Vyakula vya vitamini B na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI B
- Nyama
- Mapalachichi
- Mboga za majani
- Mimea jamii ya karanga
- Alizeti
- Mayai
- Pilipili
- Ndizi
- Viazi
- Maharagwe na kunde
- Nafaka kama mchele, mtama na mahindi
Kazi za vitamini B
- Husaidia mfumo wa fahamu kufanya kazi vyema
- Huhitajika kwa ajili ya uzalishaji wa nishati (nguvu) mwilini
- Husaidia katika utengenezwaji wa seli mwilini
- Husauidia katika utengenezwaji wa hemoglobin hizi ni chembechembe katika seli nyekundu za damu
- Husaidia katika kuchakata DNA
- Husaidia katika utengenezwaji wa seli mpya na kukomaa kwa seli
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 web hosting 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 ai web app
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 web hosting 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Vyakula vya vitamin E
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
Soma Zaidi...Faida za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Soma Zaidi...Faida za kula stafeli/soursop
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kunywa chai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...