Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.
1. Kwanza kabisa unapaswa kuchuma mmea wako kwenye bustani Kama ulikuwa umepanda mwenyewe au ukinunua sokoni unashika majani Yako unayakata yanakuwa mafupi au wengine upenda kuyaacha hivyo hivyo yalivyo, unaandaa maji yako yaliyosafi unaosha vizuri sana kwa sababu kama yametoka sokoni hujui yameshikwa na wangapi au mmea ulikuwa kwenye mazingira yapi, unaosha vizuri na baadae unasuuza na maji safi .
2. Unaandaa maji safi kwenye sufuria na acha yachemke na yasichemke kwa mda mrefu na baadae ipua na acha upoe,au wakati mwingine una ponda ponda majani yaliyosafishwa vizuri unachemsha maji unatumbukiza kwenye maji yaliyochemka bila kuchemshwa na unafunika na mfuniko kwa mda na baadae ukipoa unafunua mfuniko.
3. Mchanganyiko wako ukipoa unatumia Kikombe kimoja kutwa mara tatu kwa siku thelathini na unatumia Kikombe cha Kawaida kisiwe kukkubwa sana au cha kati Ili mradi kiwe Kikombe cha kati na ukimaliza dozi Yako unaweza kutulia kwa mwezi mmoja na baadae ukaendelea nawaambia magonjwa ya saratani, uvimbe, nevu, homa utasikia kwenye taarifa ya habari, hayatatokea yakupate.
4. Kuna wengine wanatumia mchai chai kwa njia tofauti ambapo wanachukua majani ya mchai chai wanatumia kwenye chai kila siku badala ya kutumia majani na njia hiyo ni nzuri sana , hasa hasa usipoweks sukari au ukaweka kidogo ni vizuri kwa sababu na matumizi hayo ni sehemu ya tiba.
5. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuanza kutumia huduma hii ya mchai chai kwa sababu Haina gharama na jitahidi kupanda mwenyewe hata kama hauna sehemu chukua kopo upandepo yaani liwe kama ua kwenye Bustani Yako, natumain utapata afya njema kwa kutumia mmea huu aina ya mchai chai.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1739
Sponsored links
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
KITABU HA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...
Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope Soma Zaidi...
Faida za kula apple (tufaha)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha Soma Zaidi...
Faida za kula passion
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini B na faida zake
Soma Zaidi...
je ni vipi vyakula vyenye protini kwa wingi?
Makala hii iatakuletea aina kuu tano za vywkula vyenye protini nyingi zaidi. Kama ulikuwa unajiuliza kuwa ni vyakula ipi hasa vinaweza kukupatia protini kwa wingi ni vipi, makala hii ndio majibu yako kwa swali hilo. Soma Zaidi...
RANGI ZA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mahindi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage Soma Zaidi...
Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake
Soma Zaidi...