Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya
Faida za karoti
1. Karoti Ina virutubisho Kama vile sukari, fati, protini, vitamin A, B na K pia madini ya potassium
2. Hupunguza hatari ya kupata saratani
3. Hushusha cholesterol mbaya mwilini
4. Husaidia katika kupunguza uzito
5. Huboresha afya ya macho
6. Karoti Ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
7. Hudhibiti kiwango cha sukari mwilini
8. Hulinda afya ya moyo na mishipa ya moyo
9. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
10. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu saumu
Soma Zaidi...Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga
Soma Zaidi...