image

HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi

Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi.

Karibu tena kwenye mafunzo ya HTML. Na hili ni somo la tatu. Kama bado hujalipata somo la kwanza na la pili, tumia link hapo chini kufunguwa masomo hayo. Katika somo hili la tatu tutakwenda kuelezea baadhi ya tag za HTML ambazo hutumika mara nyingi katika kuandika makala.

 

Katika somo lililopita tuliona maana ya tag, na namna ambavyo tag hufanya kazi. Tag zipo za kufungua ambazo huanzwa na alama hii < na zipo tag za kufunga ambazo huanzwa na alama hizi </. pia katika somo lililotangulia tuliona maana ya element katika html. Element tuliona kuwa ni mkusanyiko wa tag na maudhui yaliyo ndani ya tag kwa mfano <p> hello </p> katika code hii kuna tag ya kufungua ambayo ni <p> na kuna maudhui ambayo ni “hello” pia kuna tag ya kufunga ambayo ni </p> kwa pamoja tunapata element.

 

Tag zipo nyingi sana ambazo tunazitumia katika uandishi. Kama unavyotumia microsoft katika kuandika basi kula unachokifanya pale kuna tag yake. Kwa mfano unapopigia msitari, kuna tag ya kufanya hivyo. N.k

 

TAG 25 MUHIMU KATIKA UANDISHI

  1. <h1> kwa ajili ya heading. Tag hizi huanzia <h1> hadi <h6>
  2. <p> kwa ajili ya kuandika paragraph
  3. <b> kwa ajili ya kubold
  4. <u> kwa ajili ya kupigia msitari
  5. <hr> kupiga msitari kwenye faili, bila ya kupigia herufi maalumu
  6. <i> kwa ajili ya kufanya italic
  7. <sup> kwa ajili ya kuandika vipeo na vipeuo 
  8. <sub> kuandika kama vipeua vile vya chini kama unavyoandika alama za kiemikali
  9. <code> kwa ajili ya kuandika code text
  10. <tt> kwa ajili ya kuandika tipewriter text
  11. <small> kwa ajili ya kuandika maandishi madogo
  12. <em> kwa ajili ya kuwekea mkazo maandishi (hufanana na kubold)
  13. <strong>Kwa ajili ya kusisitiza zaidi (hufanana na kubold)
  14. <mark>Kwa ajili ya kumark maandishi
  15. <s>kwa a">...



    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 472


    Sponsored links
    👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

    Post zifazofanana:-

    HTML - somo la 8: Mgawanyiko wa Tag za HTML na kazi zake
    Katika somo hili tunakwenda kugawanya tag za HTML, pia nitakwenda kukuletea tag 70 za HTML Soma Zaidi...

    HTML - somo la 11: Jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye html
    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka style mbalimbali kwenye ukurasa wa html Soma Zaidi...

    HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.
    Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML Soma Zaidi...

    HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML
    Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML Soma Zaidi...

    HTML - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza website kwa kutumia HTML
    Katika somo hili tutakwenda kutengeneza website yetu kutoka mwanzo hadi mwisho Soma Zaidi...

    HTML - somo la 6: Jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la HTML
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka menyu kwenye faili la html na kuweka rangi ya background. Pia utajifunza kufanya ukurasa uwe responsive yaani uendani na ukubwa wa kifaa. Soma Zaidi...

    HTML - somo la 13: Jinsi ya kugawa ukurasa wa HTML
    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kugawanya ukurasa wa HTML katika column Soma Zaidi...

    HTML - somo la 16: Jinsi ya ku host website bure
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website yako bila malipo Soma Zaidi...

    HTML - somo la 14: Hatua za kutengeneza website
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza website hatuwa kwa hatuwa Soma Zaidi...

    HTML - somo la 10: Maana ya HTML attribute na jinsi zinavyofanya kazi
    Katika somo hili utakwenda kijifunza kuhusu HTML attributes na jinsi ambavyo zinafanya kazi Soma Zaidi...

    HTML - somo la 3: Tags za HTML zinazotumiwa katika uandishi
    Katika somo hili nitakuletea orodhabya tag 25 za html ambazo hugumiwa katikabuandishi. Soma Zaidi...

    Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
    Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css. Soma Zaidi...