Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya
Faida za karoti
1. Karoti Ina virutubisho Kama vile sukari, fati, protini, vitamin A, B na K pia madini ya potassium
2. Hupunguza hatari ya kupata saratani
3. Hushusha cholesterol mbaya mwilini
4. Husaidia katika kupunguza uzito
5. Huboresha afya ya macho
6. Karoti Ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
7. Hudhibiti kiwango cha sukari mwilini
8. Hulinda afya ya moyo na mishipa ya moyo
9. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
10. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D
Soma Zaidi...Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple
Soma Zaidi...Hivi ni vyakula hatari kwa watu wenye maradhi ya moyo. Vyakula hivi si salama kwa afya ya moyo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...