picha

Namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa matumizi mbalimbali

Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.

Namna ya kuandaa mchai chai.

1. Kwanza kabisa unapaswa kuchuma mmea wako kwenye bustani Kama ulikuwa umepanda mwenyewe au ukinunua sokoni unashika majani Yako unayakata yanakuwa mafupi au wengine upenda kuyaacha hivyo hivyo yalivyo, unaandaa maji yako yaliyosafi unaosha vizuri sana kwa sababu kama yametoka sokoni hujui yameshikwa na wangapi au mmea ulikuwa kwenye mazingira yapi, unaosha vizuri na baadae unasuuza na maji safi .

 

2. Unaandaa maji safi kwenye sufuria na acha yachemke na yasichemke kwa mda mrefu na baadae ipua na acha upoe,au wakati mwingine una ponda ponda majani yaliyosafishwa vizuri unachemsha maji unatumbukiza kwenye maji yaliyochemka bila kuchemshwa na unafunika na mfuniko kwa mda na baadae  ukipoa unafunua mfuniko.

 

3. Mchanganyiko wako ukipoa unatumia Kikombe kimoja kutwa mara tatu kwa siku thelathini na unatumia Kikombe cha Kawaida kisiwe kukkubwa sana au cha kati Ili mradi kiwe Kikombe cha kati na ukimaliza dozi Yako unaweza kutulia kwa mwezi mmoja na baadae ukaendelea nawaambia magonjwa ya saratani, uvimbe, nevu, homa utasikia kwenye taarifa ya habari, hayatatokea yakupate.

 

4. Kuna wengine wanatumia mchai chai kwa njia tofauti ambapo wanachukua majani ya mchai chai wanatumia kwenye chai kila siku badala ya kutumia majani na njia hiyo ni nzuri sana , hasa hasa usipoweks sukari au ukaweka kidogo ni vizuri kwa sababu na matumizi hayo ni sehemu ya tiba.

 

5. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuanza kutumia huduma hii ya mchai chai kwa sababu Haina gharama na jitahidi kupanda mwenyewe hata kama hauna sehemu chukua kopo upandepo yaani liwe kama ua kwenye Bustani Yako, natumain utapata afya njema kwa kutumia mmea huu aina ya mchai chai.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/07/Thursday - 06:11:01 pm Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2770

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 ai web app    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Madhara ya mafuta mengi mwilimi

Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi

Soma Zaidi...
Faida za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Soma Zaidi...
Sio salama kwa mtoto wa umri chini ya mwaka mmoja kupewa asali

Kwa nini hutakiwi kumpa mtoto wa umri wa chini ya mwaka mmoja kumpa asali?

Soma Zaidi...
Vyakula vya kupambana na saratani

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani

Soma Zaidi...
Faida za kula Nyanya

Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyoondoa sumu mwilini

Katika somo hili tutajifunza Mifumo ya mwili inayotoa sumu. Ushahidi wa kitaaluma kuhusu nafasi ya matunda na mboga kwenye detox. Aina za matunda na mboga zenye ufanisi. Kanuni za matumizi salama.

Soma Zaidi...
Faida za kula Tangawizi

tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi

Soma Zaidi...