
G.Icon n.k
Kwa mfano unaweza kuweka taarifa hizo
<head>
<meta charset="utf-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">
<meta name="author" content="jina la mwandishi">
<meta name="description" content="weka muhtasari hapa">
<title>weka Title hapa</title>
</head>
2.<header> hii ni sehemu ya juu kabisa ama ya mwanzo. Sehemu hii ndio ambapo menu hukaa. Sehemu hii ndio inatakiwa ikae mwanza tu ndani ya tag ya <body> . tag ya <menu> inatakiwa ikae hapa ndani ya <header>. kwa ufupi <header> ni kama section ambazo hubeba tag nyingine ndani ake. Kama tulivyoona matumizi ya <div> katika masomo yaliyotangulia.
Kuweka menu tunatumia tag ya <menu> tag hii tutaiweka kwenye section ya <header> tunaweza kutumia style ili kubresha muonekano wa menu yetu. Tunaweza kutumia batanina link ili kuunganisha ukurasa mmoja na mwingine. Kwa mfano:-
<html>
<style>
menu {background-color: black;}
a {color: red;
text-decoration: none;
}
button {font-size: x-large;}
</style>
<heade>
<menu>
<button><a href="#">PHP</a></button>
<button><a href="#">HTML</a></button>
<button...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 ai web app 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML
Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho
Soma Zaidi...Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutafuta Simu Iliyopotea
Kupoteza simu ni jambo linaloweza kumpata mtu yeyote wakati wowote. Simu ya kisasa si kifaa cha kupigia simu tu, bali pia huhifadhi picha, namba za watu unaowasiliana nao, ujumbe, taarifa za benki, akaunti za mitandao ya kijamii na taarifa nyingine muhimu. Ndiyo maana kupoteza simu kunaweza kusababisha usumbufu mkubwa na hata hatari ya taarifa binafsi kuibiwa. Habari njema ni kwamba kuna njia mbalimbali zinazoweza kukusaidia kuitafuta simu iliyopotea. Unaweza kutumia huduma zilizopo ndani ya simu kama vile programu za kuitafuta simu, kutumia namba ya simu, kuwasiliana na kampuni ya mtandao, au kutumia taarifa za mwisho zilipoonekana. Makala hii inaeleza hatua kwa hatua jinsi ya kutafuta simu iliyopotea kwa njia rahisi ambayo kila mtu anaweza kuelewa.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kusakinisha (Install) App kwa Usalama
Siku hizi simu za mkononi zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku. Tunazitumia kuwasiliana, kufanya biashara, kusoma, kulipa bili, kutazama video, kusikiliza muziki na hata kuhifadhi taarifa muhimu. Ili simu iweze kufanya kazi hizi, tunahitaji kusakinisha (install) programu mbalimbali zinazojulikana kama app. Lakini si kila app ni salama. Baadhi ya app zinaweza kuiba taarifa zako binafsi, kuharibu simu, kuonyesha matangazo mengi yasiyofaa au hata kusababisha akaunti zako kuporwa. Ndiyo maana ni muhimu kujifunza jinsi ya kusakinisha app kwa usalama. Katika makala hii utajifunza hatua zote muhimu za kusakinisha app kwa usalama, namna ya kutambua app halisi, mambo ya kuzingatia kabla na baada ya kusakinisha app, pamoja na makosa ambayo watu wengi hufanya bila kujua.
Soma Zaidi...Je, Kuchaji Simu Usiku Kucha Ni Salama?
Je, ni salama kuacha simu kwenye chaji usiku kucha unapolala? Watu wengi wanaamini kuwa tabia hii inalipua simu au kuharibu betri kabisa. Katika makala hii, utajifunza ukweli wa kisayansi kuhusu simu za kisasa, jinsi mifumo ya usalama inavyofanya kazi, na mbinu rahisi za kurefusha maisha ya betri yako bila hofu. Soma ujue jinsi ya kulinda simu yako leo!
Soma Zaidi...HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column
Soma Zaidi...