Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai
Makala hii inakwenda kukuletea orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi. Vitamini C vinajulikana kwa umuhimu wake kwenye miili yetu hasa katika kuipa nguvu miili yetu katika kupambana na maradhi. Kwa wingi vitamini C tunaweza kuvipata katika matunda yafuatayo:-
1.Pilipili nyekundu
2.Machungwa
3.Madanzi
4.Malimao na ndimu
5.Pera (mapera)
6.Pilipili za njano
7.Matunda aina ya kiwi
8.Mapapai
9.Nanasi
10.Maembe
11.Tikiti maji
12.Nyanya
13.Pensheni
14.Zabibu
15.Epo
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...Unaijuwa maana ya virutubisho vya protini, na kazi zake mwilini. Soma zaidi hapa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...