Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya
Faida za karoti
1. Karoti Ina virutubisho Kama vile sukari, fati, protini, vitamin A, B na K pia madini ya potassium
2. Hupunguza hatari ya kupata saratani
3. Hushusha cholesterol mbaya mwilini
4. Husaidia katika kupunguza uzito
5. Huboresha afya ya macho
6. Karoti Ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
7. Hudhibiti kiwango cha sukari mwilini
8. Hulinda afya ya moyo na mishipa ya moyo
9. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
10. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Soma Zaidi...Makala hii iatakuletea aina kuu tano za vywkula vyenye protini nyingi zaidi. Kama ulikuwa unajiuliza kuwa ni vyakula ipi hasa vinaweza kukupatia protini kwa wingi ni vipi, makala hii ndio majibu yako kwa swali hilo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga
Soma Zaidi...