Vyakula vya vitamini C na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI C
- Nyanya
- Mapera
- Pilipili
- Papai
- Tufaha (apple)
- Karoti
- Kitunguu
- Palachichi
- Embe
- Kabichi
- Pensheni
- Zabibu
- Nanasi
- Limao
- Chungwa
- Papai
Faida za vitamini C
- Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini
- Husaidia katika uponaji wa vidonda
- Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini
- Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini
- Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 ai web app 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Kitau cha Fiqh
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 ai web app 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Faida za chumvi mwilini (madini ya chumvi)
Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.
Soma Zaidi...Faida za kiafya za spinachi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach
Soma Zaidi...Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Soma Zaidi...Faida za kula papai
Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.
Soma Zaidi...Vyakula vya kupambana na saratani
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani
Soma Zaidi...