picha

Vyakula vya vitamini C na faida zake

Vyakula vya vitamini C na faida zake

VYAKULA VYA VITAMINI C

  1. Nyanya
  2. Mapera
  3. Pilipili
  4. Papai
  5. Tufaha (apple)
  6. Karoti
  7. Kitunguu
  8. Palachichi
  9. Embe
  10. Kabichi
  11. Pensheni
  12. Zabibu
  13. Nanasi
  14. Limao
  15. Chungwa
  16. Papai

 

Faida za vitamini C

  1. Husaidia katika utengenezwaji wa tishu mwilini
  2. Husaidia katika uponaji wa vidonda
  3. Ni antioxidant ambayo husaidi katika kuondosha sumu za vyakula mwilini
  4. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga mwilini
  5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1492

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 web hosting     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Faida za kula kachumbari

Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo.

Soma Zaidi...
Faida za kula viazi mbatata

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata

Soma Zaidi...
Kitunguu saumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu saumu

Soma Zaidi...
Faida za kula mayai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula mayai

Soma Zaidi...
Hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito

Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula panzi, senene na kumbikumbi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi

Soma Zaidi...