HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML
Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML
SEHEMU KUU ZA FAILI LA HTML
<head>, <header> na <footer>
Katika website sehemu hizi zina kazi ya kuweza kutambulisha zaidi website na mahusiano kati ya ukurasa na ukurasa. Sehemu hizi ni muhimu kwa SEO na wanaotaka kuichunguza blog ama website. Katika somo hili tutakwenda kuangalia sehemu hizi, na jinsi ya kuzitengeneza ama kuziwekea maudhui.
1.<head>
Shemehu hii inakaa taarifa muhimu kuhusu ukurasa. Taarifa hizi unawezakuziita metadata. Kwa mfano hapa unaweza kuweka taarifa hizi:-
A.Jina la faili kulingana na maudhui
B.Jina la mwandishi
C.Muhtasari kuhusu maudui
D.Character set
E.Viungo vingine muhimu kama link za style za nje
F.Taarifa kuhusu ukubwa wa kifaa kitakachofunguwa faili husika.
G.Icon n.k
Kwa mfano unaweza kuweka taarifa hizo
<head>
<meta charset="utf-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">
<meta name="author" content="jina la mwandishi">
<meta name="description" content="weka muhtasari hapa">
<title>weka Title hapa</title>
</head>
2.<header> hii ni sehemu ya juu kabisa ama ya mwanzo. Sehemu hii ndio ambapo menu hukaa. Sehemu hii ndio inatakiwa ikae mwanza tu ndani ya tag ya <body> . tag ya <menu> inatakiwa ikae hapa ndani ya <header>. kwa ufupi <header> ni kama section ambazo hubeba tag nyingine ndani ake. Kama tulivyoona matumizi ya <div> katika masomo yaliyotangulia.
Kuweka menu tunatumia tag ya <menu> tag hii tutaiweka kwenye section ya <header> tunaweza kutumia style ili kubresha muonekano wa menu yetu. Tunaweza kutumia batanina link ili kuunganisha ukurasa mmoja na mwingine. Kwa mfano:-
<html>
<style>
menu {background-color: black;}
a {color: red;
text-decoration: none;
}
button {font-size: x-large;}
</style>
<heade>
<menu>
<button><a href="#">PHP</a></button>
<button><a href="#">HTML</a></button>
<button...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 web hosting 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kutatua Tatizo la Speaker
Spika ni kifaa kinachobadilisha mawimbi ya umeme kuwa sauti tunayosikia. Ndani ya spika kuna sumaku na utando laini unaotikisika ili kutoa sauti. Spika inapogoma kufanya kazi, vyanzo vikuu huwa ni vitatu: matatizo ya kiufundi (waya/uchafu), matatizo ya mipangilio (settings), au hitilafu za mfumo wa kompyuta/simu.Uzuri ni kwamba, matatizo mengi yanayotokea kila siku unaweza kuyatatua mwenyewe kwa kufuata hatua rahisi tulizokuandalia hapa chini
Soma Zaidi...HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo
Soma Zaidi...Jinsi ya Kurejesha Backup ya Simu
Umewahi kupoteza picha, video, majina ya watu, au mazungumzo muhimu baada ya simu kuharibika, kuibiwa, au kufanya factory reset? Hali hii huwatokea watu wengi, lakini habari njema ni kwamba unaweza kuvirejesha ikiwa uliwahi kutengeneza backup ya simu yako. Katika makala hii utajifunza backup ya simu ni nini, kwa nini ni muhimu, jinsi ya kurejesha backup kwenye simu za Android na iPhone, matatizo yanayoweza kujitokeza wakati wa kurejesha backup, pamoja na njia za kuyatatua. Mwisho wa makala hii utakuwa na uelewa wa kutosha wa jinsi ya kurudisha taarifa zako kwa usalama na kwa urahisi.
Soma Zaidi...HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi
Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.
Soma Zaidi...Faida za Screen Protector
Screen Protector ni kifaa chembamba kinachowekwa juu ya skrini ya simu ili kuilinda dhidi ya mikwaruzo, mipasuko na uharibifu mwingine unaoweza kutokea wakati wa matumizi ya kila siku. Watu wengi hununua simu za gharama kubwa lakini husahau kulinda sehemu muhimu zaidi ya simu hiyo, ambayo ni skrini. Makala hii inaelezea kwa kina faida za Screen Protector, aina zake, jinsi ya kuchagua inayofaa, na sababu zinazofanya iwe uwekezaji muhimu kwa kila mwenye simu.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutuma Faili Bila Intaneti
Kutuma faili bila kutumia intaneti ni njia rahisi ya kuhamisha picha, video, nyaraka, programu au aina nyingine za taarifa kutoka kifaa kimoja kwenda kingine bila kutumia data ya simu au Wi-Fi. Watu wengi wanafikiri kuwa lazima uwe na intaneti ili kutuma faili, lakini ukweli ni kwamba kuna njia mbalimbali zinazokuwezesha kufanya hivyo kwa kutumia teknolojia zilizopo kwenye simu, kompyuta au vifaa vingine. Njia hizi zinaweza kusaidia sana pale ambapo hakuna mtandao, data imeisha, au unataka kutuma faili kwa haraka bila kusubiri kupakua kupitia huduma za mtandaoni. Katika makala hii tutajifunza njia mbalimbali za kutuma faili bila intaneti, jinsi zinavyofanya kazi, faida zake, changamoto zake, na mambo muhimu ya kuzingatia ili kuhakikisha faili zako zinatumwa salama.
Soma Zaidi...