picha

HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi

Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.

Karibu tena kwenye mafunzo ya HTML. Na hili ni somo la tatu. Kama bado hujalipata somo la kwanza na la pili, tumia link hapo chini kufunguwa masomo hayo. Katika somo hili la tatu tutakwenda kuelezea baadhi ya tag za HTML ambazo hutumika mara nyingi katika kuandika makala.

 

Katika somo lililopita tuliona maana ya tag, na namna ambavyo tag hufanya kazi. Tag zipo za kufungua ambazo huanzwa na alama hii < na zipo tag za kufunga ambazo huanzwa na alama hizi </. pia katika somo lililotangulia tuliona maana ya element katika html. Element tuliona kuwa ni mkusanyiko wa tag na maudhui yaliyo ndani ya tag kwa mfano <p> hello </p> katika code hii kuna tag ya kufungua ambayo ni <p> na kuna maudhui ambayo ni “hello” pia kuna tag ya kufunga ambayo ni </p> kwa pamoja tunapata element.

 

Tag zipo nyingi sana ambazo tunazitumia katika uandishi. Kama unavyotumia microsoft katika kuandika basi kula unachokifanya pale kuna tag yake. Kwa mfano unapopigia msitari, kuna tag ya kufanya hivyo. N.k

 

TAG 25 MUHIMU KATIKA UANDISHI

  1. <h1> kwa ajili ya heading. Tag hizi huanzia <h1> hadi <h6>
  2. <p> kwa ajili ya kuandika paragraph
  3. <b> kwa ajili ya kubold
  4. <u> kwa ajili ya kupigia msitari
  5. <hr> kupiga msitari kwenye faili, bila ya kupigia herufi maalumu
  6. <i> kwa ajili ya kufanya italic
  7. <sup> kwa ajili ya kuandika vipeo na vipeuo 
  8. <sub> kuandika kama vipeua vile vya chini kama unavyoandika alama za kiemikali
  9. <code> kwa ajili ya kuandika code text
  10. <tt> kwa ajili ya kuandika tipewriter text
  11. <small> kwa ajili ya kuandika maandishi madogo
  12. <em> kwa ajili ya kuwekea mkazo maandishi (hufanana na kubold)
  13. <strong>Kwa ajili ya kusisitiza zaidi (hufanana na kubold)
  14. <mark>Kwa ajili ya kuma">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-17 Topic: HTML Main: ICT File: Download PDF Views 1349

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

    Post zinazofanana:

    HTML - somo la 1: Maana ya HTML na kazi zake

    Somo hili linakufundisha maana ya HTML, kwa nini inatumika, na jinsi ya kuandaa simu au kompyuta yako kwa ajili ya kuanza kutengeneza tovuti. Pia tutatengeneza ukurasa wetu wa kwanza wa HTML hatua kwa hatua.

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi

    Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake

    Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa.

    Soma Zaidi...
    HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website

    Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML

    Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho

    Soma Zaidi...
    HTML - somo la 7: Vitu vya kuzingatia unapoandika HTML

    Katika somo hili utajifunza sehemu muhimu katika faili la HTML kama vile tag, attribute na element

    Soma Zaidi...
    HTML somo la 17: Jinsi ya kuunganisha HTML na CSS au JavaScript

    Katika somo hili utakwend akujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya Kuunganisha HTML na CSS au JavaScript

    Soma Zaidi...