Vyakula vya vitamini C na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI C
- Nyanya
- Mapera
- Pilipili
- Papai
- Tufaha (apple)
- Karoti
- Kitunguu
- Palachichi
- Embe
- Kabichi
- Pensheni
- Zabibu
- Nanasi
- Limao
- Chungwa
- Papai
Faida za vitamini C
- Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini
- Husaidia katika uponaji wa vidonda
- Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini
- Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini
- Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 web hosting 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 web hosting 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za kula tango
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi
Soma Zaidi...Faida za kula tango
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Vitamini C Ni nini?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana na historia ya vitamin C
Soma Zaidi...