HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi

HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi

Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Karibu tena kwenye mafunzo ya HTML. Na hili ni somo la tatu. Kama bado hujalipata somo la kwanza na la pili, tumia link hapo chini kufunguwa masomo hayo. Katika somo hili la tatu tutakwenda kuelezea baadhi ya tag za HTML ambazo hutumika mara nyingi katika kuandika makala.

 

Katika somo lililopita tuliona maana ya tag, na namna ambavyo tag hufanya kazi. Tag zipo za kufungua ambazo huanzwa na alama hii < na zipo tag za kufunga ambazo huanzwa na alama hizi </. pia katika somo lililotangulia tuliona maana ya element katika html. Element tuliona kuwa ni mkusanyiko wa tag na maudhui yaliyo ndani ya tag kwa mfano <p> hello </p> katika code hii kuna tag ya kufungua ambayo ni <p> na kuna maudhui ambayo ni “hello” pia kuna tag ya kufunga ambayo ni </p> kwa pamoja tunapata element.

 

Tag zipo nyingi sana ambazo tunazitumia katika uandishi. Kama unavyotumia microsoft katika kuandika basi kula unachokifanya pale kuna tag yake. Kwa mfano unapopigia msitari, kuna tag ya kufanya hivyo. N.k

 

TAG 25 MUHIMU KATIKA UANDISHI

  1. <h1> kwa ajili ya heading. Tag hizi huanzia <h1> hadi <h6>
  2. <p> kwa ajili ya kuandika paragraph
  3. <b> kwa ajili ya kubold
  4. <u> kwa ajili ya kupigia msitari
  5. <hr> kupiga msitari kwenye faili, bila ya kupigia herufi maalumu
  6. <i> kwa ajili ya kufanya italic
  7. <sup> kwa ajili ya kuandika vipeo na vipeuo 
  8. <sub> kuandika kama vipeua vile vya chini kama unavyoandika alama za kiemikali
  9. <code> kwa ajili ya kuandika code text
  10. <tt> kwa ajili ya kuandika tipewriter text
  11. <small> kwa ajili ya kuandika maandishi madogo
  12. <em> kwa ajili ya kuwekea mkazo maandishi (hufanana na kubold)
  13. <strong>Kwa ajili ya kusisitiza zaidi (hufanana na kubold)
  14. <mark>Kwa ajili ya kuma">...

    Download Post hii hapa

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: HTML Main: ICT File: Download PDF Views 909

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

    Post zinazofanana:

    HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html
    HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html

    Soma Zaidi...
    HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website
    HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

    Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi
    HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi

    Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML
    HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa.

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML
    HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML

    Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML

    Soma Zaidi...
    Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
    Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML

    Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.

    Soma Zaidi...
    HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag  kwenye website.
    HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.

    Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui
    HTML - somo la 9: Jinsi ya kutumia tag za HTML katika uandishi wa maudhui

    Katika somo hili utakwenda kuona jinsi ya kuzitumia tag balimbali za html

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
    HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo

    Soma Zaidi...